Meli ya thamani inateketea, wanamsaliti Nyerere

Meli ya thamani inateketea, wanamsaliti Nyerere

Ni ajabu sana, kwa sababu wewe ni mtu wa pili kunipa jibu kama hili. Ninasikitika sana mkuu wangu, kwa jinsi tunavyojidharau na kujidhalilisha kiasi hiki.

Mkuu wangu, ngoja nikwambie ukweli, na utadhani sisemi kweli, lakini nakupa ukweli mtupu hapa. Mimi binafsi nina elimu ya juu kabisa katika eneo langu la kitaaluma katika sayansi, na nimefanya kazi sehemu mbalimbali duniani kwa miaka/miongo kadhaa. Nimefanya kazi katika mashirika/vyuo, n.k., na watu/wazungu hao unaowasema hapa.
Kwa hiyo ninao upeo mkubwa kabisa wa kusemea haya mambo, siyo kwa kubahatisha bali kwa uelewa.
Kalamu1 kama umesoma vizuri hadi elimu ya juu katika sayansi, kitu gani kinakufanya uendelee kuajiriwa huko kwa wazungu?

Pili kwa kisomo chako ni mchango gani umetoa katika ugunduzi wa kisayansi ambao umeufanya na ukaonekana? Maana unaweza ukawa mpaka na PhD lakini kazi yako ni kukariri machapisho ya wazungu tu
 
Kama sisi wananchi wenye tabu na mateso hatuna uchungu, raia tukachukua hatua, usitegemee hao kenge wanaokula keki ya taifa wawe na uchungu wakati wananeemeka. Huku kulia lia hatutusaidii, tumekaa kama mazozo.

"Mwenye shida hamjui mwnye njaa" hatma ya tanzania bora sio viongozi, ni NGUVU YA UMMA.
 
Ni ajabu sana, kwa sababu wewe ni mtu wa pili kunipa jibu kama hili. Ninasikitika sana mkuu wangu, kwa jinsi tunavyojidharau na kujidhalilisha kiasi hiki.

Mkuu wangu, ngoja nikwambie ukweli, na utadhani sisemi kweli, lakini nakupa ukweli mtupu hapa. Mimi binafsi nina elimu ya juu kabisa katika eneo langu la kitaaluma katika sayansi, na nimefanya kazi sehemu mbalimbali duniani kwa miaka/miongo kadhaa. Nimefanya kazi katika mashirika/vyuo, n.k., na watu/wazungu hao unaowasema hapa.
Kwa hiyo ninao upeo mkubwa kabisa wa kusemea haya mambo, siyo kwa kubahatisha bali kwa uelewa.

Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa kama tunarudi kinyumenyume badala ya kwenda mbele, na matokeo yake ndiyo matunda ya watu kama wewe hapo na mwenzako mkuu 'Stuxnet'. Badala ya taifa kuwa na watu ambao sasa wanajiamini kufanya mambo makubwa zaidi, badala yake elimu yetu inazalisha watu tegemezi kwa kila kitu katika maisha yao kama nyinyi. Na hii yote ni baada ya miaka 60 baada ya kujitawala wenyewe na kusema tunataka tuendeshe mambo yetu wenyewe!

Inasikitisha sana.
Mkuu!Naona bado haujajibu maswali niliyouliza.Na kwa kuthibitisha uozo wa elimu tuipatayo toka kwa wazungu,ni wewe mwenyewe kutoionesha elimu uliyonayo katika ubunifu na ugunduzi.Ebu rudi tena kwenye maswali yangu na uje na majibu sahihi.
 
Kalamu1 kama umesoma vizuri hadi elimu ya juu katika sayansi, kitu gani kinakufanya uendelee kuajiriwa huko kwa wazungu?

Pili kwa kisomo chako ni mchango gani umetoa katika ugunduzi wa kisayansi ambao umeufanya na ukaonekana? Maana unaweza ukawa mpaka na PhD lakini kazi yako ni kukariri machapisho ya wazungu tu
Nilitegemea majibu kama haya toka kwako, kwa sababu naelewa wazi hujui taratibu za haya mambo. Kwani kila mzungu aligundua kitu?
Ngoja nikwambie, nimechangia vitu vya maana sana katika eneo langu na kwa hili najivunia sana.

Umejuwaje kuwa nimeajiriwa huko. Kwani nimesema bado niko huko nje?
Mwanzo nilidhani ni utani, lakini kumbe hizi ni fikra zilizoota ndani kabisa mwa waTanzania!

Kutojiamini ni jambo moja baya sana kwa raia wa nchi yoyote, na hii inatokana na hali ya mwenendo wa siasa wa nchi hiyo. Sasa CCM imetuduwaza sana kuliko wakati ule ilipokuwa inatupa matumaini ya kwamba uwezo tunao wa kufanya jambo tunalonuia kulifanya kwa mafanikio makubwa.

Mwalimu aliposema tunakwenda kumpiga Nduli, na kweli tulimtandika, na wala hapakuwepo na , eeehehee eheehe sijui tutafanyaje. Uwezo wetu ulikuwa mdogo, lakini tulishiriki kwa heshima kubwa katika ukombozi wa bara letu kuliko hata nchi zilizoonekana kuwa bora zaidi yetu.

Sasa kila kitu tunalia, hatuwezi kufanya, mpaka mzungu aje atufanyie?

Stuxnet, sijui background yako na elimu yako ikoje, lakini kutokana na haya unayoweka hapa, inakatisha tamaa sana.
 
Mkuu!Naona bado haujajibu maswali niliyouliza.Na kwa kuthibitisha uozo wa elimu tuipatayo toka kwa wazungu,ni wewe mwenyewe kutoionesha elimu uliyonayo katika ubunifu na ugunduzi.Ebu rudi tena kwenye maswali yangu na uje na majibu sahihi.
Maswali ni ya kipuuzi ndiyo maana siwezi kupoteza muda kujibu maswali kama hayo.
Hata hapa tulipofikia naona nimekupa heshima sana ya kuendeleza majibishano kwa upuuzi kama ule.
 
Ni ajabu sana, kwa sababu wewe ni mtu wa pili kunipa jibu kama hili. Ninasikitika sana mkuu wangu, kwa jinsi tunavyojidharau na kujidhalilisha kiasi hiki.

Mkuu wangu, ngoja nikwambie ukweli, na utadhani sisemi kweli, lakini nakupa ukweli mtupu hapa. Mimi binafsi nina elimu ya juu kabisa katika eneo langu la kitaaluma katika sayansi, na nimefanya kazi sehemu mbalimbali duniani kwa miaka/miongo kadhaa. Nimefanya kazi katika mashirika/vyuo, n.k., na watu/wazungu hao unaowasema hapa.
Kwa hiyo ninao upeo mkubwa kabisa wa kusemea haya mambo, siyo kwa kubahatisha bali kwa uelewa.

Kwa bahati mbaya sana nchi yetu imekuwa kama tunarudi kinyumenyume badala ya kwenda mbele, na matokeo yake ndiyo matunda ya watu kama wewe hapo na mwenzako mkuu 'Stuxnet'. Badala ya taifa kuwa na watu ambao sasa wanajiamini kufanya mambo makubwa zaidi, badala yake elimu yetu inazalisha watu tegemezi kwa kila kitu katika maisha yao kama nyinyi. Na hii yote ni baada ya miaka 60 baada ya kujitawala wenyewe na kusema tunataka tuendeshe mambo yetu wenyewe!

Inasikitisha sana.
Sasa ume soma lakini haki iyo utaki mwenzako apate, uyo mjamzito ukisha mnyima elimu una mkomoa nani?
 
Maswali ni ya kipuuzi ndiyo maana siwezi kupoteza muda kujibu maswali kama hayo.
Hata hapa tulipofikia naona nimekupa heshima sana ya kuendeleza majibishano kwa upuuzi kama ule.
Tuliza mshono mkuu!Ubavu wako ni mdogo sana juu ya hoja zangu.
 
Sasa ume soma lakini haki iyo utaki mwenzako apate, uyo mjamzito ukisha mnyima elimu una mkomoa nani?
EeenHeeeeeeee, vipi mkuu, mimi na huyo "mjamzito" wapi na wapi? Sielewi hii unaitoa wapi mkuu wangu.

Kama unataka kujua ninasimamia wapi kuhusu jambo hilo, si bora uniulize tu moja kwa moja ili nieleze?
 
Kuna nchi zimepata uhuru miaka ya 1980s lakini hazijanufaika na uchelewaji wa kupata uhuru. Maendeleo ya nchi yanahitaji vitu vingi siyo tarehe tu ya kupata uhuru.
Kama unaongelea Zimbabwe, ile nchi ilikuwa na maendeleo ilipopata uhuru. Enzi zile Harare inaitwa Salisbury ukifika ni kama umefika Cape Town. Nchi iliporomoka pale Mugabe alivyoingia madarakani akisaidiwa na wanamapinduzi wenzake wakina Nyerere na Samora Machel. Na mpaka yule mzee alipong'atuka Zimbabwe ilikuwa ni failed state kabisa. Na Mugabe kama Nyerere alianza kuwa mwalimu na baadaye akageuka kuwa mleta mapinduzi bila ya kuwa na uzeofu wa kuongoza nchi akiachiwa aiongoze. Matokeo yake aliharibu nchi.
 
Wameamua Demokrasia huku wanajidai tusi wakwamishe wanajenga uchumi. Mtaani watu wana hasira tena hasira mbaya. Hasira ya kumbambikiwa kesi, hasira ya mzunguko wa fedha kuwa hafifu, hasira wa uhaba wa malisho kwa mifugo wao, uhaba wa demokrasia kuchugua viongozi wanao wataka wao, hasira ya kunyimwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati wao wanafanya. Hili la timu kuendelea kucheza uanjani peke ya litaigharimu sana.

Wataendelea kuchukiwa watasusa na hamtajua wamesusa. Hii ni hatari tusiruhusu kuendelea na uhuru aliyetuachia Nyerere, akaukoleza Mwinyi, akaulea Mkapa akaukuza Kikwete, akaunyonga Magufuli watanzania wakalia kasononeka sana.

Akaja mama wanalia zaidi. Tujisahihishe. Tusipofanya hivyo kwa sababu tume beba lawama tutaendelea kufoka moyoni tunajua fika kuwa tunafanya makosa. Tusizibe masikio yatatukuta makubwa ambayo hatukutarajiwa tufike huko.
Hawatafika mbali kwa unafiki wao
 
Kama unaongelea Zimbabwe, ile nchi ilikuwa na maendeleo ilipopata uhuru. Enzi zile Harare inaitwa Salisbury ukifika ni kama umefika Cape Town. Nchi iliporomoka pale Mugabe alivyoingia madarakani akisaidiwa na wanamapinduzi wenzake wakina Nyerere na Samora Machel. Na mpaka yule mzee alipong'atuka Zimbabwe ilikuwa ni failed state kabisa. Na Mugabe kama Nyerere alianza kuwa mwalimu na baadaye akageuka kuwa mleta mapinduzi bila ya kuwa na uzeofu wa kuongoza nchi akiachiwa aiongoze. Matokeo yake aliharibu nchi.
Mugabe kamaM7 tu. Wote wahuni.
tofauti ndogo
 
Nilitegemea majibu kama haya toka kwako, kwa sababu naelewa wazi hujui taratibu za haya mambo. Kwani kila mzungu aligundua kitu?
Ngoja nikwambie, nimechangia vitu vya maana sana katika eneo langu na kwa hili najivunia sana.

Umejuwaje kuwa nimeajiriwa huko. Kwani nimesema bado niko huko nje?
Mwanzo nilidhani ni utani, lakini kumbe hizi ni fikra zilizoota ndani kabisa mwa waTanzania!

Kutojiamini ni jambo moja baya sana kwa raia wa nchi yoyote, na hii inatokana na hali ya mwenendo wa siasa wa nchi hiyo. Sasa CCM imetuduwaza sana kuliko wakati ule ilipokuwa inatupa matumaini ya kwamba uwezo tunao wa kufanya jambo tunalonuia kulifanya kwa mafanikio makubwa.

Mwalimu aliposema tunakwenda kumpiga Nduli, na kweli tulimtandika, na wala hapakuwepo na , eeehehee eheehe sijui tutafanyaje. Uwezo wetu ulikuwa mdogo, lakini tulishiriki kwa heshima kubwa katika ukombozi wa bara letu kuliko hata nchi zilizoonekana kuwa bora zaidi yetu.

Sasa kila kitu tunalia, hatuwezi kufanya, mpaka mzungu aje atufanyie?

Stuxnet, sijui background yako na elimu yako ikoje, lakini kutokana na haya unayoweka hapa, inakatisha tamaa sana.
Sawa hongera sana Kalamu1 kwa kuwa mtanzania msomi mwenye akili kubwa ya ugunduzi. Japo sijajua ulichogundua
 
Sawa hongera sana Kalamu1 kwa kuwa mtanzania msomi mwenye akili kubwa ya ugunduzi. Japo sijajua ulichogundua
Agundue nini na kwa elimu ipi?.
Mzungu hajawahi toa elimu kwa mwafrika anayetaka kuifanyia kazi Afrika.Mzungu akitoa elimu stahiki kwa mwafrika basi ni kwa ajili ya kumtumia wao wenyewe.
 
Haya ndio mawazo ya kizalendo, na sio mtu kujiita mzalendo kisa kapewa V8 ya umma. Kulitakiwa kujengwe viwanda ili vitoe ajira kwa vijana, na sio serikalini kujaa magari ya bei kubwa huku wananchi wanateseka kwa kukosa ajira.
Akili hii CCM hawajawahi kuwa nayo toka walipohalalisha ufisadi na rushwa😅!!!
Wao na familia zao hawako kwenye tabu yeyote ile😅 wanamenya tu
 
Pole sana mkuu, lakini maumivu ni yetu sote.

Hebu ngoja nikusononeshe na mifano mingi zaidi ya hiyo uliyoitaja hapo.

Tanzania kuna jua karibu kila siku, mwaka mzima. Kuna sehemu zina upepo wa kutosha sana kuzalisha umeme. Sasa hivi tunao viongozi wanao kesha wakitafuta namna ya kuwaleta wawekezaji hapa, waje watumie jua letu, upepo wetu wazalishe umeme ili watuuzie kwa bei mbaya, na wala viongozi wetu hawaoni uchungu wowote hapo.

Tunayo ardhi nzuri kabisa ya kutuwezesha kuzalisha mazao ya kutupatia mafuta ya kula ya kutosha kwa matumizi yetu na hata kuwauzia wengine nchi za nje. Wananchi wetu, wakulima wanakosa msaada wa serikali yao ili wazalishe mazao haya kwa wingi, lakini viongozi wetu wanajuwa jambo moja tu, la WAWEKEZAJI toka nje!

Huku ni kuwa na kilema cha akili, sijui kilema hiki kitarekebishwa vipi tuanze kujuwa namna ya kutumia raslimali zetu kutunufaisha sisi wenyewe.
Tuna mali lkn hatuna teknolojia hyo ndyo laa a pekee inatutesa waafrika hata atawale nan tutaishia propaganda tu hakuna kinachoweza kubadilika bila mkono wa mzungu
 
Wewe ni kichwa maji kweli halafu unajitia ujuaji! Gharama ya kuibadilisha gesi kuiweka kwenye mtungi si ndio huo mradi wa LNG ambao mwendazake alileta ubabe wawekezaji wakajitoa? Unaijua gharama yake? Mradi wa Trillionzaidi ya 50 tunazitoa wapi km makusanyo yetu ya mwaka ni 20T? Umeshirikisha ubongo au ndio kufanyia kazi kikundi chenu kinachowalipa?
Wabongo wanachoweza kuonesha achokidhindwa mwenzie jpm Kaa madarakani miaka mitano hajaweza kuibadilisha hyo gesi kwa matumizi ya nyumbani lkn ssh kakaa miezi nane wanamlaumu kwa kushindwa kujenga huo mradi na wafuasi wa jpm [emoji23][emoji1787]hii nchi kuendelea mpaka tufe sote ianze upya tu
 
Back
Top Bottom