Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Magufuli bus terminal ni ya kisasa zaidi. Kuwa nje ya mji sio sababu kuwa haina ubora wa kimataifa.

Hizo kevel tatu sio sababu ya kuwa ya kisasa kama Magufuli bus station
Inaeleweka ni ya kisasa kwa kuwa ni Magufuli Bus Station na ni badala ya ile ya zamani ya Ubungo, hizo level tatu siyo za Magufuli Jo'burg Park kwa hiyo haiwezi kuwa ya kisasa. Magufuli kila kitu, Uwanja wa Ndege wa Chato ni wa kisasa kuliko wa Dubai!
 
Ndiyo haiajiri watu wote ndoana tabaka la wanaostahili kuajiliwa nchini ni asilimia 10 ya watu wote
Meaning illiterates na ambao hawajasoma Tanzania ni wengi Sana. Hiyoa asilimia 10 haiwezi kushindikana kuajirika. Sema siyo kipaumbele Cha jpm. Kipaumbele chake ni kuona watu wanakufa lakini barabara zinajengwa

hizi ndo akili za upinzani? kwan lazima serikali ikuajiri?
 
Dawa inayo wafaa nyinyi ni mapinduzi tu. Hakuna namna. Hamuwezi kutuumiza mtaani kwa kisingizio cha kujenga hiyo miundombinu yenu.

mnasubiria nn sasa kufanya mapinduzi? ndo maaana hata mkiitisha maandamano mnakua wenyewe maaana akili zenu ni kama choo tu
 
au wewe ndio jiwe mwenyewe naona unatuenjoy tu hapa jf
Mimi lazima niisubiri serikali sababu wao walizunguka nchi nzima wakituambia watatupa ajira sasa inakuaje Leo waanze kugeuka vitu walivyotuaidi wenyewe

hizo ndo akili ambazo znataka tanzania iendelee???/ safari ni ndefu aisee
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +.

Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wq kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Wewe ni mgonjwa wa akili, yaani hujui kuwa vitu vyote unavyovisema viko kwenye utaratibu, Awepo Kaka yako au asiwepo bado maendeleo yagetekelezwa tena asingekuwepo kasi ingekuwa kubwa zaidi na kwa nchi nzima sio kama anavyofanya sasa kila kitu Chato na kidogo dar,dom na mwanza
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +.

Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wq kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Ali ping wa na nani
 
Wewe ni mgonjwa wa akili, yaani hujui kuwa vitu vyote unavyovisema viko kwenye utaratibu, Awepo Kaka yako au asiwepo bado maendeleo yagetekelezwa tena asingekuwepo kasi ingekuwa kubwa zaidi na kwa nchi nzima sio kama anavyofanya sasa kila kitu Chato na kidogo dar,dom na mwanza
Awepo ? Asiwepo vinafanyika? Huna aibu baradhuli mkubwa.
 
Unajua wapuuzi ni wengi,, tolipofikia hapa kama umasikini umeongezeka au kupungua,, maduka kufungwa,,kodi kuwa kubwa,, barabara mbovu,,zote hizo ni juhudi za CCM
 
kwa hiyo mnaopinga mnataka tulipwe tunywe tuwe na nyumba ndogo nyiingi halafu tupate ukimwi tufe.
huku miji iendelee kubanana magari.
 
Megastructure sio za mtu inabidi zijengwe kwa kuzingatia long term plans na city master plan inasemaje na mahitaji kwa wakati husika, unaweza ukajenga kitu kikawa a white elephant.

Kwahio ujenzi wote mkubwa lazima uzingatie michango ya wadau / wataalamu na wahusika wa pande zote sio mmoja tu kuamua najenga hiki au kile. Mpaka sasa kama nchi tungekuwa tuna long term na short term plans za nini kinajengwa na wapi na kwa faida ya nani Tangia Enzi za Mwinyi hawa viongozi kazi yao ni kutekeleza tu.

Sio kiongozi atakayekuja sababu anatoka Gamboshi aamue kwamba mji uhamie Gamboshi (kabla hajamaliza muda wake tupate kiongozi wa Ukara) na yeye aamue ujenzi wake, Kwa precedence hii tunaweza tukawa na nchi ya unfinished projects.
😅😅😅😅 kwann umetumia gamboshi? Kwan gambosh n sawa na chatu
 
Kwahiyo bei ya vitu imeshuka sababu ya hiyo miradi na maisha ya watanzania yamekuwa rahisi sn?
 
Ki ukweli bado zinaweza kuwa zinaendeshwa kwa hasara na hili ukitaka kujua vizuri ni pale tunapoweza kuangalia ROI kwa kuangalia muda na rasilimali ilyotumika na tukachukulia kuwa huo ni mkopo wenye riba.

Bado jamii hainufaishi na uendeshaji au uwepo wa hizi stendi katika kuongeza kipato na hii inatokana na kuwa na viongozi wasio wabunifu katika kuwezesha kuongeza kipato - sioni sababu kwa stendi hizi zisiweze kufanya kazi masaa 24 angalau kwa kuwa na mabasi yatakayoenda mkoa mmoja kwa masaa 24 kwa pande nne mfano kituo cha Dodoma kiweze kuwa na safari zifuatazo kwa masaa ishirini na nne.
  1. Dodoma -morogoro
  2. dodoma Manyara
  3. Dodoma-singida
  4. Dodoma -Iringa
Na kila mkoa ikawa na root angalau za mkoa momoja kwa masaa 24 kiasi kwamba mtu akiwa anaenda arusha anauhakika akifika manyara atapata basi la Arusha na akiwa anaenda mbeya akifika Iringa atapata basi la kwenda mbeya.

Kwa kufanya hivi shughuli zingine zinaweza kuendelea kwa kadri ya mahitaji.

Haikai sawa eti unastend lakini huwezi kusafiri usiku hii haiko sawa.

Hili ni eneo moja lakini eneo lingine kunatakiwa kutengenezwe mazingira yanayovutia kumaliza baadhi ya mikusanyiko ya kijamii hukohuko stendi zikiwepo kumbi za sherehe na mikutano kiasi kwamba watu wakimaliza wanaondoka sambamba na kuweka hotel pamoja na lodge kwa wenye kipato cha kati na kawaida ili ikiwezekana akifanya shughuli zake aweze kulala stend na kuondoka.

Mighahawa mizuri na sehemu zenye bustani nzuri na michezo ya watoto inaweza kuongeza tija wakati watu wanasubiri wageni wanaweza kupoteza muda kwa kuwa maeneo hayo au mtu akavutiwa kwenda kutembea na familia badala ya kwenda bar.
Hii miradi watu wamepiga sn 20%
 
hizo ndo akili ambazo znataka tanzania iendelee???/ safari ni ndefu aisee
watu kama nyie hua ni wa kuupuza tu unakuta umeajiriwa na unaishi kwa mshaara wa mwisho wa mwezi,lakini umekomaa kutoa ushauri kwa vijana kujiajiri.
Hivi no mazingira yapi mazuri nchi imeweka ya kuwawezesha vijana waweze kujiajiri na kujitegemea ili wasiisumbue serikali? Au ndio kila mtu apambane anavyojua.
 
Kwahiyo bei ya vitu imeshuka sababu ya hiyo miradi na maisha ya watanzania yamekuwa rahisi sn?
Unajua wapuuzi ni wengi,, tolipofikia hapa kama umasikini umeongezeka au kupungua,, maduka kufungwa,,kodi kuwa kubwa,, barabara mbovu,,zote hizo ni juhudi za CCM
Barabara mbovu tena😀 Bwashee si mlisema tupambane nao mendeleo y vitu hayana maana au barabara sio kitu?
 
Back
Top Bottom