Wahindi hawa hawa waliopigwa na mchina pale mpakani?
Waislamu kama raia huko India wanapata tabu toka kwa wahindu hasa zama hizi ambapo waziri mkuu anatoka chama chenye sera za Kihindu
Hongereni kwa kuiangamiza hamas enyi mazayuni na kukomboa magaidi wenu waliotekwaMagaidi wanauliwa hapo hapo hawapelekwi tel
Hivi ni fikra gani hizi za kila anayekuwa upande wa waarab au Iran kuhisi ni Mwislam? Mimi mara zore huwa na simama na wanaoonewa haijalishi imani au itikadi yaoMkianzisha maugomvi lazima mpigwe, najua hamtakawia kupiga meli yenye Wachina....
Ukijua una deal na nanani hupati shida wewe bado hujajua unadeal na naniHivi ni fikra gani hizi za kila anayekuwa upande wa waarab au Iran kuhisi ni Mwislam? Mimi mara zore huwa na simama na wanaoonewa haijalishi imani au itikadi yao
Hongereni kwa kuiangamiza hamas enyi mazayuni na kukomboa magaidi wenu waliotekwa
Hivi ni fikra gani hizi za kila anayekuwa upande wa waarab au Iran kuhisi ni Mwislam? Mimi mara zore huwa na simama na wanaoonewa haijalishi imani au itikadi yao
Kwa hiyo huu ndio uthibitisho unaweza kuutumia kama ushahidi kuwa hakuna asiye kuwa Muislamu anayeúnga mkono Palestina?HAMAS kwenye agano lao wamendika kabisa kwamba nia yao ni kuifuta Israel kama ambavyo uislamu umeagiza kwenye kitabu chao, hivyo hakuna mtu asiye muislamu anaweza kuunga mkono hizi jitihada zao...