Meir Dagan na ujasusi wa Mossad dhidi ya Iran kumiliki silaha za nyuklia

Meir Dagan na ujasusi wa Mossad dhidi ya Iran kumiliki silaha za nyuklia

Nimekutumia kingine kwa Email, ukichukua na kwenye huo uzi niliokuelekeza utakuwa na vitabu vitatu. Vyengine wadau watakuelekeza, ila kuna kimoja kizuri sana sijakipata bado kinaitwa DUET IN BEIRUT humo utawasoma KIDON, assassination unit ya Mossad inayoogopwa duniani
Shukrani Mkuu.Ubarikiwe.
 
Vipi Mkuu, toa neno


Mkuu, nimejifunza sana hapa.
Pia nimetathimini nchi yangu Tanzania na vugu vugu la kiasiasa pamoja na hii Sera yetu mpya ya viwanda maana nikiangalia hiyo movement nashindwa kuelewa kama tuko salama na kwa kiasi gani?

Je, ndege zetu haziwezi haribiwa (bombardier), je viwanda vinavyojengwa vitakuwa salama?
Utawala na serikali yetu zitakuwa salama?
Na hii, ni baada ya serikali yetu kuja na mstakabali mpya wa maslahi ya Taifa kuliko hapo kwanza!

Daaah, maana naona hao jamaa wanatumia njia zote ili kutimiza azima yao ya kuharibu kila namna ya mfumo wa Iran na mipango yake ya nuklia mfano, fedha, siasa, ushawishi (lobbying) vyote vinatumika hadi kuua!!

Sasa, ukiangalia hapo Tanzania, je tuna watu wenye uzalendo huo wa kukataa hela ili wasituletee majanga katika nchi yetu?

Kwa ujumla ni hali ya utata sana , maana daaah, tunahitaji kufanya msasa mkubwa sana na kurekebisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hadi wananchi kuhusu kujenga uzalendo aisee.

Halafu, nimesikitika sana kuwa hao watu wa Iran, walipitisha baadhi ya virutubisho vya nuklia huku kwetu Tanzania japo vilikamatwa ila ni mbaya sana , je sisi hatukujua kuwa hivyo vitu ni hatari kupitishwa hapo Tanzania ?

Ila kwa ujumla , tunapaswa kuwa makini sana hapo Tanzania kwa sasa kuliko wakati wowote kwa kulinda Taifa letu.
 
Vipi Mkuu, toa neno

Ndiyo maana nikasema , " aiseee" ili nitafakali vizuri hasa kulinganisha nchi yetu. Na huu ujanja wa wazungu. Hasa pale wanapotaka kitu chochote
 
Mkuu, nimejifunza sana hapa.
Pia nimetathimini nchi yangu Tanzania na vugu vugu la kiasiasa pamoja na hii Sera yetu mpya ya viwanda maana nikiangalia hiyo movement nashindwa kuelewa kama tuko salama na kwa kiasi gani?

Je, ndege zetu haziwezi haribiwa (bombardier), je viwanda vinavyojengwa vitakuwa salama?
Utawala na serikali yetu zitakuwa salama?
Na hii, ni baada ya serikali yetu kuja na mstakabali mpya wa maslahi ya Taifa kuliko hapo kwanza!

Daaah, maana naona hao jamaa wanatumia njia zote ili kutimiza azima yao ya kuharibu kila namna ya mfumo wa Iran na mipango yake ya nuklia mfano, fedha, siasa, ushawishi (lobbying) vyote vinatumika hadi kuua!!

Sasa, ukiangalia hapo Tanzania, je tuna watu wenye uzalendo huo wa kukataa hela ili wasituletee majanga katika nchi yetu?

Kwa ujumla ni hali ya utata sana , maana daaah, tunahitaji kufanya msasa mkubwa sana na kurekebisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hadi wananchi kuhusu kujenga uzalendo aisee.

Halafu, nimesikitika sana kuwa hao watu wa Iran, walipitisha baadhi ya virutubisho vya nuklia huku kwetu Tanzania japo vilikamatwa ila ni mbaya sana , je sisi hatukujua kuwa hivyo vitu ni hatari kupitishwa hapo Tanzania ?

Ila kwa ujumla , tunapaswa kuwa makini sana hapo Tanzania kwa sasa kuliko wakati wowote kwa kulinda Taifa letu.
Naam Mkuu, hapo sitakiwi kuongeza neno kabisa.
 
Ndiyo maana nikasema , " aiseee" ili nitafakali vizuri hasa kulinganisha nchi yetu. Na huu ujanja wa wazungu. Hasa pale wanapotaka kitu chochote
Kweli kabisa, lakini hakuna linaloshindikana Mkuu
 
Yote sawa lakini kuua wanasayansi ina kera.

Pale suala kubwa siyo wanasayansi, issue ni ulinzi wa Taifa ni bora wanasayansi 100 wafe Taifa lenye watu 3 millioni (au zaidi ya idadi hiyo ipone) lipone.

Ndiyo, mama basi hata driver wa magari ya abiria anaruhusiwa kisheria kuwagonga watu 2 au 1 ili waliomo kwenye basi labda50 au 60 wapone.

Kwa.hiyo hapo issue ni Taifa na siyo sayansi waliyobeba, na hapo ukumbuke ni wanasayansi wa Taifa adui yao kwa hiyo ni lazima wafe.
 
mngony,

Umeandika doc nzuri, sasa tunapaswa kuiweka katika Taifa letu na kujilinda Aiseee!
Nimekupa "like "
 
mngony,

Umeandika doc nzuri, sasa tunapaswa kuiweka katika Taifa letu na kujilinda Aiseee!
Nimekupa "like "
Aaah wahusika wanayajua haya Mkuu, naskia wapo vizuri kwa hiyo tusiwe na shaka Taifa letu liko mikono salama
 
Back
Top Bottom