Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Urusi imeituhumu nchi ya Uingereza kwamba ndio wameisaidia Ukraine kupanga shambulizi Hilo. Inamaana Urusi haiamini Kama Kila kukicha Ukraine inapata uzoefu wa kijeshi?

Vita inavyoendelea kuchukua mda mrefu ndivyo wanajeshi wa Ukraine wanapata uzoefu zaidi. Silaha za Magharibi zinazomiminika nchini Ukraine na Mafunzo juu kwa wanajeshi wa Ukraine ni ushahidi tosha kwamba bila hii Vita wanajeshi wa Ukraine wasingeliweza kabisa kupata ujuzi huo.

Kwenye hii Vita badala ya Ukraine kuwa Demilitalized kinyume chake naona Urusi ndio anakuwa Demilitalized huku Ukraine akiwa Militalized kuliko mwanzo. Urusi kupoteza zaidi ya Vifaru 2500 kwenye hii Vita ni ushahidi tosha kwamba Urusi inakuwa Demilitalized kadri mda unavyozidi kwenda.
Mkuu, Kiswahili hukijui!? Isijekua unatumia Misamiati ya kiingereza kwa kunakili na kuituma ukitegemea wasomaji wanaelewa zaidi!
 
Ngoja tusubiri retaliation ya Mrusi sasa[emoji23],kama kawaida yake wiki hii Raia wa Ukraine watakoma watakavyovurumishiwa Makombora na kamikaze drones. Yani anaacha wanajeshi hasira anamalizia Kwa Raia,sijui Putin akili yake ikoje[emoji23][emoji23][emoji23]
Sirens zishaanza lia huko.
Uzuri Ukraine ana defence kwa sasa
 
Ngoja tusubiri retaliation ya Mrusi sasa[emoji23],kama kawaida yake wiki hii Raia wa Ukraine watakoma watakavyovurumishiwa Makombora na kamikaze drones. Yani anaacha wanajeshi hasira anamalizia Kwa Raia,sijui Putin akili yake ikoje[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye alipiga miundombinu ya nishati. Madhara ni makubwa zaid huko. Au hujui??
 
Urusi imeituhumu nchi ya Uingereza kwamba ndio wameisaidia Ukraine kupanga shambulizi Hilo. Inamaana Urusi haiamini Kama Kila kukicha Ukraine inapata uzoefu wa kijeshi?

Vita inavyoendelea kuchukua mda mrefu ndivyo wanajeshi wa Ukraine wanapata uzoefu zaidi. Silaha za Magharibi zinazomiminika nchini Ukraine na Mafunzo juu kwa wanajeshi wa Ukraine ni ushahidi tosha kwamba bila hii Vita wanajeshi wa Ukraine wasingeliweza kabisa kupata ujuzi huo.

Kwenye hii Vita badala ya Ukraine kuwa Demilitalized kinyume chake naona Urusi ndio anakuwa Demilitalized huku Ukraine akiwa Militalized kuliko mwanzo. Urusi kupoteza zaidi ya Vifaru 2500 kwenye hii Vita ni ushahidi tosha kwamba Urusi inakuwa Demilitalized kadri mda unavyozidi kwenda.
Hivi unajua maana ya vifaru 2500?
 
Wakati Warusi wanatumia drones za msaada wa Iran kupiga bembea za watoto wa Ukraine, ila Ukraine wanatumia drones kupiga vifaa vya kijeshi, tayari wamelipua meli moja ya kijeshi na zingine zimepokea mapigo balaa
=====================

Russia has accused Ukraine of carrying out a "massive" drone attack on the headquarters of its Black Sea Fleet in the Crimean port city of Sevastopol.
The attack began at 04:20 local time and involved nine aerial and seven marine drones, Russian officials said.
At least one warships is said to have been damaged in the strikes. Ukraine has not yet acknowledged the incident.
Mikhail Razvozhaev, the Russian-installed governor of the city, said Russia's navy had repelled the attack.
The strikes were the "most massive" since Russian troops first entered Ukraine in February, Russian state media quoted the governor as saying.


Reppeled
 
nato wanacheza na moto,russia akiamua kufadhili mujahedeen wa iran,wakakichafue ulaya na usa,dunia itatikisika sana,maana mipango yote itapangiwa urusi,na hakuna wa kuingia kuwakamata...
Iran unadhani inashindikana? Mbona sasa hivi ina maandamano, ni kitendo cha kufuel na kufadhili makundi ya majimbo korofi kama jimbo la Azerbaijani au kufadhili Sunni minorities waliofanya shambulizi last week na kuua watu 15 kwenye shrine ya Washia.

Tena Iran ikitaka kutafuta kisingizio cha kupigwa ifanye hivyo. Iraq ilisingiziwa ikapigwa, Afghanistan chini ya Taleban ililea magaidi ikafuatwa
 
Iran unadhani inashindikana? Mbona sasa hivi ina maandamano, ni kitendo cha kufuel na kufadhili makundi ya majimbo korofi kama jimbo la Azerbaijani au kufadhili Sunni minorities waliofanya shambulizi last week na kuua watu 15 kwenye shrine ya Washia.

Tena Iran ikitaka kutafuta kisingizio cha kupigwa ifanye hivyo. Iraq ilisingiziwa ikapigwa, Afghanistan chini ya Taleban ililea magaidi ikafuatwa
Kama mnaweza vamieni Iran
 
Wakati Warusi wanatumia drones za msaada wa Iran kupiga bembea za watoto wa Ukraine, ila Ukraine wanatumia drones kupiga vifaa vya kijeshi, tayari wamelipua meli moja ya kijeshi na zingine zimepokea mapigo balaa
=====================

Russia has accused Ukraine of carrying out a "massive" drone attack on the headquarters of its Black Sea Fleet in the Crimean port city of Sevastopol.
The attack began at 04:20 local time and involved nine aerial and seven marine drones, Russian officials said.
At least one warships is said to have been damaged in the strikes. Ukraine has not yet acknowledged the incident.
Mikhail Razvozhaev, the Russian-installed governor of the city, said Russia's navy had repelled the attack.
The strikes were the "most massive" since Russian troops first entered Ukraine in February, Russian state media quoted the governor as saying.


Mbona demage ni kidogo Sasa hamjafanya lolote la maana
 
Back
Top Bottom