Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Juzi tu kuu la maaskofu huko marekani limejiuzulu kisa limegunduliwa ni lishoga linapakuliwaLete ushaidi mzehe, sio unaongea tu. Ukitaka nikuletee mashoga wa kiyahudi nitakuwekea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi tu kuu la maaskofu huko marekani limejiuzulu kisa limegunduliwa ni lishoga linapakuliwaLete ushaidi mzehe, sio unaongea tu. Ukitaka nikuletee mashoga wa kiyahudi nitakuwekea.
Yule askofu ametia aibu sana.Juzi tu kuu la maaskofu huko marekani limejiuzulu kisa limegunduliwa ni lishoga linapakuliwa
Pasific kuna resources gani hukoWazungu hawana habari tena na hao waarabu na wapersia, mafuta so dili tena, Marekani na washirika wake wanahamia pacific ambako china ina udhibiti mkubwa, Miaka 30 kutoka sasa jiandae kuwaona wahamiaji haramu wa ki-Iran wakiwa kwenye malori wakielekea south! We switching to solar and electricity!
Mtahaha sana na makobanzi yenu[emoji28][emoji28]
Kule hamna kitu haswa sema uchina inatishia usalama wetu mabepari, tunaenda pale kumwongezea nguvu SK na Japan pia kuipa mamlaka kamili Taiwan na Hongkong!Pasific kuna resources gani huko
Kwani hii ni meli ya kwanza kushambuliwa??bahat yenu ingekuwa Benjamin Netanyahu Yupo angeshawajibu
Mpambano ushaanza huko kati ya hezbollah na Israel. Mpaka sasa bado bila bila kipindi cha kwanza.Humu wamejaa wapotoshaji ambao wanakimbilia kukomenti bila kusoma habari kamili.
Hiyo Meli sio ya Israel,ni Meli ya UAE ambayo imesajiliwa nchini Israel(MANAGED BY ISRAEL).
Ndio maana kati ya watu waliouawa hakuna hata Muisrael mmoja. Waliokufa mmoja ni Mwenye Asili ya Romania na mwingine wa Uingereza.
Nawahakikishia,ingelikuwa kuna Muisrael hata mmoja amekufa mpaka sasa Israel angelikuwa kashalipa kisasi.
Ndio umeongea nn MKUU sio ya Israel halaf imesajiliwa ISRAEL huyo mnamuabudu ISRAEL wenu hasumbui wakubwa anaonea watoto tuuHumu wamejaa wapotoshaji ambao wanakimbilia kukomenti bila kusoma habari kamili.
Hiyo Meli sio ya Israel,ni Meli ya UAE ambayo imesajiliwa nchini Israel(MANAGED BY ISRAEL).
Ndio maana kati ya watu waliouawa hakuna hata Muisrael mmoja. Waliokufa mmoja ni Mwenye Asili ya Romania na mwingine wa Uingereza.
Nawahakikishia,ingelikuwa kuna Muisrael hata mmoja amekufa mpaka sasa Israel angelikuwa kashalipa kisasi.
Wasiende mbali kwa Iran, wajibu hata pale Lebanon kwa Nasrullah waone kama hawtorudi kwa Yesu mjumbe wao waliemsaliti wakaomba toba kwa mara nyengine
Wewe ndio umejaa upumbavu.Meli iliyoshambuliwa ni meli ya Mizigo iliyosajiliwa nchini Israel lakini inamilikiwa na UAE. Hapa unachoshangaa ni kipi? Ungelisema tu hujui jinsi MARITIME PRINCIPLES zinavyofanya kazi ili ueleweshwe.Ndio umeongea nn MKUU sio ya Israel halaf imesajiliwa ISRAEL huyo mnamuabudu ISRAEL wenu hasumbui wakubwa anaonea watoto tuu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Subiri mapovu ya OMO mkuu..Wayahudi weusi fake njooni huku taifa teure limepewa onyo