Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Achilia mbali utawala uliowaumiza wengi ila mwendazake na genge lake kaipiga nchi sana aisee!!
 
ndezi kweli wewe.. kule kwenu msanga mamako akienda kujifungua anapita kwenye fly over ?
hata barabara ya vumbi tu hakuna afu unaleta nye nye nye nye na meko wako🐖🐖🐖
Ndezi haujui unachokiandika haujui vipaumbele vya serikali na mahitaji ya eneo husika
 
Binadamu. ni wapumbavu sana hamna shukran
Wewe simbilisi umetumwa na babu yako polepole kuja kuwatukana watu humu? Utakimbia muda si mrefu ukiwa umechafuka vibaya huko kwenye mak. Alio yako.

Na ndiyo maana nimekutahadharisha hapo juu! Watch your back little child!
 
Mmeua mzunguko wa biashara, mmeua kilimo, hakuna ajira! Mmeshindwa kuwapandisha vyeo wafanyakazi, nk. Hao wananchi watakao nufaika ni wananchi wa aina gani? Bodaboda na mama ntilie?
Unaongelea corona au umeisahau... Kuna mambo ni uncontrollable like pendamic n alike. Yote yamechangia sana kuua biashara
 
Hujui na wala hujawahi kuona megastructure, ushamba unakusumbua.
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule, hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais. Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +.

Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg Park Station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuwa ni mzee wa kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
 
Back
Top Bottom