Meli za kivita za Marekani na miji ya Israel kuendelea kushambuliwa Mashariki ya Kati ni ujumbe mzito wa mustakbali wa usalama wa dunia

Hao wajinga ndiyo waliwao wanaamini mazayuni ndiyo wenye funguo zao za kwenda mbinguni.

Hata wakifuramishwa na mazayuni wao ni hewala tu.
Bi Faiza mwaka huu utakonda na hv unamiliki tako kubwa kama uchumi wa marekani. Huku gaza kichapo huku Hezbollah anapelekewa moto pole sn
 
Yesu aliamua ajitoe peke yake.Kwani unamuonea wivu?
Alijitoa peke yake au walimuua,aliomba kwa Mungu wake,kuwa kikombe cha mauti,kimuepuke,,lakini hawa magaidi wakamtesa,wakamdhihaki,wakamvalisha nepi,wakamtemea mate,wakampiga mkuki,wakamsulubu,wakamuua,juu ya kuwa alikuja kuwakomboa wana Israel.
 
Alijitoa peke yake au walimuua,aliomba kwa Mungu wake,kuwa kikombe cha mauti,kimuepuke,,lakini hawa magaidi wakamtesa,wakamdhihaki,wakamvalisha nepi,wakamtemea mate,wakampiga mkuki,wakamsulubu,wakamuua,juu ya kuwa alikuja kuwakomboa wana Israel.
Umeandika ukweli mtupu.Sasa turudi Beirut tuangalie jinsi Hezbollah wanavyopokea mikate na siagi kutoka Jerusalem.
 
Hawa magaidi,walimuua Yesu,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,wafikiri aliwafanyia choko choko zipi,au huko kuwakomboa ndio choko choko.
 
Umeandika ukweli mtupu.Sasa turudi Beirut tuangalie jinsi Hezbollah wanavyopokea mikate na siagi kutoka Jerusalem.
Yesu pia walimdhihaki,wakamvalisha nepi,wakamtemea mate,wakamsulubu,wakamuua,wafikiri Waliomfanyia Yesu vile leo,wako wapi.Na hao waliopo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,na hawamkubali.
 
Bi Faiza mwaka huu utakonda na hv unamiliki tako kubwa kama uchumi wa marekani. Huku gaza kichapo huku Hezbollah anapelekewa moto pole sn
Walimprlekea moto Yesu,wakamuua,leo wako wapi.Na hao waliopo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,wafikiri na wao,hawatapelekewa moto,ni suala la muda tu.
 
Hii vita ni ngumu zaidi kwa Muisrael...
Yeye anapigana ili Aishi, Ilhali wenzake wanaishi ili wapigane naye...
 
Akili yako ndogo unamuwaza Nasrallah tu bila kuangalia upana wa tatizo
Upana wa tatizo iziraili anawapanua viongozi wa makubazi wakatanuliwe vizuri ahera kwa mungu wao aliowaahidi mabikira na mito ya pombe......sema safari hii wao ndo wanaenda kua mabikira huko ahera wanaenda kubikiriwa..........
 
Upana wa tatizo iziraili anawapanua viongozi wa makubazi wakatanuliwe vizuri ahera kwa mungu wao aliowaahidi mabikira na mito ya pombe......sema safari hii wao ndo wanaenda kua mabikira huko ahera wanaenda kubikiriwa..........
Umefahamika ukubwa wa ujinga wako.
Kwamba kwenda kwa mabikra peponi unaona ni jambo la kipuuzi na unakubali kuwa shoga duniani
 


Wee kibabu andika huku kujipa moyo feki na furaha feki, ili ujifariji kifeki feki, wenzako wanakiona cha mtema kuni huko Lebanon, kuna bomu moja lilipigwa ghorofa likawa mavumbi na tetemeko la ardhi lilitokea jinsi lilikata hata mwamba wa chini ya ghorofa la Hezbollaah mjini Beirut, hilo bomu linaitwa Bunker Buster Bomb kwa kurushwa na F-35 Lightning II Warplane ya IAF, hatari sana kuliko ujuavyo..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…