Hiyo meli jana tu ilikuwa Zanzibar. Sijui mnajisifia nini sasa
Hiyo meli jana tu ilikuwa Zanzibar. Sijui mnajisifia nini sasa
Meli ya Kitalii ya Silver Cloud Yatia Nanga Bandari ya Zanzibar | Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini
Sasa unapokuja na kujilingishia lingishia hapa nini wakati Jana tu ilikuwa Tanzania. Waringishie waganda ambao hawawezi kupata watalii kwa njia ya Meli. Kwanza kwenu hakuna beaches za maana. Tanzania ndio Baba lao kwa upande wa Beaches. Nikianza kukupa Kuanzia Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Mbeya na Zanzibar beaches nyingi za kumwaga. Nyie sasa hivi mnapumulia mpira kwenye utalii. Utalii Kenya Unashuka kwa kasi wakati Tanzania unapanda kwa kasi.Aaaw... Kumbe ilikuwa Zanzibar? Nice.
Sasa unapokuja na kujilingishia lingishia hapa nini wakati Jana tu ilikuwa Tanzania. Waringishie waganda ambao hawawezi kupata watalii kwa njia ya Meli. Kwanza kwenu hakuna beaches za maana. Tanzania ndio Baba lao kwa upande wa Beaches. Nikianza kukupa Kuanzia Tanga, Pwani, Lindi, Mtwara, Mwanza, Kigoma, Mbeya na Zanzibar beaches nyingi za kumwaga. Nyie sasa hivi mnapumulia mpira kwenye utalii. Utalii Kenya Unashuka kwa kasi wakati Tanzania unapanda kwa kasi.
Nope, they will be headed to Zanzibar after Mombasa. They came to Mombasa after Seychelles.
Sina uhakika kama kuna mzungu anatoka kwao ulaya na kuja Africa kuja kushangaa hizo hotel.kinachowabeba ni promo.ila vivutio vya utalii vya kawaida sana.
Your mo...m is fool.No you answer the fool as (s) he would like to hear.
Haha... Umefufuka. I thought you were dead. I mean you have your own Tanzanians tourist site. Why don't you go and puke there?Your mo...m is fool.
Sina uhakika kama kuna mzungu anatoka kwao ulaya na kuja Africa kuja kushangaa hizo hotel.kinachowabeba ni promo.ila vivutio vya utalii vya kawaida sana.
Ndio hivyo.hizo hotel hata kwao zipo.utalii ni zaidi ya hotel.wakenya karibuni Tanzania mje muone vivutio vya utalii.Aaaw. Good analysis
Kwikwikwi. Waongelea Hao viumbe wakati wamejaa huku bongo!!