Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
832 KJ au siyo!Afande wangu huyu Kipindi Nipo Ruvu JKT pale
Jamaa Hana shida ila ukiingia kwenye kumi na nane zake UMEKWISHA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
832 KJ au siyo!Afande wangu huyu Kipindi Nipo Ruvu JKT pale
Jamaa Hana shida ila ukiingia kwenye kumi na nane zake UMEKWISHA
Ndio mkuu sasa mbona hukunijibu nilivyokuuliza mkuu?Umeniuliza hivi.
"Marekani ndio wanafanya hivyo mkuu?"
Au hujauliza hivyo wewe?
Akakutane na kikokotoo, kimkokotoe vzrMeja Jenerali Charles Mbuge amestaafu na kuagwa jeshini baada ya kulitumikia jeshi kwa miaka 38.
Enzi ya utumishi wake jeshini, aliwahi kuwa Mkuu wa JKT, Mkuu wa Mkoa na baadae kushika majukumu mbalimbali ya kijeshi.
Anakumbukwa jinsi alivyokuwa kipenzi cha Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.
Ni katika awamu ya tano, ambapo Meja Jenerali Mbuge aliibuka baada ya kazi nzuri ya ujenzi wa ukuta wa Mirerena na kupanda vyeo mfululizo hali iliyoibua minong’ono kwa wengi kuwa alikuwa anaandaliwa kuwa Mkuu mpya wa Majeshi.
Tunakutakia maisha mema ya kustaafu, utumishi wako jeshini umetukuka!
View attachment 3063607
Soma pia: Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?
Alikuwa rushwa hifadhi ya Serengeti ardhi ya wananchi akaenda site akawapa TANAPA ,
Samia akaona isiwe tabu kaa pembeni
eeMkoa wa Mara ( Musoma ) kamwe haujawahi kutoa Watu wa hovyo hovyo iwe ni kwa JWTZ na kule TISS Kudadadeki!!!
Hyo pesa unayo? Acha kujitekenya basiiiWafanye tafiti za kisayansi ambazo zinasaidia kwenye Ugunduzi Mpya na Uundaji wa Silaha zetu wenyewe hapa hapa Tanzania.
Waanzishe Viwanda Vipya vya Kutengeneza na Kuunda Silha za Kisasa kwa ajili ya shughuli za Ulinzi na Usalama, sambamba za Silaha na Mifumo ya Kupigania Vita.
Mathalani, wangeanzisha Kiwanda Cha Kutengeneza Ndege zisizo na Rubani (Drones).
huyu hana shida hadi anazama kaburini.. ni mali ya serikali hiyo hadi siku anakata kambaAkakutane na kikokotoo, kimkokotoe vzr
Italindwa mithili ya nyara ya serikali.huyu hana shida hadi anazama kaburini.. ni mali ya serikali hiyo hadi siku anakata kamba
Wanakaa chini ya miembe kupiga stori na kuwatisha raia na kombati zaoSasa mbona tunawaona sehemu nyingi mbali na mipaka?
Wajikite zaidi kwenye shughuli za kiuchumi, watumike kujenga zaidi, watumike kwenye engineering projects zaidi.
Sasa hivi ukiondoa hizo habari nikizozitaja hapo juu, ambazo haziwezi kuchujua vikosi vingi sana, sielewi wanajeshi wanafanya kazi gani.
Hawawezi kuwa wanafanya mazoezi ya vita siku zote.
😁 kuna vyeo ukifika kwenye hii nchi ni burdan tu.. hapo kila kitu anapata na anachopata ni kikubwa hata kwa baadhi ya walio active kaziniItalindwa mithili ya nyara ya serikali.
Ndio mkuu sasa mbona hukunijibu nilivyokuuliza mkuu?
Mkuu umeulizwa marekani wanafanya jibu ni yes au no.Yani ndiyo umepata vocha baada ya wiki au vipi?
Sikukujibu au sikukujibu ulivyotaka wewe?
Kwa nini swali kiwe Marekani ikiwa Marekani na Tanzania hazipo sawa?
Unalinganisha vipi vitu ambavyo havilinganishiki?
Sijategemea nisome comment hii kutoka kwako? Au kuna mjinga amehack simu yakoPongezi na kwaheri.
Kwa sasa Jenerali anaweza kuwa kafanya kazi jeshini miaka 35 na hajapigana vita ya Tanzania.
Ukiondoa missions za kimataifa na shughuli za kujenga taifa za jeshi kama ufundi na kilimo, na ulinzi wa mipaka, majeshi yetu yanafanya nini hasa?
Hapana,Mkuu umeulizwa marekani wanafanya jibu ni yes au no.
Sijategemea nisome comment hii kutoka kwako? Au kuna mjinga amehack simu yako