Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

Wafanye tafiti za kisayansi ambazo zinasaidia kwenye Ugunduzi Mpya na Uundaji wa Silaha zetu wenyewe hapa hapa Tanzania.
Waanzishe Viwanda Vipya vya Kutengeneza na Kuunda Silha za Kisasa kwa ajili ya shughuli za Ulinzi na Usalama, sambamba za Silaha na Mifumo ya Kupigania Vita.
Mathalani, wangeanzisha Kiwanda Cha Kutengeneza Ndege zisizo na Rubani (Drones).
TZ hii au?
 
Marekani ndio wanafanya hivyo mkuu?
Kwanza kwa nini unajilinganisha na Marekani?

Unajua bajeti ya ulinzi ya Marekani ni kiasi gani?

2.09 trillion US dollars.

$2,090,000,000,000.

Unajua pato la taifa la Tanzania, nchi nzima, si bajeti ya ulinzi, ni kiasi gani?

75.73 billion US dillars (2022)

$75,730,000,000.

Bajeti ya ulinzi ya Marekani ni sawa na pato zima la taifa la Tanzania mara 27.6

Unalinganishaje hapo?
 
Kwanza kwa nini unajilinganisha na Marekani?

Unajua bajeti ya ulinzi ya Marekani ni kiasi gani?

2.09 trillion US dollars.

$2,090,000,000,000.

Unajua pato la taifa la Tanzania, nchi nzima, si bajeti ya ulinzi, ni kiasi gani?

75.73 billion US dillars (2022)

$75,730,000,000.

Bajeti ya ulinzi ya Marekani ni sawa na pato zima la taifa la Tanzania mara 27.6

Unalinganishaje hapo?
Tatizo lako vitu vidogo unavikuza umeelewa nilichokuuliza mkuu?
 
Meja Jenerali Charles Mbuge amestaafu na kuagwa jeshini baada ya kulitumikia jeshi kwa miaka 38.

Enzi ya utumishi wake jeshini, aliwahi kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa na baadae kushika majukumu mbalimbali ya kijeshi.

Anakumbukwa jinsi alivyokuwa kipenzi cha Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.

Ni katika awamu ya tano, ambapo Meja Jenerali Mbuge aliibuka baada ya kazi nzuri ya ujenzi wa ukuta wa Mirerena na kupanda vyeo mfululizo hali iliyoibua minong’ono kwa wengi kuwa alikuwa anaandaliwa kuwa Mkuu mpya wa Majeshi.

Tunakutakia maisha mema ya kustaafu, utumishi wako jeshini umetukuka!View attachment 3063607

Soma pia: Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?
Tausi akiendeshwa umeme ukiruka bonde la mto msimnazi chai hainogi bila chapati na mihogo ya mbagala
 
Tatizo lako vitu vidogo unavikuza umeelewa nilichokuuliza mkuu?
Tatizo lako hupendi facts.

Umeelewa nilichokujibu mkuu?

Kanuni ya kwanza ya kulinganisha vitu ni kulinganisha vitu vinavyofanana, ndiyo maana hata kwenye michezo kuna ligi tofauti, kuna ngumi kwa uzito tofauti.

Sasa wewe unataka kupambanisha bondia wa heavyweight na wa featherweight?
 
Meja Jenerali Charles Mbuge amestaafu na kuagwa jeshini baada ya kulitumikia jeshi kwa miaka 38.

Enzi ya utumishi wake jeshini, aliwahi kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa na baadae kushika majukumu mbalimbali ya kijeshi.

Anakumbukwa jinsi alivyokuwa kipenzi cha Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.

Ni katika awamu ya tano, ambapo Meja Jenerali Mbuge aliibuka baada ya kazi nzuri ya ujenzi wa ukuta wa Mirerena na kupanda vyeo mfululizo hali iliyoibua minong’ono kwa wengi kuwa alikuwa anaandaliwa kuwa Mkuu mpya wa Majeshi.

Tunakutakia maisha mema ya kustaafu, utumishi wako jeshini umetukuka!View attachment 3063607

Soma pia: Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?
Mkoa wa Mara ( Musoma ) kamwe haujawahi kutoa Watu wa hovyo hovyo iwe ni kwa JWTZ na kule TISS Kudadadeki!!!
 
Tatizo lako hupendi facts.

Umeelewa nilichokujibu mkuu?

Kanuni ya kwanza ya kulinganisha vitu ni kulinganisha vitu vinavyofanana, ndiyo maana hata kwenye michezo kuna ligi tofauti, kuna ngumi kwa uzito tofauti.

Sasa wewe unataka kupambanisha bondia wa heavyweight na wa featherweight?
Kwani hapo umeona nimepanisha au nimekuuliza hayo mambo ndio umeona marekani? Mkuu hilo swali nililokuuliza liangalie vizuri
 
Meja Jenerali Charles Mbuge amestaafu na kuagwa jeshini baada ya kulitumikia jeshi kwa miaka 38.

Enzi ya utumishi wake jeshini, aliwahi kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa na baadae kushika majukumu mbalimbali ya kijeshi.

Anakumbukwa jinsi alivyokuwa kipenzi cha Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.

Ni katika awamu ya tano, ambapo Meja Jenerali Mbuge aliibuka baada ya kazi nzuri ya ujenzi wa ukuta wa Mirerena na kupanda vyeo mfululizo hali iliyoibua minong’ono kwa wengi kuwa alikuwa anaandaliwa kuwa Mkuu mpya wa Majeshi.

Tunakutakia maisha mema ya kustaafu, utumishi wako jeshini umetukuka!View attachment 3063607

Soma pia: Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?
Kila la heri general, karibu tena lindi
 
Sasa mbona tunawaona sehemu nyingi mbali na mipaka?

Wajikite zaidi kwenye shughuli za kiuchumi, watumike kujenga zaidi, watumike kwenye engineering projects zaidi.

Sasa hivi ukiondoa hizo habari nikizozitaja hapo juu, ambazo haziwezi kuchujua vikosi vingi sana, sielewi wanajeshi wanafanya kazi gani.

Hawawezi kuwa wanafanya mazoezi ya vita siku zote.
Hawana ishu wanafuga vitambi na kula misele
 
Afande wangu huyu Kipindi Nipo Ruvu JKT pale

Jamaa Hana shida ila ukiingia kwenye kumi na nane zake UMEKWISHA
 
Back
Top Bottom