Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu nyie mna elimu kiasi gani? Kulikuwa na makato ya 15% yanabaki Kama yalivyo, Ila ile retention ya 6% ndio haitakuwepomakato ya bodi hapo mbona sijaelewa
asante profesaWenzetu nyie mna elimu kiasi gani? Kulikuwa na makato ya 15% yanabaki Kama yalivyo, Ila ile retention ya 6% ndio haitakuwepo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...sekta binafsi labda mwaka jana sababu ya corona bt the rest watu walikua wanakula increment km kawaida.Mama Samia ; sekta binafsi miaka 8 hawajapandishiwa mshahara, hapa nadhani mama kateleza,sekta binafsi gani hiyo miaka 8 hawajapandishiwa mishahara
Duuuh we jamaa ni famba sana yaan ,sijui unakijua unachokiongea au una harisha tu [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, swala la kuongeza mishahara sio jepesi kama watu wanavyofikiri lina impact kubwa sana kwenye uchumi na sio kila nchi huwa inaongeza mishahara mara kwa mara.
Tatizo la jamii yetu sio kila mtu ni mwajiriwa na anafahamu ongezeko la mshahara ni kiasi gani, mfanyabiashara ambaye hajawahi ajiriwa akisikia tu tangazo kuwa mshahara umeongezeka basi naye atapandisha bei ya bidhaa na huduma, hajui kwamba mshahara umeongezeka kiasi gani, mradi kasikia tu umeongezeka naye atapandisha bei.
Sasa hii inamadhara kwani kipato hicho hakijaongezeka kwa watu wote bali kwa watu wachache tu, hii itaathiri mno wale ambao hawana ajira ambao ni wengi,
Ongezeko la mishahara pia inamaana kwamba tupunguze kufanya baadhi ya mambo tuliyokua tunayafanya ili fedha ziende huko
Kupanga ni kuchagua, tuamue kulipana mahela tu tusifanye lolote au tubebane hivyo hivyo kwa manufaa ya wote.
Rais ataamua.
Kama kawa best...Unafuatiliaaaaaa
Nimeshangaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...sekta binafsi labda mwaka jana sababu ya corona bt the rest watu walikua wanakula increment km kawaida.
Tuliolipa itarudi?Amefuta 6% retention fee kwenye mkopo wa bodi
Hairudi hiyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tuliolipa itarudi?
Hahaha warudishiweTuliolipa itarudi?
Imekula kwenu na viherer here vyenu[emoji23] [emoji23]Tuliolipa itarudi?