Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

TZ hii au?
 
Marekani ndio wanafanya hivyo mkuu?
Kwanza kwa nini unajilinganisha na Marekani?

Unajua bajeti ya ulinzi ya Marekani ni kiasi gani?

2.09 trillion US dollars.

$2,090,000,000,000.

Unajua pato la taifa la Tanzania, nchi nzima, si bajeti ya ulinzi, ni kiasi gani?

75.73 billion US dillars (2022)

$75,730,000,000.

Bajeti ya ulinzi ya Marekani ni sawa na pato zima la taifa la Tanzania mara 27.6

Unalinganishaje hapo?
 
Tatizo lako vitu vidogo unavikuza umeelewa nilichokuuliza mkuu?
 
Tausi akiendeshwa umeme ukiruka bonde la mto msimnazi chai hainogi bila chapati na mihogo ya mbagala
 
Tatizo lako vitu vidogo unavikuza umeelewa nilichokuuliza mkuu?
Tatizo lako hupendi facts.

Umeelewa nilichokujibu mkuu?

Kanuni ya kwanza ya kulinganisha vitu ni kulinganisha vitu vinavyofanana, ndiyo maana hata kwenye michezo kuna ligi tofauti, kuna ngumi kwa uzito tofauti.

Sasa wewe unataka kupambanisha bondia wa heavyweight na wa featherweight?
 
Mkoa wa Mara ( Musoma ) kamwe haujawahi kutoa Watu wa hovyo hovyo iwe ni kwa JWTZ na kule TISS Kudadadeki!!!
 
Kwani hapo umeona nimepanisha au nimekuuliza hayo mambo ndio umeona marekani? Mkuu hilo swali nililokuuliza liangalie vizuri
 
Kila la heri general, karibu tena lindi
 
Hawana ishu wanafuga vitambi na kula misele
 
Afande wangu huyu Kipindi Nipo Ruvu JKT pale

Jamaa Hana shida ila ukiingia kwenye kumi na nane zake UMEKWISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…