Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Iran unadhani inashindikana? Mbona sasa hivi ina maandamano, ni kitendo cha kufuel na kufadhili makundi ya majimbo korofi kama jimbo la Azerbaijani au kufadhili Sunni minorities waliofanya shambulizi last week na kuua watu 15 kwenye shrine ya Washia.

Tena Iran ikitaka kutafuta kisingizio cha kupigwa ifanye hivyo. Iraq ilisingiziwa ikapigwa, Afghanistan chini ya Taleban ililea magaidi ikafuatwa
usikalili mkuu na mifano ya iraq,afghanstan,,mbona syria imeshindikana?russia akiamua kum back up iran,kama wanavyofanya NATO kwa ukraine,ulaya haitakalika,hezbollah ya lebanon na wahouth wa yemen wakisambazwa itakuwa shida dunian...
 
Iran unadhani inashindikana? Mbona sasa hivi ina maandamano, ni kitendo cha kufuel na kufadhili makundi ya majimbo korofi kama jimbo la Azerbaijani au kufadhili Sunni minorities waliofanya shambulizi last week na kuua watu 15 kwenye shrine ya Washia.

Tena Iran ikitaka kutafuta kisingizio cha kupigwa ifanye hivyo. Iraq ilisingiziwa ikapigwa, Afghanistan chini ya Taleban ililea magaidi ikafuatwa
Unaota mchana kweupe.jaribu muone joto la jiwe.
 
usikalili mkuu na mifano ya iraq,afghanstan,,mbona syria imeshindikana?russia akiamua kum back up iran,kama wanavyofanya NATO kwa ukraine,ulaya haitakalika,hezbollah ya lebanon na wahouth wa yemen wakisambazwa itakuwa shida dunian...
Wewe ndio unakariri. Syria pale kulikuwa na ISIS na waasi. Urusi iliweka vituo vya kijeshi vingi Syria, ikawa na airbase eneo la Latakia ya Khmeimim, ikawa na naval base pale Tartus. Pale Urusi ilikuwa inapigana na waasi pamoja na ISIS.
Marekani haikuitaka serikali ya Syria ila haikuwa na complete plan ya kumuondoa. Assad ni mpole na hana madhara ya aina yeyote kwa Marekani na washirika wake. Assad anapendwa na Israel kwa vile ana dalili za kuwa secular, huwezi muona anashinda msikitini mara anavaa kanzu, pia sio popular kwake hivyo hana ushawishi wa kuleta fujo kwa Israel kama alivyokuwa mfano Yasser Arafat.
Israel inapenda viongozi wa Kiarabu kama Assad tatizo tu ni uwepo wa Iran ikiitumia Syria kama uchochoro. Hata Iraq hasa serikali ya Waziri Mkuu aliyepita ilipambana na influence ya Iran. Hata General Qasem Soleimani mkuu wa IRGC aliuwawa akiwa Iraq anaratibu harakati za Iran. Siku Iran inaondoka Syria hutokaa usikie Israel inashambulia pale, na wanamtaka Assad maana hakuzi nchi kiuchumi wala kijeshi, ni mzubaifu. Israel hawajawahi mpenda kiongozi wa Kiarabu mwenye uwezo kama kina Anwar Saddat au Hafez al Assad.

Then pale Yemen kuna Houthi wanapewa misaada na Iran. Hamas na Hezbollah nao wanamtegemea Iran. Ukiiangusha Iran ushawakata nguvu hao. Iangushwe Soviet Union na block yake nzima sembuse Iran. Iran nao ni smart hawawezi cheza ligi za juu ya uwezo wao. You feed their ego and let them go. Wanashinda wanatoa chants za Death to Zionist Israel tangu 1970s hadi leo. Iran hawezi fadhili ugaidi directly against US akabaki. Kwanza nchi za Kisuni zote hazimtaki
 
Wewe ndio unakariri. Syria pale kulikuwa na ISIS na waasi. Urusi iliweka vituo vya kijeshi vingi Syria, ikawa na airbase eneo la Latakia ya Khmeimim, ikawa na naval base pale Tartus. Pale Urusi ilikuwa inapigana na waasi pamoja na ISIS.
Marekani haikuitaka serikali ya Syria ila haikuwa na complete plan ya kumuondoa. Assad ni mpole na hana madhara ya aina yeyote kwa Marekani na washirika wake. Assad anapendwa na Israel kwa vile ana dalili za kuwa secular, huwezi muona anashinda msikitini mara anavaa kanzu, pia sio popular kwake hivyo hana ushawishi wa kuleta fujo kwa Israel kama alivyokuwa mfano Yasser Arafat.
Israel inapenda viongozi wa Kiarabu kama Assad tatizo tu ni uwepo wa Iran ikiitumia Syria kama uchochoro. Hata Iraq hasa serikali ya Waziri Mkuu aliyepita ilipambana na influence ya Iran. Hata General Qasem Soleimani mkuu wa IRGC aliuwawa akiwa Iraq anaratibu harakati za Iran. Siku Iran inaondoka Syria hutokaa usikie Israel inashambulia pale, na wanamtaka Assad maana hakuzi nchi kiuchumi wala kijeshi, ni mzubaifu. Israel hawajawahi mpenda kiongozi wa Kiarabu mwenye uwezo kama kina Anwar Saddat au Hussein al Assad.

Then pale Yemen kuna Houthi wanapewa misaada na Iran. Hamas na Hezbollah nao wanamtegemea Iran. Ukiiangusha Iran ushawakata nguvu hao. Iangushwe Soviet Union na block yake nzima sembuse Iran. Iran nao ni smart hawawezi cheza ligi za juu ya uwezo wao. You feed their ego and let them go. Wanashinda wanatoa chants za Death to Zionist Israel tangu 1970s hadi leo. Iran hawezi fadhili ugaidi directly against US akabaki. Kwanza nchi za Kisuni zote hazimtaki
Marekani akitaka apate kipigo cha aibu na cha kudhalilisha kuliko hata kile alicho kipata Vietnam ajaribu kuivamia Iran.
 
Marekani akitaka apate kipigo cha aibu na cha kudhalilisha kuliko hata kile alicho kipata Vietnam ajaribu kuivamia Iran.
Iran inayonyanyaswa na Israel ndio iipige Marekani?
Yani kisa Iran inaisaidia fake superpower basi mnataka muipe vyeo. Unakuwa wa kwanza kwenye vilaza unalazimisha kuwa TO
20221026_170737.jpg
 
Iran inayonyanyaswa na Israel ndio iipige Marekani?
Yani kisa Iran inaisaidia fake superpower basi mnataka muipe vyeo. Unakuwa wa kwanza kwenye vilaza unalazimisha kuwa TOView attachment 2401736
Maneno ya kejeli hayawezi kubadilisha ukweli wa nilicho kisema.

Kama Marekani na Israel wangekuwa na uwezo wa kuivamia au kuivuruga Iran wangekuwa wamesha fanya hivyo kitambo sana.

Maana katika ndoto ya viongozi wa Marekani na Israel ni kuona utawala wa Iran unaanguka maana ni mvurugaji mkubwa wa mipango mingi ya Marekani kwenye eneo la mashariki ya kati na Israel inaishi kwa taabu sana kutokana na makundi yanayo pewa silaha na Iran.

Marekani na Israel wanatamani sana utawala wa Iran uanguke lakini ugumu una kuja watauangushaje?

Hiyo Israel ina jeshi gani lenye uwezo wa kuivamia Iran?
Israel anacho weza kufanya ni kushambulia miundo mbinu ya kijeshi ndani ya Iran lakini hana jeshi lenye uwezo wa kufanya uvamizi dhidi ya Iran, lakini bado na kushambulia miundo mbinu ya kijeshi ndani ya Iran na penyewe ni ngumu kumeza maana majibu ya Iran yatakuwa ya kushangaza na kutamausha.

Nakumbuka kipindi cha mzozo wa kuuliwa kwa jeneral Suleiman na Iran ikajibu kwa kuharibu kambi za Marekani,
kuna jeneral mstaafu wa kijerumani aliulizwa kwenye mahojiano na Ajazeera iwapo Marekani ingejibu mashambulizi ya Iran kwa kulivamia taifa hilo.

Majibu aliyo toa ni haya hapa ngoja nimnukuu: kusema ukweli kwa sasa Marekani hawezi kuivamia Iran kwa sasa maana vikosi vyake vilivyo mashariki ya kati kwa sasa havina uwezo wa kuivamia na kuishinda Iran,ili Marekani iweze kulishinda jeshi la Iran ina hitaji wanajeshi kuanzia millioni1, kwa sasa hakuna uwezekano wa vita kati ya Marekani na Iran mwisho wa kumnukuu.

Na ni kweli Marekani akaufyata.
 
Kama nchi hii kuna vijana wanaunga mkono umagharibi na kumuunga mkono Ukraine..basi kama taifa tuna safari ndefu sana ya ukombozi wa kifikra na kiuchumi....
akil zako km kima yaan kuunga mkono ugaid wa kuvamia nchi iliyo huru ni kukomboka kifikra hv Putin alivamia Ukraine au hizo nchi za magharibi ? yaan ushabiki umewafanya wapumbav kupindukia , huez kombolewa kwa fikra kama bado unavaa chupi MADE IN CHINA , kukemea ugaid wa PUTIN sio kuunga mkono mabaya ya Magharibi , ELEWA tunakemea unyang'any wa Putin kimabav ,,kama unaiwaza Magharibi muda wote bas jiite chiz mweny unafuu
 
Back
Top Bottom