Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Imegusa maeneo mengi muhimu, hasa Loansboard asilimia 15 na retention fee ya kila mwaka...
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Kwanini usimfuate huko alikoelekea?
 
Inaonekana Ngorongoro National Park ni taasisi nyeti sana hapa nchini?
 
msondo wamalize tupate mzuka wa kubanjukaa baadae
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Watu bado wanajiuliza yule mwamba aliwezaje kuwalaghai mamilioni ya watu waliobobea kwenye umasikini uliotopea kuwanyima ajira vijana wao na kuwabomolea makazi yao kinyume na sheria tena with no remorse, ila wana wanampenda hivyo hivyo kweli yule alikua kipenz cha wanyonge
 
Kwa nini benki ya NMB ilipewa dhamana ya kupitishia mishara ya watumishi halafu bado Benki hiyo haiwakomboi wafanyakazi?
bado Riba kubwa, hakuna mikopo ya biashara wala mikopo ya kunua gari kama ilivyo kwa wabunge amabo wanakopeshwa zaidi ya milioni 80?!

kweli lengo ni kuwafanya watumishi wa chini waishi kimasikini
 
hapa ndo penyewe .... happy new month
 
Back
Top Bottom