mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
- Thread starter
- #61
sawa mkuu. jimmyfoxxgongomngony next time nitag mkuu sijapita siku nyingi huku kukutana na makala kama hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuu. jimmyfoxxgongomngony next time nitag mkuu sijapita siku nyingi huku kukutana na makala kama hizi.
uzalendo muhimu na pia serikali ihakikishe hakuna mianya ya kuruhusu hayo kutokea PoiseAaah, ni kweli unachosema.
Sasa katika hali hiyo, ndiyo sasa nchi zetu/ yetu wananchi wanapaswa kuwa wazalendo hasa na kuilinda nchi yake/ yetu.
Naelewa kuwa hao USA na wazungu koko wenzake huwa wanatenda vitu vingi kutuangusha mara zote.
Kwa hiyo, tushikamane kama nchi kujiimalisha
Kazi kweli kweli MkuuMkuu, nimejifunza sana hapa.
Pia nimetathimini nchi yangu Tanzania na vugu vugu la kiasiasa pamoja na hii Sera yetu mpya ya viwanda maana nikiangalia hiyo movement nashindwa kuelewa kama tuko salama na kwa kiasi gani?
Je, ndege zetu haziwezi haribiwa (bombardier), je viwanda vinavyojengwa vitakuwa salama?
Utawala na serikali yetu zitakuwa salama?
Na hii, ni baada ya serikali yetu kuja na mstakabali mpya wa maslahi ya Taifa kuliko hapo kwanza!
Daaah, maana naona hao jamaa wanatumia njia zote ili kutimiza azima yao ya kuharibu kila namna ya mfumo wa Iran na mipango yake ya nuklia mfano, fedha, siasa, ushawishi (lobbying) vyote vinatumika hadi kuua!!
Sasa, ukiangalia hapo Tanzania, je tuna watu wenye uzalendo huo wa kukataa hela ili wasituletee majanga katika nchi yetu?
Kwa ujumla ni hali ya utata sana , maana daaah, tunahitaji kufanya msasa mkubwa sana na kurekebisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hadi wananchi kuhusu kujenga uzalendo aisee.
Halafu, nimesikitika sana kuwa hao watu wa Iran, walipitisha baadhi ya virutubisho vya nuklia huku kwetu Tanzania japo vilikamatwa ila ni mbaya sana , je sisi hatukujua kuwa hivyo vitu ni hatari kupitishwa hapo Tanzania ?
Ila kwa ujumla , tunapaswa kuwa makini sana hapo Tanzania kwa sasa kuliko wakati wowote kwa kulinda Taifa letu.
Kwa nini Mkuu MarkHilaryDuh Marekani walaaniwe!
Karibu sana Mkuu MTOTO WA KUKUAsante mkuu