Meli nyingine ya kifahari yawasili Kenya na watalii 900

Meli nyingine ya kifahari yawasili Kenya na watalii 900

Ongereni wakenya sie kwetu bado tunamsiba tumefiwa na FARU JOHN hivyo watalii wamepungua kwa ajiri yake alikuwa kivutio sana kwenye sector ya utalii. Sasa watz bado tunamsiba ila hatujazika tangu tusikie amekufa tumeletewa pembe tu. TANZANIA NCHI YANGU.
Askari wa kweli ni yule anayeficha mapungufu ya jeshi lake kwa maadui.
 
Haha... Umefufuka. I thought you were dead. I mean you have your own Tanzanians tourist site. Why don't you go and puke there?
Wewe unanipangia cha kufanya. Wewe tatizo lako ni kaushamba na kutoa foam mdomoni kama unakifafa.
 
Garissa... The Almond and Nomad
Almond+1-Garissa.jpg

Almond_Resort,_Garissa.jpg

almond4.jpg

1.jpg

filename-nomad-palace.jpg
 
Kenya hamna utalii mlionao bongo haupo Ila uku tunavitu nyie hamna...
 
Ndio maana ninasema wewe kuna baadhi kichwani hazipo salama. Mwenzako anaongelea meli wewe unakuja na porojo.
Nadhani utakuwa na mtindio wa ubongo. Nakushauri nenda kwa daktari kabla ya miaka arobaini la sivyo utawehuka na kurukwa na akili.

Asante. Nitaenda kesho
 
Asante. Nitaenda kesho
Hata mimi ninatibu watu kama wewe. Njoo nikusaidie maana unatia kinyaa sana. Nadhani ule ugonjwa aliokuwa na marehemu Mohamend Ally, yule bondia unakunyemelea kwa kasi. Ugonjwa huo unakufanya upoteze kumbukumbu. Unaweza kusahau kuvaa nguo na kutembea uchi. Wahi haraka sana kabla wadudu hawajamaliza ubongo wote.
 
Malindi Falconry.... Guys you should visit this place. The experience is hair raising.Those birds are huge..
F0069.jpg

e5abf5_ce5498497b1e4d74badad0b6d39ae77d.jpg_srz_314_419_85_22_0.50_1.20_0.jpg

falconry-of-kenya.jpg
 
Wakenya baada ya kuona kua Tanzania ni ya tano duniani kwa vivutio 'Kenya haijulikani ni yangapi' wanataka kuwe na visa moja ya utalii, Magu kaona ahaa, kwavili sisi hatuna usafiri wetu kwa watalii duniani, eeeh, mindege saba mzee!!!!!! Very soon wakenye watatutafuta
 
On one of those lazy days after a hard partying... One can visit the Magarini salt mines....
View attachment 445542
View attachment 445543
Wewe nimekuambia kichwani hazimo na huenda ni ufinyu wa exposure. Yaani kitu unachokiona wewe kipya unadhani ni cha ajabu sana. Mwenzako ameleta mada ya kuhusu meli wewe unaongelea chumvi. Nadhani lengo lako tushangae kumbe unaonekana mshamba kiaina.

Kwa TZ mambo ya chumvi ni ya kawaida sana. Ufukwe kuanzia Tanga mpaka Mtwara uvunaji wa chumvi ni hali ya juu.
Pia Kigoma eneo la Uvinza wewe google utaona na aibu itakukaa. Acha ushamba rudi kwenye mada kuhusu meli. Inayopita Kenya na Tanzania.
 
Majestic Amboseli..... You never know what to expect, But you are sure of "WOW"
4686059_orig.jpg

Ken13AmbIMG_2407.jpg

1363944124_amboseli-national-park-kenya-260x185.jpg
 
Back
Top Bottom