Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Inaonekana alipikwa vema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio amebeba sana yale mabegi yao wanayoyajaza upepo mboni sijawahi kumuona kiwanjani pale kwa Nkapa akituonyesha show?Hahaha Hiyo Eagle wing badge 🤣🤣
Mungu Aninusuru Kuchangia Hoja Hii 🤣🤣🤣Kwa hio amebeba sana yale mabegi yao wanayoyajaza upepo mboni sijawahi kumuona kiwanjani pale kwa Nkapa akituonyesha show?
Utakuta hata kupiga mbizi haweziKomandoo wa? Kubeba mabegi yenye upepo mwingi kwenye maonyesho kwa Nkapa?
Amepitia mafunzo ngazi zoote navy commando.....kuwa kwenye utawala na umri....ndio sababu yuko hivyo ila yuko fit....tuheshimu taaluma za watu....jambo afandeLabda alikuwaga, ila sasa hivi kwa uzee huo na mwili huo hawezi kazi ya ukomandoo..!! Ukomamdoo ni kuwa very fit physically, mentally and age plays major role..!! Sasa imagine mtu uwe na miaka 60 useme ni komandoo, haipo sawa
Wanamtafuta ya rohoni AfandeAmepitia mafunzo ngazi zoote navy commando.....kuwa kwenye utawala na umri....ndio sababu yuko hivyo ila yuko fit....tuheshimu taaluma za watu....jambo afande
SISULabda alikuwaga, ila sasa hivi kwa uzee huo na mwili huo hawezi kazi ya ukomandoo..!! Ukomamdoo ni kuwa very fit physically, mentally and age plays major role..!! Sasa imagine mtu uwe na miaka 60 useme ni komandoo, haipo sawa
Weeeee huyooo amesota sanaaa hadi hapo uliza lazima ameingia jeshi kabla 1992.....ulizautarudi hapa....hadi Maj Gen sio kitoto sikia tuuu...huwa hawazidi 20 nchi nzima ....hao hadhi sawa na Majaji na PM na speakerwakistaafu hula 80% salary hadi kufaa pkus gari mafuta na ulinziWanamtafuta ya rohoni Afande
Kisa majina yake wanahisi ni Dada kanisend
Jambo afandejambo afande
Jambo sanaaaaJambo afande
WaziiiWeeeee huyooo amesota sanaaa hadi hapo uliza lazima ameingia jeshi kabla 1992.....ulizautarudi hapa....hadi Maj Gen sio kitoto sikia tuuu...huwa hawazidi 20 nchi nzima ....hao hadhi sawa na Majaji na PM na speakerwakistaafu hula 80% salary hadi kufaa pkus gari mafuta na ulinzi
Tena wanakua wanaaa kinomawapemba wengi tu makomandoo wa jeiwii sema wengine wanakatazwa na ndugu zao kisa dini
Duuuui better uko raia hivyohivyoNa huo mtambi hapo atamkomandia nani😂😂😂
Au sio kamandaDuuuui better uko raia hivyohivyo