Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Mama Samia ; sekta binafsi miaka 8 hawajapandishiwa mshahara, hapa nadhani mama kateleza,sekta binafsi gani hiyo miaka 8 hawajapandishiwa mishahara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...sekta binafsi labda mwaka jana sababu ya corona bt the rest watu walikua wanakula increment km kawaida.
 
Mkuu, swala la kuongeza mishahara sio jepesi kama watu wanavyofikiri lina impact kubwa sana kwenye uchumi na sio kila nchi huwa inaongeza mishahara mara kwa mara.

Tatizo la jamii yetu sio kila mtu ni mwajiriwa na anafahamu ongezeko la mshahara ni kiasi gani, mfanyabiashara ambaye hajawahi ajiriwa akisikia tu tangazo kuwa mshahara umeongezeka basi naye atapandisha bei ya bidhaa na huduma, hajui kwamba mshahara umeongezeka kiasi gani, mradi kasikia tu umeongezeka naye atapandisha bei.

Sasa hii inamadhara kwani kipato hicho hakijaongezeka kwa watu wote bali kwa watu wachache tu, hii itaathiri mno wale ambao hawana ajira ambao ni wengi,

Ongezeko la mishahara pia inamaana kwamba tupunguze kufanya baadhi ya mambo tuliyokua tunayafanya ili fedha ziende huko

Kupanga ni kuchagua, tuamue kulipana mahela tu tusifanye lolote au tubebane hivyo hivyo kwa manufaa ya wote.

Rais ataamua.
Duuuh we jamaa ni famba sana yaan ,sijui unakijua unachokiongea au una harisha tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mishahara Hakuna nyongezaaa woyoooooo...........

Jamani mama alishasema yeye na mwendazake ni kitu kimojaaaaa...... wafanyakazi vumilieni tuuu, kaahidi mwakani mambo yatakuwa poaaaaa.........
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hakuna nyongeza....hadi mwakaniiiiiiii
 
[emoji23][emoji23] Niliwasiliana na demu wangu ambae ni mtoto wa mh mama nikamwambia mwambie mama asiongeze hata mia mama mkwe kanisikia[emoji4][emoji4][emoji847][emoji56][emoji3][emoji199]
 
Back
Top Bottom