Meli imeshusha mzigo, imeelekea Mombasa na kushusha na sasa imeishafika india! Siku 11, bado mzigo haujatoka bandarini, kisa mfumo wa TRA

BRB

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
342
Reaction score
818
Salam wanabodi. Hakika haya ni maajabu, inawezekanaje meli iliyoshusha mzigo Bandarini siku 11 nyuma, ipitie Mombasa na hadi sasa imefika India, lakini bado mzigo wangu haujatolewa bandarini?

Kila nikiuliza agent (BE FORWARD naambiwa kuwa ni tatizo la mfumo wa TRA. Haya ndio Mabadiriko chanya yanayoimbwa kila siku?. Nimeambatisha mahala meli imefika kwa rejea

Cha kushangaza, nimeambiwa kuwa kuanzia tarehe 31/01/2025, storage inaanza kusoma!
 

Attachments

  • Screenshot_20250127-190022.jpg
    284 KB · Views: 6
Nipo transport huu ni mwaka wa sita hivi ila miaka inavyoenda ndio hali inaendelea kuwa ovyo , TRA yaani daaah
Ndugu, hii ni zaidi ya changamoto. TRA hawajui kuwa kumcheleweshea mteja/mlipa kodi hata wiki moja tu ni loss kubwa sana sana. Hadi leo hii hatujui huo mfumo mpya utatengamaa lini?. Na kwa nini waanzishe mfumo ambao haujafanyiwa trial kuona kama unafaa au lah
 
Mkono mtupu haulambwi.
 
Reactions: BRB

DP World
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…