Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan
Ameondoka Asubuhi Dodoma ~ Mwanza
Jioni Atakuwa Dodoma

Wote Macho [emoji849][emoji849][emoji849]Kwa Mama
Kashaanza Kuyeye Mawingu Nje Ya Nchi
Screenshot_20210501-121354.jpg
 
Hta Yule Jamaa Alietangazwa Kwamba na Lisu Kwamba Amefariki Kwa Corona Huko Kenya, Nimemuona Leo Hapa Mza Akiwa kwenye Msafara, Hata Huyo Jamaa Mweusi Mwembamba alokaa katikati ya Samia na Mpango nae pia Alikuwa kwenye Flontline Ya Mwendazake... Kizazi za Magu Bado Kinaishi.
Si ndo huyo nyuma ya Magu?

E857C658-1DEE-4803-B809-38E601E2792B.jpeg
 
Hta Yule Jamaa Alietangazwa Kwamba na Lisu Kwamba Amefariki Kwa Corona Huko Kenya, Nimemuona Leo Hapa Mza Akiwa kwenye Msafara, Hata Huyo Jamaa Mweusi Mwembamba alokaa katikati ya Samia na Mpango nae pia Alikuwa kwenye Flontline Ya Mwendazake... Kizazi za Magu Bado Kinaishi.
Corona inatisha
 
Hili linaibu Katibu mkuu TUCTA halina mvuto wala ushawishi![emoji2]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kutoka jijini Mwanza tunawaletea taarifa za moja kwa moja, maadhimisho ya sherehe ya siku ya wafanyakazi duniani,ambayo kitaifa yanafanyika hapa.

Mgeni rasmi anatarajiwa kua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mama Samia Suluhu Hassan, ambapo atapokea maandamano ya wafanyakazi mbalimbali Tanzania.View attachment 1769649

Hali ya hewa ni tulivu kabisa,uwanja umepambwa vyema,barabara za jiji zimesafishwa safi huku zikichagizwa na mabango yenye ujumbe wa hapa na pale.

Wananchi wameanza kumiminika viwanjani hapa.

Karibuni.....
============
Updates.
Tayari uwanjabwa ccm kirumba umeanza kufurika huku ukipendezeshwa na sare mbalimbali za tishirts na kofia za vyama vya wafanyakazi wa sekta binafsi,serikali kuu,mashirika ya umma,serikal za mitaa,na chama cha walimu,nyuso za wafanyakazi zinaonyesha tabasamu lililojaa matumaini tofauti na mei mosi za miaka 5 iliyopita.

Viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya wafanyakazi wameanza kuwasili uwanjani.
Namuona Makamu wa Rais,Dr.Mpango,Waziri Mkuu Majaliwa,Katibu Mkuu Kiongozi,Spika wa bunge na makamu wake.
View attachment 1769738
===========
Updates
Tayari msafara wa Rais Mama Samia umewasili uwanja wa CCM Kirumba tayari kwa shughuli za Mei Mosi kuanza rasmi,shangwe na nderemo zinashamiri uwanjani hapa wananchi wakimshangilia Rais wetu.View attachment 1769780
======
Maandamano yanaanza baada ya Rais Samia kuwasili jukwaani,takribani vyama 17 vya wafanyakazi vitashiriki maandamano haya.View attachment 1769848
=========
Updates


Wafanyakazi wameshindwa kuungana, sab wanavyama vingi na vyote vinaviongoz wao na wanawaka wafanyakazi mishahara kila mwez mfano CWT, kwanini wasiwe na chama kimoja tu af wapungize makato ya mishahara na cha ajabu, makato huongezeka kwa ongezeko la mshahara, so ningefurah kusikia kua wanasema wameamua kuungana na kua kitukimoja, kupunguza makato kwa mishahara ktk chama cha wafanyakazi, na kutoa tamko kua hawataongeza makato ktk chama cha wafanyakazi hata baada ya kuingezeka kwa mshahara. Vinginevyo! HAWANA JIPYA, nakama hawataki kua na chama kimoja sab watakosa pa kupiga hela kwan nia yao sikudaidia wafanyakazi bali ni kujisaidia wao na matumbo yao! Bas WATOE UHURU WA KILA MFANYAKAZ KUJIUNGA NA KUJITOA KTK CHAMA CHA WAFANYAKAZI.
 
Hizi mei mosi yanazungumzwa mambo yale yale mara zote,,

Vitendo viwe zaidi ya maneno
 
Huyu msoma lisala wa tucta wamemuokota wapi?
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Undertaker kamwachia SASHA, wacha tuosome mchezo [emoji120]
 
Back
Top Bottom