Meir Dagan na ujasusi wa Mossad dhidi ya Iran kumiliki silaha za nyuklia

hongera mkuu
pamoja na challenge hizo naona iran inasonga mbele
Shukran Mkuu, ngoja tuone mambo yaendavyo lakini unavyosema kusonga mbele katika nini? kwenye umiliki wa silaha za nyuklia sidhani kama wanasonga mbele kimsboy
 
uzalendo muhimu na pia serikali ihakikishe hakuna mianya ya kuruhusu hayo kutokea Poise
 
Kazi kweli kweli Mkuu
 
Checking...100%
Searching...100%
Network connected !

Near by Soweto Mbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…