Media za Tanzania asante kwa kumsifu kupitiliza Rais Samia. Sasa mtupe uchambuzi wa Vita ya Ukraine na Urusi kiuchumi kwa Tanzania

Media za Tanzania asante kwa kumsifu kupitiliza Rais Samia. Sasa mtupe uchambuzi wa Vita ya Ukraine na Urusi kiuchumi kwa Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimejaribu kuangalia Media za nchini Rwanda, Kenya na Uganda hasa katika Coverages zao juu ya Vita baina ya Ukraine na Urusi na kugundua ya kwa Wanyarwanda, Wakenya na Waganda wameshaelimishwa na Kuchambuliwa vya kutosha juu ya Vita hiyo tofauti na Tanzania na Watanzania.

Kila nikijitahidi kufuatilia Media za Tanzania ninachoambulia tu ni kuona Vikimpamba na Kumsifu Kunakopitiliza' (hata karibia na Kukufuru) Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika mwaka wake Mmoja Madarakani.

Na kama nitapata Kitu kipya kingine cha Kihabari na Kimjadala huko basi ni Sakata la Steve Nyerere na Ndoa ya Mzee Augustino Lyatonga Mrema pekee lakini siyo Masuala ya maana.

Media ya Tanzania mnafeli wapi nyie?

Sijui na huu Uzi wangu leo utafutwa!!!!
 
media za tz hazifeli ila Tbc ndo jipu
yaan televisheni ya taifa wanaweka kaswida, kwaya za dini na kusifu ccm na raisi,,yaan hamna cha maana unajiuliza sijui anae operate n mtoto au vip


badala kujikita kwene sayansi,documentari,uchunguzi au habari za kubadilisha taifa
 
media za tz hazifeli ila Tbc ndo jipu
yaan televisheni ya taifa wanaweka kaswida, kwaya za dini na kusifu ccm na raisi,,yaan hamna cha maana unajiuliza sijui anae operate n mtoto au vip


badala kujikita kwene sayansi,documentari,uchunguzi au habari za kubadilisha taifa
Me nadhani chanzo cha yote ni elimu; elimu waliyo nayo viongozi na wananchi
 
Back
Top Bottom