Meir Dagan na ujasusi wa Mossad dhidi ya Iran kumiliki silaha za nyuklia

mngony,

Umeandika doc nzuri, sasa tunapaswa kuiweka katika Taifa letu na kujilinda Aiseee!
Nimekupa "like "
Shukrani kwa like Mkuu, lakini nilichofanya ni kuandika tu kwa muhtsari ili kujuzana kwa uchache yanayoendelea duniani
 
Kweli mashirika ya kujasusi ni muhimu sana katika nchi
 
Endelea kutuletea vtu adim
 
Wenye wasi wasi juu ya tz, msubiri tuwe na mzigo mkubwa, na tuweke juhudi za kulinda mali zetu ndo utaona majibu
 
Shukrani kwa like Mkuu, lakini nilichofanya ni kuandika tu kwa muhtsari ili kujuzana kwa uchache yanayoendelea duniani

Ni elimu kubwa sana kwa sababu, mambo na elimu ya kijasusi imejificha sana . hasa hizo taarifa za lobbying na mbinu chafu za nchi tajiri zinazo weza kutumika kuangusha nchi zetu hizi maskini pia, inaonesha ni kiasi gani wanavyoweza kutumia hadi vikundi vya uhaini au kuleta fujo katika nchi iliyokusudiwa.
Tena itatusaidia wananchi kuona madhara ya kutumiwa na nchi za nje kufanya mambo ya kuleta uhalifu katika nchi zetu.

Kwa hiyo, endelea kudadavua pale upatapo taarifa kama hizi.

Big up, and keep it up!
 
Wenye wasi wasi juu ya tz, msubiri tuwe na mzigo mkubwa, na tuweke juhudi za kulinda mali zetu ndo utaona majibu

Hapa siyo wasiwasi au kuombea mambo mamba yapate nchi yetu Hapana! Ila andiko kama hili, linatusaidia kutambua mbinu chafu za nchi tajiri kuharibu nchi zingine.

Kwa, andiko kama hili linanifanya nione vizuri ili niweze kuilinda nchi yangu , Tanzania .

Japo, yupo labda anayeweza kuitumia vibaya andiko hili lakini, Naamini kuwa nchi yetu iko imara sanaaaaa na hataweza kututenganisha!

Ila, tusije tukabweteka!
 
Ndiyo, mama basi hata driver wa magari ya abiria anaruhusiwa kisheria kuwagonga watu 2 au 1 ili waliomo kwenye basi labda50 au 60 wapone.

Naomba msaada wa kifungu hiki na jina la sheria ikiwemo mwaka na namba yake.
 
Naomba msaada wa kifungu hiki na jina la sheria ikiwemo mwaka na namba yake.

Hicho hakina katiba wala andiko ni logic na nimeona mtu akiachiwa mahakamani kwa kujitetea kwa hiyo concept na hakufungwa.

Unahitaji akili ya ziada mfano, hospital mama mjamzito akiwa na shida wanatoa kichanga mama anaishi.

Kwa kifupi wanaua mtoto ili mama aishi

Hapo huwa ni logic tu
 
Naam Mkuu
 
Asante sana
 
Nice write up.

Maelezo haya yapo kwenye kitabu Spies Against Armageddon

Mambo mengi sana yakusoma kuhusu intelligence community.
 
Nice write up.

Maelezo haya yapo kwenye kitabu Spies Against Armageddon

Mambo mengi sana yakusoma kuhusu intelligence community.
Naam Mkuu, nimewaandikia hapo mwishoni. Tena kuna mengi zaidi watakaopitia kitabu. Safi Mkuu naamini utakuwa umeona mengi ya hawa wazee wa kazi Mwelewa
 
Ishu si wananchi wenyewe hapana, ishu ni pale nchi inapo jaribu kupanua na kujiimarisha nguvu yake, na huyu USA hataki kuona nchi ndogo inachiippua
 
Ishu si wananchi wenyewe hapana, ishu ni pale nchi inapo jaribu kupanua na kujiimarisha nguvu yake, na huyu USA hataki kuona nchi ndogo inachiippua
Wanayoyafanya wao wanaona ni kwa ajili ya Usalama wa mataifa yao. Kila taifa linafanya kadri linavyoweza na kuzidiana kupo kama tunavyoona. Kwa hiyo sisi tunaweza kuwalaumu lakini laiti tungekuwa na utaifa wa hayo mataifa huenda tungesema tofauti.
 
Ishu si wananchi wenyewe hapana, ishu ni pale nchi inapo jaribu kupanua na kujiimarisha nguvu yake, na huyu USA hataki kuona nchi ndogo inachiippua

Aaah, ni kweli unachosema.
Sasa katika hali hiyo, ndiyo sasa nchi zetu/ yetu wananchi wanapaswa kuwa wazalendo hasa na kuilinda nchi yake/ yetu.
Naelewa kuwa hao USA na wazungu koko wenzake huwa wanatenda vitu vingi kutuangusha mara zote.
Kwa hiyo, tushikamane kama nchi kujiimalisha
 
hongera mkuu
pamoja na challenge hizo naona iran inasonga mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…