Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kama yeye kidume apigane na wanaume sasa siyo na wanawake na watoto.Israel anajua kazungukwa na maadui waliokaririshwa itikadi uchwara Ndo maana hana mda wa kuskiliza UN sijui UNICEF ni kupiga tu gaidi hana umri
Maelewano ni lazima japan akubali kuacha kuwaunga mkono magaidi wa israeli.Hapa kutakuwa na maelewano na Wajapani na meli itaachiwa
Tena bora Hitler angewamaliza wote mpaka huko Israel.Halafu msije kuanza kulia lia hapa IDF wanaua watoto na wazee.
Taifa teule limefika huko?"Today Israel is taking the flags off its ships and turning of its transponders,
Meli ya Israel imetekwa na Wapiganaji wa Houthi ikiwa na ma baharia wa Kijapani, hii imefuatia tangazo la hivi majuzi kuionya Israel kua meli zake zote zitalipuliwa zikikatisha Yemen [emoji779] [emoji1267][emoji1134]Israeli Ship Seizure Update
Israeli media confirmed that Houthis attacked a ship that is partially owned by an Israeli company and now have control of it.
The source claimed that there were no Israelis on the ship - only Japanese.
RiseGSView attachment 2818835
Hii meli ilikua imekodiwa na Japan ila inamilikiwa na kampuni ya Uingereza, imesheheni raia wa Ufilipino na mataifa mengine ila hakukua na Muisraeli, dunia ikiendelea kuwachekea hawa watu italia, nafikiri wanaofanya maandamano wanapaswa kuanza kuona matukio kama haya.
==========================
The Israel Defense Forces says the hijacking of a shipping vessel in the Red Sea by the Iran-backed Houthis in Yemen is a “very serious incident on the global scale.”
It says the ship was sailing from Turkey to India with an international civilian crew, without any Israelis aboard.
“This is not an Israeli ship,” the IDF adds.
The military directly blames the Houthis for the hijacking.
There are no Israelis among the crew aboard the Galaxy Leader ship. Arabic-language media outlets say there are 52 crew members aboard the vessel.
The Bahaman-flagged vessel is registered under a British company, which is partially owned by Israeli tycoon Abraham Ungar, who goes by Rami. The vessel was leased out to a Japanese company at the time of the hijacking.
The Iran-backed Houthis have vowed to target Israeli-linked vessels in the Red Sea.
Wamekimbia wote 🤣🤣🤣🤣yanachokoza then yanajificha nyuma ya watoto na wanawake ila humo humo Myahudi anapiga pigo takatifu! Kwann hao wanaume wasijitokeze kama watoto wao wanauwawaKama yeye kidume apigane na wanaume sasa siyo na wanawake na watoto.
Dini imeathiri pakubwa uwezo wa asili wa binadamu kufikiri.
Meli ya Israel yatekwa Yemen
Meli ya Israel imetekwa na Wapiganaji wa Houthi ikiwa na ma baharia wa Kijapani, hii imefuatia tangazo la hivi majuzi kuionya Israel kua meli zake zote zitalipuliwa zikikatisha Yemen [emoji779] [emoji1267][emoji1134]Israeli Ship Seizure Update Israeli media confirmed that Houthis attacked a...www.jamiiforums.com
Sasa kama wanakufa wao, maamuzi ya kwao , wewe inakuhusu nini?Wewe umevimbiwa ubwabwa baada ya madrassa au nini? Uturuki kwenda India kunahusisha Israel wapi, mumechanganyikiwa kwa kweli....
Na mtakufa sana.
Npe source nikasomeUnajua Waziri Mkuu wa Kwanza wa Israel, Menachem begin alikuwa ni Gaidi? Sio gaidi kama Mandela, Gaidi halisi kama Osama!!
Una laana, kwa hiyo anayepigwa kwake na anayepiga nani gaidi, alafu usichokijua ni kuwa hao wayahudi sio wakristo maana wakristo moja ya amri ni kutoua na kibinadamu kujua wazee, watoto na wanawake ni kitendo cha kinyama, hata wantama hupigana madume tena yenye nguvu wamama, watoto, watoto, wazee na wananchi wa kawaida hawana hatia walitakiwa wapigane na wanajeshi wenzaoUkishakuwa muislam ugaidi unakuwa rohoni mwako
Usidanganyike hakuna mabikira
Ni suala la sekunde tuwakijibiwa wanatia huruma mpaka kero
Kama mateka wa Kitanzania walivyoachiwa Gaza.Wajapani wataachiwa ila meli itapigwa mnada
Mshaurini samia ainunueWajapani wataachiwa ila meli itapigwa mnada
Kama wamekimbia mbona bado wazidi kuwatandika na vifaru vyao [emoji1787]Wamekimbia wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yanachokoza then yanajificha nyuma ya watoto na wanawake ila humo humo Myahudi anapiga pigo takatifu! Kwann hao wanaume wasijitokeze kama watoto wao wanauwawa
Acha kulia lia [emoji1787]wakijibiwa wanatia huruma mpaka kero