Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Kabla hata ya bigi kumteka, kwa sasa tumebaki na ushkaji tu wa kawaida.Dear Ex ni kwako au kwa bwana almasi
sasa mkuu mimi namaanisha huyu au ujanielewaš¤£š¤£Kabla hata ya bigi kumteka, kwa sasa tumebaki na ushkaji tu wa kawaida.
Hallelujah!!!
Walimtoa niambie wakampeleka amplifaya, kipindi ambacho kinahitaji mtu aliyechangamka lakini bado ana utulivu na class flani kama Frida amani.
Wamempeleka XXL, naona kule amefit vizuri sanaaa .
Aliyaah yupo vizuri lakini ni kama bidhaa inayotumika kwa kitu kimoja ndio maana meena ana uwanda mpana zaidi kwenyw kazi yake. Kuanzia kwenye entertainment, social works na corporate spaces Ila Aliyaah yawezekana akajitahidi lakini bado hajafit
Yepp, ni binadamu tu huyu kama wewe. Sijaona cha kushangaa hapa mkuu.sasa mkuu mimi namaanisha huyu au ujanielewaš¤£š¤£View attachment 3053906
Namkubali kikazi. Ila kumzimikia mwanamke anaongea vile huwa inanikata sana. Sipendi mwanamke ana mdomo aseehWewe sema tu unamzimikia