Meli nyingine ya kifahari yawasili Kenya na watalii 900

Meli nyingine ya kifahari yawasili Kenya na watalii 900

Bilashi ndio blood pressure...?no kiswahili au umeandika lugha gani?

BURE BILASHI......kama hujui kusoma fyata hicho kijibakuli chako,
Umeona wapi nikidai BILASHI ni blood pressure?, kwanini ukurupuke kusemasema bila kuuchukua muda wako kuwaza?

kalb wahed!
 
BURE BILASHI......kama hujui kusoma fyata hicho kijibakuli chako,
Umeona wapi nikidai BILASHI ni blood pressure?, kwanini ukurupuke kusemasema bila kuuchukua muda wako kuwaza?

kalb wahed!
Tuliza mihemko wewe panya
 
Ndio maana ninasema wewe kuna baadhi kichwani hazipo salama. Mwenzako anaongelea meli wewe unakuja na porojo.
Nadhani utakuwa na mtindio wa ubongo. Nakushauri nenda kwa daktari kabla ya miaka arobaini la sivyo utawehuka na kurukwa na akili.
Kwani hao watalii watalala wapi Annael? Ndo maana Depay akaweka hizo hotel hapa! Unajuaje wanaweza ziona hapahapa kwenye uzi huu kisha wakafululiza huko! Kama Vile Garissa!
 
Kwani habari hii hadi kuandikwa apa imekuaje au ndo mara ya kwanza kwa kenya meli kama iyo kuingia ni ushamba mnaleta uo,tanzania kila mwaka meli za aina hiyo huwa zinaingia me naona ni kawaida kumbe ni ishu ya kujivunia bado tuko nyuma sana au ndo timu,timu kenya na timu tz
 
The Tamarind dhow....
Dhow_Cruise_Night-excursion.jpg

go225337.jpg
 
Mmemaliza mgomo wa madaktari?Kenya choka mbayaa.mnaringia utalii.lakini shida zimewajaa.
 
Kiss and feed a Giraffee. Bamburi, Nairobi..... They love this.
2016-12-13-18-39-51-2012339287.jpeg

2016-12-13-18-39-58-655446398.jpeg

2016-12-13-18-40-04--406835132.jpeg
 
Back
Top Bottom