Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Mbona hujiulizi kwa nini Afrika Kusini wametupita kimaendeleo wakati sisi tulitangulia kupata uhuru? Tena wao walitawaliwa na makaburu wabaguzi wa rangi, sisi tulikuwa chini ya malkia wa Uingereza?We lazima ni mbeba box katika nchi fulani hivi za wenzetu, siyo kwa akili kama hii tegemezi....Pole sana