Unapokubali kutumiwa kumchokoza jirani yako kwa manufaa ya hao wanaokusukuma ufanye hivyo, unakuwa ni chambo.Unakuaje chambo kwa mfano? Ni jambo gani ukilifanya unahesabika umekubali kuwa chambo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapokubali kutumiwa kumchokoza jirani yako kwa manufaa ya hao wanaokusukuma ufanye hivyo, unakuwa ni chambo.Unakuaje chambo kwa mfano? Ni jambo gani ukilifanya unahesabika umekubali kuwa chambo??
kama unajua siyajui, mizungusho ni ya nini sasa! Si mwaga tu hapa tukusome, tukubaliane nawe au tukatae.Najua huyajui ndio maana najaribu kupanua ufahamu wako.
ma-CCM mengi hata hiyo Clouds hayaisikilizi! Yenyewe hilizika na kuangalia Matangazo ya TIBISI tu.Angalia na kusikiliza taarifa za habari kutoka vyombo vya kimataifa na siyo kuishia kuangalia Clouds!
Urusi haikuamka tu siku moja toka usingizini na kuamua kuvamia Ukraine bila ya sababu yoyote. Hili ndilo unalotakiwa kulifahamu.Je kati ya Ukraine na Urusi nani aliyemvamia mwenzake nakuanzisha vita vya kichokozi?
Duuuuuuh. Hiii vita Putin angetumia akili ilikuwa ni vita ya kushinda siku Moja tuuu kama angetumia akili kama ifuatavyo;Akirudi nyumbani Urusi atalazimishwa ailipe fidia UKRAINE kwa uharibifu na Putin atapelekwa the Hague kwa mauaji ya waukraine wasio na hatia
Kwamba na Nchi za NATO nazo zifanye Uvamizi dhidi ya Urusi? Mbona ushabiki wenu kwa Dictator Putin unatukera sana? NATO inatumia kanuni ya kuutolea mwiba pale pale ulipoingilia.Sasa waulize kinachowazuia ni kitu gani kwenda kummaliza huyo mRusi moja kwa moja, na badala yake wanamtumia chambo wao Ukraine kufanya kazi ambayo wao wangeimaliza harakaharaka na kuondoa tatizo.
Putin amezivamia na kubadiri viongozi wa nchi kadhaa zilizokuwa kwenye Soviet union ya zamani kwa lengo la kuirudisha Soviet Union. Sasa kwa kujazwa Propaganda haya huwezi kuyajua. Ukraine ilianza kuvamiwa na Urusi tangu 2014 ambapo walifanikiwa kuipora Cremia na kuanza kuwafadhili waasi wa makundi ya Majimbo matatu yaliyo tangaza kujitenga na Ukraine. Sasa Akili za Ukraine kuwa chambo ya nchi za NATO nyie mnaikuta wapi?Urusi haikuamka tu siku moja toka usingizini na kuamua kuvamia Ukraine bila ya sababu yoyote. Hili ndilo unalotakiwa kulifahamu.
Sasa kwa kauli yako mwenyewe hayo madege ni ya NATO au US? Hi dunia kweli ni mviringo 🤓Kwamba NATO haina Mandege? Akili yako ina uwezo wa Kushangilia uuzwaji wa Bandari za Tanganyika? Hivi US na Mandege yake ilijitoa lini kwenye shirika la NATO?
"...unawakera" wewe na nani?Kwamba na Nchi za NATO nazo zifanye Uvamizi dhidi ya Urusi? Mbona ushabiki wenu kwa Dictator Putin unatukera sana? NATO inatumia kanuni ya kuutolea mwiba pale pale ulipoingilia.
🤓 Kwahiyo ayo madege ni ya NATO au US?Kwamba NATO haina Mandege? Akili yako ina uwezo wa Kushangilia uuzwaji wa Bandari za Tanganyika? Hivi US na Mandege yake ilijitoa lini kwenye shirika la NATO?
Mimi nilishwe 'propaganda', halafu wewe ndiye uwe nani? Putin atairudisha vipi Soviet Union kama huko siyo kukosa akili moja kwa moja?Putin amezivamia na kubadiri viongozi wa nchi kadhaa zilizokuwa kwenye Soviet union ya zamani kwa lengo la kuirudisha Soviet Union. Sasa kwa kujazwa Propaganda haya huwezi kuyajua. Ukraine ilianza kuvamiwa na Urusi tangu 2014 ambapo walifanikiwa kuipora Cremia na kuanza kuwafadhili waasi wa makundi ya Majimbo matatu yaliyo tangaza kujitenga na Ukraine. Sasa Akili za Ukraine kuwa chambo ya nchi za NATO nyie mnaikuta wapi?
ma-CCM yanamshabikia sana Dictator Putin kwa sababu ndiye Rais mwenye kuziunga mkono serikali zenye kuingia Mdarakani kwa chaguzi wizi wa Kura.Kbs huyo mwehu , hajui anajidharirisha kujifanya hajui lolote
Sasa kwa akili yako unafikiri lengo la Dictator Putin kuzivamia nchi zilizokuwa kwenye Soviet union zamani ni nini? Putin kuzivamia Ukraine na kupora Cremia ni nini? Putin kuvuruga Uchaguzi wa Belarus na kumuweka madarakani Lukashenko?Mimi nilishwe 'propaganda', halafu wewe ndiye uwe nani? Putin atairudisha vipi Soviet Union kama huko siyo kukosa akili moja kwa moja?
Inaelekea hata kulikoanzia kuvunjika kwa Soviet Union hukujui, na makaubaliano yaliyofikiwa wakati huo, ambayo hao hao NATO ndio wanayoyavunja makubaliano hayo hujui?
Kwamba kwa sasa we unafanyiwa matendo ya Ushoga kwa kwa lazima? Au?Ngoja nikupe mfano mwepesi mwepesi, lakini kuna mazito zaidi ya hapo.
USHOGA.
Ndo maana kuna swali la kujiuliza kwa mtu yeyote mwenye akili timamu: US imejiondoa lini kwenye shirika la NATO?Sasa kwa kauli yako mwenyewe hayo madege ni ya NATO au US? Hi dunia kweli ni mviringo 🤓
Sasa angalia ujha huu hapa. Wewe hapa unanifundisha kitu gani, na kumbe unaingia kule kule nilikokufundisha hapo juu?Kwamba wewe hujui kuwa US ilifanikiwa kumtumutumia Rais wa Mwisho wa Soviet Union The late Gorbachov kuisambalatisha Soviet Union, jambo ambalo Putin hakubaliani nalo ndo maana hata kwenye Msiba wa Gorbachov Putin hakuhuziria?