Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Wakati Warusi wanatumia drones za msaada wa Iran kupiga bembea za watoto wa Ukraine, ila Ukraine wanatumia drones kupiga vifaa vya kijeshi, tayari wamelipua meli moja ya kijeshi na zingine zimepokea mapigo balaa
=====================

Russia has accused Ukraine of carrying out a "massive" drone attack on the headquarters of its Black Sea Fleet in the Crimean port city of Sevastopol.
The attack began at 04:20 local time and involved nine aerial and seven marine drones, Russian officials said.
At least one warships is said to have been damaged in the strikes. Ukraine has not yet acknowledged the incident.
Mikhail Razvozhaev, the Russian-installed governor of the city, said Russia's navy had repelled the attack.
The strikes were the "most massive" since Russian troops first entered Ukraine in February, Russian state media quoted the governor as saying.


We jamaa unalipwa na NATO?😆😆
 
usikalili mkuu na mifano ya iraq,afghanstan,,mbona syria imeshindikana?russia akiamua kum back up iran,kama wanavyofanya NATO kwa ukraine,ulaya haitakalika,hezbollah ya lebanon na wahouth wa yemen wakisambazwa itakuwa shida dunian...
huna akili yaan iran ipigane na ulaya kwa msaada wa Putin anaesumbuliwa na Ukraine inayopewa msaada na Ulaya tena kwa limitations
 
Air defenses alizopewa Ukraine ni short to medium range hazitoshi kulinda sehemu kubwa hivyo baadhi ya Makombora yatapenya tu. Angepewa angalau Patriot radar yake ina nguvu inaona umbali mrefu.

Are you sure na unacho kisema? Mwaka juzi mbona missiles 12 za Iran zilishambulia na kusambaratisha kambi mbili za jeshi la Merikani huko Iraq - kumbuka kambi hizo zilikiwa zinalindwa na Patriot - sasa ilikuwaje tena zikashindwa kudhibiti missiles za Iran labda tuanzie hapo?

Mwaka huo huo Petroleum Industrial Complex ya Saudi Arabia ilitiwa kiberiti na roketi za kutengeneza kienyeji za waasi wa Yemen - mbona Patriot air defense system failed miserably yet again - halafu leo hii wanajitokeza watu wanazipigia debe as if Patriot ni cure all medicine like PANADOL - kumbe,kuna missiles zinazizidi kete chukulia mifano miwili "live" hapo juu.
 
Meli tatu zimekwenda na maji.....

Kwani Meli zinapita wapi si majini au wewe ulifikiri zimapia jangwani - mbona Kamikaze zilipo kuwa zinatembeza kichapo cha uhakika huko Ukraine, mbona alikaa kimya kama maji kwenye mtungi - leo hii Waingereza wanatumiwa na Ukraine kujaribu kushambulia Russia Naval fleet walicho ambulia ni kisabisha superficial damages lakini nyinyi mnachukulia incident hiyo kana kwamba wamefamikiwa sana -kumbe ulaghai mtupu majority ya Drones zilipukutishwa na formidable air defense system za Warusi - hilo hamlisemi.
 
Kwani Meli zinapita wapi si majini au wewe ulifikiri zimapia jangwani - mbona Kamikaze zilipo kuwa zinatembeza kichapo cha uhakika huko Ukraine, mbona alikaa kimya kama maji kwenye mtungi - leo hii Waingereza wanatumiwa na Ukraine kujaribu kushambulia Russia Naval fleet walicho ambulia ni kisabisha superficial damages lakini nyinyi mnachukulia incident hiyo kana kwamba wamefamikiwa sana -kumbe ulaghai mtupu majority ya Drones zilipukutishwa na formidable air defense system za Warusi - hilo hamlisemi.

Sijaelewa nini umebwabwaja hapa ila mpaka sasa meli tatu chali....mpaka mtaita maji ma...
Msaada wa Iran hapa hautawasaidia kitu....
 
Kama nchi hii kuna vijana wanaunga mkono umagharibi na kumuunga mkono Ukraine..basi kama taifa tuna safari ndefu sana ya ukombozi wa kifikra na kiuchumi....
Wewe ulishawahi ona mradi wowote wa kimaendeleo Afrika ukifadhiliwa na Urusi.
Urusi njaa inawatesa kama sisi huku Afrika na siasa zao hazitofautiani na za kina Mugabe, Muzeven, Magu nk
 
huna akili yaan iran ipigane na ulaya kwa msaada wa Putin anaesumbuliwa na Ukraine inayopewa msaada na Ulaya tena kwa limitations
hili ndio tatizo la kuchangia jukwaa na watoto wa mtaani,wao lugha nzuri kwao ni matusi tu,na wanajiona wako sahihi.mungu tusaidie.
 
Are you sure na unacho kisema? Mwaka juzi mbona missiles 12 za Iran zilishambulia na kusambaratisha kambi mbili za jeshi la Merikani huko Iraq - kumbuka kambi hizo zilikiwa zinalindwa na Patriot - sasa ilikuwaje tena zikashindwa kudhibiti missiles za Iran labda tuanzie hapo?

Mwaka huo huo Petroleum Industrial Complex ya Saudi Arabia ilitiwa kiberiti na roketi za kutengeneza kienyeji za waasi wa Yemen - mbona Patriot air defense system failed miserably yet again - halafu leo hii wanajitokeza watu wanazipigia debe as if Patriot ni cure all medicine like PANADOL - kumbe,kuna missiles zinazizidi kete chukulia mifano miwili "live" hapo juu.

Ndio Nina uhakika.

Wakati base za Marekani zinashambuliwa kule Iraq hakukua na air defenses zozote zile ambazo zinalinda kambi dhidi ya Makombora

US awaits Iraq’s okay to deploy Patriots to protect troops amid Iran tension

AFP, Washington
Published: 30 January ,2020: 12:00 AM GST
Updated: 20 May ,2020: 10:57 AM GST
The United States is awaiting a green light from the Iraqi government to deploy Patriot missile defense systems to protect US troops from Iranian missile attacks, Pentagon chief Mark Esper said on Thursday.

Iran launched 11 missiles at a US air base at Ain al-Assad and another at a base in Erbil on January 8 in retaliation for the killing days earlier of Iranian General Qassim Soleimani in a US drone strike in Baghdad.

US awaits Iraq’s okay to deploy Patriots to protect troops amid Iran tension

....na baada tu ya Marekani kutangaza kupeleka Patriot missile systems Iran alionya hatua hiyo

Iran warns US after Patriot missile deployment to Iraq
United States reportedly deploying Patriot missiles in Iraq to counter possible Iranian rocket attacks..

Iran warned the United States it is leading the Middle East to disaster amid the coronavirus pandemic after reports that Patriot air defence missiles were deployed to Iraq.

Washington had been in talks with Baghdad about the proposed deployment since January, but it was not immediately clear whether it secured its approval or not. Iran, which wields huge influence in its western neighbour, said it had not.

Iran warns US after Patriot missile deployment to Iraq
 
Back
Top Bottom