Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
WanamuogopaWamjaribu kwanza tuone anazo au ana
Bado hujasema [emoji23]Mnadanganyana sn na viclip vyenu vya kuokoteza hv ingekua Iran Ana uwezo wa
Mbna unakwama kwama kama [emoji331] mbovu kijana [emoji3]Mnadanganyana sn na viclip vyenu vya kuokoteza hv ingekua Iran Ana uwezo wa
Kwa nini sasa hajafanya hivyo. Waswahili tabu sana. πππSeeing is believing,clip na maongezi yanadhihirisha,wakajitahidi kujitetea kua wapo kwenye international zone,Iran hawakutaka utani,amri moja tu,shusha helcopter na muondoke,wakawaambia na tayari kuna vikosi vinakuja huko,vikosi zaidi ya boti 4 faster vikawa vinaelekea kwenye meli yao,on the spot wakatii amri!
Ukitazama monitoring drones and satellite za hii clip,unaona kabisa Iran wangeweza kuizamisha meli mara moja na kuchoma ndege vita zaidi ya 20 ambazo zipo juu ya meli kwani target zote zilikua on alert
Petrodollar kwisha habari yake,
Iran ndo Yemen ?Waisrael wa Bonyokwa si wanasema Yemen masikini miili imejikondea wanapigwa siku moja tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanamuogopa
Nandio maana hua wanaishia tu kudhamini mavugu vugu ya ndani tokea baada ya uchaguzi wa mwaka 2009 pale iran
Ila mara zote hizo wamefeli mpaka hii ya mwaka 2022 baada ya kifo cha mahsa amin pia waka fail
Kuiingia iran kama walivyo fanya kwa iraq Afghanistan hawawezi