Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
WanamuogopaWamjaribu kwanza tuone anazo au ana
Nandio maana hua wanaishia tu kudhamini mavugu vugu ya ndani tokea baada ya uchaguzi wa mwaka 2009 pale iran
Ila mara zote hizo wamefeli mpaka hii ya mwaka 2022 baada ya kifo cha mahsa amin pia waka fail
Kuiingia iran kama walivyo fanya kwa iraq Afghanistan hawawezi