cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kumbe aisee Ila aligraduate udsm Kati ya 2013 hivi bachelor yakeAlidisco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe aisee Ila aligraduate udsm Kati ya 2013 hivi bachelor yakeAlidisco
Mkuu unajipata tabu bure ukiona mtu anakuboa unaacha kumfuatilia, mimi Mwijaku ananiboa kiasi kwamba sifuatilii kipindi chochote anachohusika yeye.Huyu jamaa shida ni nini wadau tusaidiane kumdadavua??
Anaitwa Mwijaku binafsi sijawahi kuona lolote la maana kwake leo naona kawafomea waandishi wa habari still bado wanamuuliza maswali tu inashangaza
Mara asambaze sijui picha za utupu duh yaani nakuwa hoves kabisa
View attachment 1530560
Pub gani ilikuwepo karibu na Mzumbe sekondari mkuu?
Alifukuzwa kwa ishu gani?maana wiki kadhaa baada ya kupata sifuri za wajumbe alihojiwa na Azam TV akasema ndio mara ya kwanza anapata sifuri kwenye maisha yake,maana UD katoka na First classMwijaku anafurahisha sana.. nakumbuka na ripot mzumbe university main campus moro mwaka 2007 October.. nikakutana na mwijaku kwa baunsa pub karibu na mzumbe secondary yeye akiwa mwaka wa pili..
Akasema dogo mbona unaonekana mjanja mjanja sana.. umemaliza shule gani.. nikamjibu.. akasema ndio maana umekaa kitapeli.. hebu agiza bia unayotaka kuonesha ukarimu wa kaka zako . Nikaogopa.. nikamwambia bia za kununuliwa mwiko kwa wajanja..toka siku hiyo akawa rafiki sana enz za mzumbe.. mpaka alipofukuzwa chuo mzumbe na kwenda kuanza upya udsm..
Kwa ufupi.. mwijaku ni fun person.. anazingua tu na anajua kuzingua kweli.. muacheni apige hela za wapenda umbea bongo
Mwijaku anafurahisha sana.. nakumbuka na ripot mzumbe university main campus moro mwaka 2007 October.. nikakutana na mwijaku kwa baunsa pub karibu na mzumbe secondary yeye akiwa mwaka wa pili..
Akasema dogo mbona unaonekana mjanja mjanja sana.. umemaliza shule gani.. nikamjibu.. akasema ndio maana umekaa kitapeli.. hebu agiza bia unayotaka kuonesha ukarimu wa kaka zako . Nikaogopa.. nikamwambia bia za kununuliwa mwiko kwa wajanja..toka siku hiyo akawa rafiki sana enz za mzumbe.. mpaka alipofukuzwa chuo mzumbe na kwenda kuanza upya udsm..
Kwa ufupi.. mwijaku ni fun person.. anazingua tu na anajua kuzingua kweli.. muacheni apige hela za wapenda umbea bongo
Hongera kwa kuwa mjanja vipi mpaka sasa bado umekaa kitapeli tapeli ?
The apple doesn't fall far from the tree.Huyu mzumbe haku disco bali alifukuzwa
Aliwatapelu tapeli madogo ishu ikawa ngumu afu alikuwa na misala kibao waka mfukuza
Babaake ni ustadhi maarufu sana pale moro nashangaa huyu jamaa huu ujinga anatoa wapi
Mwana ccm, mtia Nia jimbo la kaweNdio Nani huyo mwinjaku?kaongea Tv gani?
Alichukua form ya kugombea ubunge hapo KaweSi kila anaevaa sare za ccm Ni kada
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jicho la buza kwa rulenge, hatareeeeh sanaaaahHao waandishi wenyewe na tuchanel twao sasa tuchanel kinaitwa "jicho la uswazi"
Heeeeeeh kumbe n tapeli na mwizi konki, tena jambazi la kutisha khaaaaaah, duuuuh hatariiiih sanaMwijaku ni shida..mzumbe alifoji jina lake kiujanja.. alibadili herufi kazaa akawekekewa mkopo mara mbili kwenye account moja akawa anakula bata tu kila bumu likiingia anapata mara 2.. pia kuna wanafunzi aliwatapeli hela.. walidisco akajifanya anawafanyia mpango maksi zao zibadilishwe kwenye system za chuo ili waonekane hawajadisco.. akawapiga hela na dili likabuma.. uongozi wa chuo mzumbe walivyogundua wakamfukuza mwijaku
Mleta mada na yeye ni mmoja wa waandishi wa habari [emoji3][emoji3][emoji3] hajajijua badoUnatuchosha zaidi kumleta humu na sisi tumjadili
Ungekausha tu
Mleta mada na yeye ni mmoja wa waandishi wa habari [emoji3][emoji3][emoji3] hajajijua bado
Yap degree ya sanaa katika department of creative art kipindi hicho ikiitwa fine art departmentKumbe aisee Ila aligraduate udsm Kati ya 2013 hivi bachelor yake
Huyo anaumwa anaweka ushabiki mbele sasa ibra unawez ukamfananisha daimond platnum dah kaishiwa pointHuyu jamaa shida ni nini wadau tusaidiane kumdadavua??
Anaitwa Mwijaku binafsi sijawahi kuona lolote la maana kwake leo naona kawafomea waandishi wa habari still bado wanamuuliza maswali tu inashangaza
Mara asambaze sijui picha za utupu duh yaani nakuwa hoves kabisa
View attachment 1530560