Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Sasa hivyo vyote vimemsaidia vipi Mnyonge kuboresha maisha yake na sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watch your back little child. You are still at kindergaten.Acha ujinga wewe maisha yako boresha mwenye serikali haina jukumu la maisha yako.
Ndezi haujui unachokiandika haujui vipaumbele vya serikali na mahitaji ya eneo husikandezi kweli wewe.. kule kwenu msanga mamako akienda kujifungua anapita kwenye fly over ?
hata barabara ya vumbi tu hakuna afu unaleta nye nye nye nye na meko wako🐖🐖🐖
Binadamu. ni wapumbavu sana hamna shukranSasa hivyo vyote vimemsaidia vipi Mnyonge kuboresha maisha yake na sisi?
Wewe simbilisi umetumwa na babu yako polepole kuja kuwatukana watu humu? Utakimbia muda si mrefu ukiwa umechafuka vibaya huko kwenye mak. Alio yako.Binadamu. ni wapumbavu sana hamna shukran
Pigi weweNdezi haujui unachokiandika haujui vipaumbele vya serikali na mahitaji ya eneo husika
Unaongelea corona au umeisahau... Kuna mambo ni uncontrollable like pendamic n alike. Yote yamechangia sana kuua biasharaMmeua mzunguko wa biashara, mmeua kilimo, hakuna ajira! Mmeshindwa kuwapandisha vyeo wafanyakazi, nk. Hao wananchi watakao nufaika ni wananchi wa aina gani? Bodaboda na mama ntilie?
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.
Wakiona serikali inajenga shule, hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.
Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais. Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +.
Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg Park Station.
Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuwa ni mzee wa kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?
My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.