Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama wewe MkuuDah! Dunia ina wanafiki hii
Nalog off
Kitabu kinapatikana vipi mkuu?Shukran Mkuu, kwenye kitabu ujionee zaidi
shukran, kwa urahisi ingia kwenye link hii ya thread thread mwishoni kuna vitabu vimekuwa uploaded utapakuwa KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine . Ikishindikana utanipa email nikutumieKitabu kinapatikana vipi mkuu?
Asante kwa Nondo
Naam Mkuu, naamini umeyasoma mengi kuhusu hawa watu.Naoana masimulizi ya Mossad na ujasusi kwa ujumla yanashamiri sana JF
Well, kitabu cha Spies Against Armageddon kinapata wasomaji wapya kila siku.
Nilikisoma kwa mara ya kwanza 2014
Umeona eh!kama wewe Mkuu
Ahsante Mkuushukran, kwa urahisi ingia kwenye link hii ya thread thread mwishoni kuna vitabu vimekuwa uploaded utapakuwa KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine . Ikishindikana utanipa email nikutumie
Transcend KalistusM
Kanuni za kimaumbileWayahudi ni next level. Usalama wa kwetu wana deal na Chadema tu. Hapa ss tunaibiwa mpaka nchanga watu wamelala tu. Shame to them
wale mbona no vikaragosi vya marekani na ulaya magharibi tu!..hawana lolote,wanapewa Intel wao wana-execute tuMkuu wamepitia mengi kufika hapo, wanasema kisichokuuwa kinakufanya uwe imara zaidi. Wametoka jasho, machozi na damu mpaka kufikia hapo. nditolo
Ni kwa sababu wao ndio wametawala U.S na mataifa makubwa Ulaya. Chunguza kwa umakini utagundua hilo. Kwa hiyo ni wao wenyewe wanajisaidia.wale mbona no vikaragosi vya marekani na ulaya magharibi tu!..hawana lolote,wanapewa Intel wao wana-execute tu
muwe mnasoma na kudadisi mambo,story za kwenye vilinge vya pombe muache,taifa LA Israel limeanzishwa na uingereza na ufaransa ili kuidhibiti mashariki ya kati,hebu fikiria taifa hill lisingekuwepo mashariki ya kati ingekuwaje,Leo marekani anatoa billions of dollars kwa Israel kama atoavyo kwa Pakistani ili kucheza Afghanistan,Israel hamtawali MTU yoyote yule,huwezi kumtawala MTU anaekulisha na kukulindaNi kwa sababu wao ndio wametawala U.S na mataifa makubwa Ulaya. Chunguza kwa umakini utagundua hilo. Kwa hiyo ni wao wenyewe wanajisaidia.
Sikiliza Mheshimiwa sana, kama huwezi kujadiliana kwa heshma basi mimi sitoweza.muwe mnasoma na kudadisi mambo,story za kwenye vilinge vya pombe muache,taifa LA Israel limeanzishwa na uingereza na ufaransa ili kuidhibiti mashariki ya kati,hebu fikiria taifa hill lisingekuwepo mashariki ya kati ingekuwaje,Leo marekani anatoa billions of dollars kwa Israel kama atoavyo kwa Pakistani ili kucheza Afghanistan,Israel hamtawali MTU yoyote yule,huwezi kumtawala MTU anaekulisha na kukulinda
unataka nikuamkie mwanzo wa komenti yanguSikiliza Mheshimiwa sana, kama huwezi kujadiliana kwa heshma basi mimi sitoweza.