Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Mkuu, ninajua ninachozungumza.Inawezekana kama maisha marahisi kama kuandika kwenye keyboard hapa.....
I know life bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ninajua ninachozungumza.Inawezekana kama maisha marahisi kama kuandika kwenye keyboard hapa.....
No.Sawa hio hela ndogo sana degree nyingi za miaka 3 wanalipwa hio na ajira ni nje nje,wanaosoma MD hawajitambui
Ndio nami nakuunga mkono ,wanaosoma MD ni mazuzu tu,wajanja ni wale wanaopiga degree ya miaka 3Mkuu, ninajua ninachozungumza.
I know life bro.
Sawa mkuu.No.
Hiyo ndio basic ya MD serikalini. Na ndio shahada yenye salary kubwa kuliko zote.
Zamani ulikuwepo?Mkuu nowdays kumekua na UZALISHWAJI wa MDs ambao hawawezi kazi.. yan inasikitisha.
Nadhani wameweka hivyo ili kuchuja chuja makapi.
Ndiyo maana siku hizi COs na CAs nao wanatakiwa wawe na leseni ingawa mitihani bado haijaanza.
MCQs ni ngumu zaidi mkuuHuu utaratibu tena umecheleweshwa sana kuanzishwa, nasikia wanapewa maswali ya MCQs.
Wapewe maswali ya kueleweka aisee.
Hivi hamuoni vyama vingine vya kitaaluma wanavyofanya?
Mitihani waliyofanya ndani ya miaka mitano ni mingi mno na inatoshaNashaur waongeze na MID INTENSHIP EXAM.
MD wa skuizi hawapendi shule wanasoma ili kumaliza tu, hii walau itasaidia kuwa keep busy on study.
Acha uongoNi kweli mkuu,kuna madaktari sasa hivi wanagraduate ila ni majanga matupu.
Bora mitihani iwepo maana huko vyuoni kazi ni kuiba mitihani tu na kwa watoto wa kike ndio basi tena,wanabebwa kwa gharama ya ngono
Kwahiyo ni mazuzu kwa sababu wanafanya kitu ambacho, kwa mtazamo wako, si sawa?Ndio nami nakuunga mkono ,wanaosoma MD ni mazuzu tu,wajanja ni wale wanaopiga degree ya miaka 3
Issue siyo kichwa bali ni uwekezaji wa pesa na muda.
Kwenye pesa, nakubaliana na wewe.Issue siyo kichwa bali ni uwekezaji wa pesa na muda.
Nasisitiza tuzingatie hili sana ili nasie tujifunze mawili matatuNingependa mada hii ichangiwe na wanataaluma zaidi wengine tubaki wasomaji.
Tutajuwa mchele na pumba ni zipi tukipata intellectual argument za wanataaluma.
Halafu ukiumwa unatibiwa na washamba haohao!!Kusoma medicine ni ushamba kwa zama hizi.
Siku 60 zilishapita we chizi, mirembe walikupokea? dawa ulipata?Nimemaliza uyu ndo 47 mbatizaji Kama umevamia na hujui Mungu akurehem,utakajua kabwege ,nakupa siku 60 then njoo ziaka zako