mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,753
- Thread starter
- #141
Wote set up sasahivi wanaizingatia kutokana na urushaji wa matangazo Online, Kwa Tanzania Redio yenye set up nzuri kwangu mimi ni Lake fm iko Mwanza, kwa Africa Mashariki hakuna wakumfikia NRG Radio NairobiKwenye vipindi Clouds ni wabunifu
Kwenye studio set up wasafi ni wabunifu.