Izi Ndio habari tunazozipenda kuzisikiaNa kabla ya hiyo mei 9 watahakikisha wanampiga putin na kitu kizito ili kumfedhehesha zaidi.
Siku hiyo.ya may 9 victory day ya Urusi huwa anafanya military parade mavifaru yake yakipita kwa mbwembweNa kabla ya hiyo mei 9 watahakikisha wanampiga putin na kitu kizito ili kumfedhehesha zaidi.
Aisee marehemu hayati wa chato angekuwa na askari wengi kiasi hiki mbona tungekomaUrusi ndio taifa lenye polisi wengi kwa uwiano wa raia, heavily policed country in the world. Yaani wana askari 564.6 kwa kila raia 100,000 sasa hebu linganisha na Tanzania ama Kenya ambapo kuna polisi mmoja kwa kila raia 1,200
Kwa hivyo huko kwao Urusi kukamatwa kamatwa hovyo huwa rahisi sana na jela zao zilvyo, yaani kila ukigeuza kuna aidha askari au usalama taifa au shushushu
Infographic: Russia is the World's Most Heavily Policed Country
This chart shows police personnel per 100,000 of the populationwww.statista.com
Sisi wajamaa ni wepesi sana kuelewa, hatuna ubishi kama nyie [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Utaona hiyo siku warusi wooote watakuwa wanashangilia utadhani wameshashinda hiyo operation tayari.
Na hotuba ya puttin siku hiyo itajikita kuzionya Norway na Finland juu ya azma zao za kujiunga NATO. Yaani ataonyesha siraha nzito nzito ambazo ataweka mpakani mwa nchi hizo iwapo tu zitajiunga nato, yaani aatatoa vitisho havina mfano.
Mwisho atapigiwa salute na makofi kama yote.
Kama sisi miaka 7 iliyopitaUrusi ni taifa la kijamaa, na kawaida ya raia wajamaa huwa wapo wapo tu, wataambiwa chochote na kuendana nacho kama kilivyo....[emoji23]
Silaha zinakuja ili Putin akimbieNa kabla ya hiyo mei 9 watahakikisha wanampiga putin na kitu kizito ili kumfedhehesha zaidi.
Atasingizia vita hivyo hatafanya ParadeSiku hiyo.ya may 9 victory day ya Urusi huwa anafanya military parade mavifaru yake yakipita kwa mbwembwe
baada ya kuwa yanabomolewa Kule Ukraine na makombora ya Javelin na hayarudi Safari hii sijui kama ataweka vifaru kwenye military parade ni aibu warusi wanaweza kuyazomea ma vifaru ya kirusi yakipita
Putin alilenga kuwa hiyo may 9 ya victory day ahutubie kwa mbwembwe kuteka Ukraine ndani ya siku Tatu. !! Na kushinda kivita!!! Sasa ataenda kwenye sherehe kalegea kama mlenda
Bahati ya Warusi Ukraine wanajilinda tu dhidi ya uvamizi na mashambulizi ya jeshi la Putin. Hawana mzozo na Urusi wala raia wa Urusi.
Wangekuwa na Rais mwehu asiyejali nao wangeweza kurusha baadhi ya makombora kwenye miji ya Urusi na kuzua taharuki kubwa huko. Walivyolipua meli ya Moskva ni kielelezo tu.
Wamezamisha meli tuone Putin atafanya nini cha maana zaidi ya kubomoa majengo na kuua raia.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji116]Bahati ya Warusi Ukraine wanajilinda tu dhidi ya uvamizi na mashambulizi ya jeshi la Putin. Hawana mzozo na Urusi wala raia wa Urusi.
Wangekuwa na Rais mwehu asiyejali nao wangeweza kurusha baadhi ya makombora kwenye miji ya Urusi na kuzua taharuki kubwa huko. Walivyolipua meli ya Moskva ni kielelezo tu.
[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]Correction. Mkuu hakuna ujamaa Urusi. Kuna dikteta na maoligarch yenye kumiliki utajiri wa kutisha zikiwemo super luxury yachts, private jets na mijengo kadhaa huko New York, London, Paris, Luxembourg, etc. na billions of USD kwenye mabenki ya mabepari wa dunia.
Raia wa kawaida ndio wanyonge wenye kulishwa propaganda za uzalendo kama ilivyo kwa dunia ya tatu.
[emoji16][emoji16] propaganda kazini.Wamezamisha meli tuone Putin atafanya nini cha maana zaidi ya kubomoa majengo na kuua raia.
Atazungumzia suala la njaa ya Kenya inavyomaliza watu, nahisi alishazungumza hili.Mei 9 hutumika kama maadhimisho ya kijeshi ya kusheherekea ushindi dhidi ya Hittler, na kawaida wanajeshi Warusi hufanya gwaride zao kwa mbwembwe na huonyesha zana zao za kivita kama mikwara kwa dunia. Pia Putin hutumia hiyo siku kueleza ushindi wa Urusi kwenye mapambano mbali mbali.
Sasa huyo Putin alifanya kitu alichoita "special operation" ya muda mfupi ili kuwatoa manazi kwenye uongozi wa Ukraine kataifa kadogo jirani yake, kilichomkuta amepoteza maelfu ya wanajeshi Warusi, zana zake zimelipuliwa hadi meli kadhaa na mindege na mamia ya vifaru na bado Kiev ilishindikana akaanza kugeuza ila huko huko alikogeuzia bado alifuatwa na kichapo na sasa kuna taarifa Ukraine wameanza kutembeza kichapo ndani ya Urusi, pia uchumi wa Urusi umeporomoka unaangukia pua.
Hali imekua mbovu mpaka ameweka dau la hela ndefu wapiganaji wa kimataifa waje kumsaidia.
Hivi atakapopewa mic aongee, atawaambia nini Warusi, au atabwatuka tu mikwara, japo pia Urusi ni taifa la kijamaa, na kawaida ya raia wajamaa huwa wapo wapo tu, wataambiwa chochote na kuendana nacho kama kilivyo....
===
What was Putin's goal?
The Russian leader's initial aim was to overrun Ukraine and depose its government, ending for good its desire to join the Western defensive alliance Nato. He failed to capture the capital Kyiv and after a month of setbacks turned his ambitions to Ukraine's east and south.
Launching the invasion on 24 February he told the Russian people his goal was to "demilitarise and de-Nazify Ukraine", to protect people subjected to what he called eight years of bullying and genocide by Ukraine's government.
Foreign Minister Sergei Lavrov spoke of freeing Ukraine from oppression. Ukraine's democratically elected president, Volodymyr Zelensky, said "the enemy has designated me as target number one; my family is target number two".
Russia's leader refused to call it an invasion or a war, and made doing so a criminal offence. Instead it can only be termed a "special military operation"
Has Putin's war failed and what does Russia want from Ukraine?
A year into Russia's war, he has little to show for it but there is no sign of an end.www.bbc.com
Sisi Mabepari tunaelewa vzr hilo na ndio maana tutaendelea kuua watu kwa mamilioni na hakuna wa kutufanya kitu.Mabepari tuko juu sanaSisi wajamaa ni wepesi sana kuelewa, hatuna ubishi kama nyie [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Utaona hiyo siku warusi wooote watakuwa wanashangilia utadhani wameshashinda hiyo operation tayari.
Na hotuba ya puttin siku hiyo itajikita kuzionya Norway na Finland juu ya azma zao za kujiunga NATO. Yaani ataonyesha siraha nzito nzito ambazo ataweka mpakani mwa nchi hizo iwapo tu zitajiunga nato, yaani aatatoa vitisho havina mfano.
Mwisho atapigiwa salute na makofi kama yote.
Sisi Wana NATO/Mabepari tunasema acha mercenaries wetu wauawe tu sio inshu maana hata sisi tumeua mamilioni ya watu huko Yugoslavia, Afghanistan,Libya,Iraq etcSidhani. Kwa jinsi walivyoharibiwa miji yao. It will take them years to rebuild. Mbaya zaidi mamluki wao (askali kutoka UK) wameanza kukamatwa na Russian forces
Acha propaganda mkuu.Kateketeza kiwanda cha mizinga kilichopo Kyiv usiku wa leo. Officially kaanza kuilenga Kyiv
Unajua mfumo wa kujilinda na makombora wa urusi?.....hebu wajaribu waoneBahati ya Warusi Ukraine wanajilinda tu dhidi ya uvamizi na mashambulizi ya jeshi la Putin. Hawana mzozo na Urusi wala raia wa Urusi.
Wangekuwa na Rais mwehu asiyejali nao wangeweza kurusha baadhi ya makombora kwenye miji ya Urusi na kuzua taharuki kubwa huko. Walivyolipua meli ya Moskva ni kielelezo tu.
Meli ya kivita imezamishwa wewe bado unasema "Discipline" na makamanda wanakufa wanaisha.Sio bahati wanaju nini kitatokea ndio maana wanaonesha discipline