Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Tukija case ya Saudia nina hakika defense systems zilikua overwhelmed na mshambuliaji maana zilitumwa cruise missiles za kutosha pamoja na drones.

Tukija kwenye suala la defense systems mbona hizi za Russia mlizokua mnazisifia kila siku humu hakuna chochote zinachofanya,Jana Sevastopol imepigwa na drone 9 tu wanasema wamezitungua zote lakini cha ajabu hapohapo wanasema kuna baadhi ya Meli zimeharibiwa. Sasa zimeharibiwaje wakati drones zote walitungua. Himars kila siku zinapiga supply lines za Russia,juzi walibutua pontoon bridge Kherson,Jana wamepiga tena Antonovsky bridge hukohuko Kherson...sasa sijui zile S-3000 na S-5000 mlizokua mnazitukuza humu ndani ziko wapi?!

Mwisho: Hakuna defense systems ambayo ipo effective 100%.

Msisingizie Warusi - wapi walisema drones zote zilitunguliwa - wapi??

Nani ambae hajui kwamba success rate ya Russian integrated air defense systems ni astronomical, take it or leave it up2U.

Naona mnazungumzia mara kwa mara kuhusu Moskva battle ship, je,mnajua iliundwa mwaka gani?? Je wakati accident hiyo ilipotokea mliangalia mchafuko wa hali ya hewa kwenye bahari ya Black sea ulikuwa wa kiwango gani?? Kumbuka kwenye hali ya vita missiles zinawekwa/cocked ready to fire at moments notice no time to waste every second counts, wahusika wote wanakuwa up tight - hata ukiangalia video siku hiyo mawimbi yalikuwa makubwa mno meli zilikuwa zinayumba kweli kweli, kwenye situation kama hiyo ni rahisi sana anything to go horribly wrong and this is what really happen - one of the misdiles inside the ship went off/exploded prematurely thereby triggering a chain reaction kwenye storage ya missiles - mambo kama hayo utokea kwenye maghala ya kuifadhia silaha iwe maghala kwenye makambi ya kijeshi(mfano:Gongo la Mboto na Mbagala) kwenye battle ships na submarines - why pick on Russians as if accident kuhusu Moskava ni jambola ajabu sana!!

Nilijaribu kufatilia kwa umakini suala hili hasa baada ya Ukraine kudai walilipua Moskova kwa kutumia anti ship missiles lakini sikuwahi kuona clip yoyote ikionyesha missile za Ukraine zilishambulia meli, missiles type Neptune mbona ni kubwa sana zinaoneka kirahisi even by a naked eye - watu wenye akili timamu wanajua vizuri kwamba Waukraine ni waongo tu, hawa husiku na lolote kwa kile kilichotokea kwa Moskva.
 
Wewe ulishawahi ona mradi wowote wa kimaendeleo Afrika ukifadhiliwa na Urusi.
Urusi njaa inawatesa kama sisi huku Afrika na siasa zao hazitofautiani na za kina Mugabe, Muzeven, Magu nk
usiendekeze kusaidiwa saidiwa, unakoelekea utasaidiwa hadi mengine, tabia za kinjaa njaa mbaya...misaada chini ya masharti magumu ni utumwa jiangalie, misaada hadi ya K-Y ndo unassifia eti?
 
nato na marekani hao wamefanya yao,ila WAANGALIE WANAZIDI KUMPONZA JIRANI MJINGA UKRAINE
Kumponza wapi? Washamchokonoa hadi vibao vya uso, anapigwa na hana cha kufanya. Na yeye alisema kwamba yoyote atakaeingilia huu, mgogoro watamuadabisha lakini wameshindwa na bado anatoa matamko mpaka anawachosha warusi wa apa Lunzewe na kibondo
 
Air defenses alizopewa Ukraine ni short to medium range hazitoshi kulinda sehemu kubwa hivyo baadhi ya Makombora yatapenya tu. Angepewa angalau Patriot radar yake ina nguvu inaona umbali mrefu.
Wewe nae, hacha kerere unajifanya unajua technology kumbe hakuna ukijuacho apo
 
Urusi hii vita alianzisha kiboya sana na hatokuja kufanya huo ujinga tena..pana miaka hapo kati aliwahi muanzishia zagele Hungary kichapo alichokipata kwa Hungary ndio anachokipata kwa Ukraine...Urusi wanajeshi wake wangekua na morali kama Wa Ukraine hiyo vita wangeshinda kirahisi tatizo inaonekana wanajeshi wanalazimishwa kufa kwa vita ya kugombea ardhi iliyoanzishwa kiboya Putin kapanic jana kamvua vyeo generali mmoja yeye kila kukicha anawalaumu wanajeshi wake kumbe yeye mwenyewe ndio tatizo..
 
Msisingizie Warusi - wapi walisema drones zote zilitunguliwa - wapi??

Nani ambae hajui kwamba success rate ya Russian integrated air defense systems ni astronomical, take it or leave it up2U.

Naona mnazungumzia mara kwa mara kuhusu Moskva battle ship, je,mnajua iliundwa mwaka gani?? Je wakati accident hiyo ilipotokea mliangalia mchafuko wa hali ya hewa kwenye bahari ya Black sea ulikuwa wa kiwango gani?? Kumbuka kwenye hali ya vita missiles zinawekwa/cocked ready to fire at moments notice no time to waste every second counts, wahusika wote wanakuwa up tight - hata ukiangalia video siku hiyo mawimbi yalikuwa makubwa mno meli zilikuwa zinayumba kweli kweli, kwenye situation kama hiyo ni rahisi sana anything to go horribly wrong and this is what really happen - one of the misdiles inside the ship went off/exploded prematurely thereby triggering a chain reaction kwenye storage ya missiles - mambo kama hayo utokea kwenye maghala ya kuifadhia silaha iwe maghala kwenye makambi ya kijeshi(mfano:Gongo la Mboto na Mbagala) kwenye battle ships na submarines - why pick on Russians as if accident kuhusu Moskava ni jambola ajabu sana!!

Nilijaribu kufatilia kwa umakini suala hili hasa baada ya Ukraine kudai walilipua Moskova kwa kutumia anti ship missiles lakini sikuwahi kuona clip yoyote ikionyesha missile za Ukraine zilishambulia meli, missiles type Neptune mbona ni kubwa sana zinaoneka kirahisi even by a naked eye - watu wenye akili timamu wanajua vizuri kwamba Waukraine ni waongo tu, hawa husiku na lolote kwa kile kilichotokea kwa Moskva.

Naona umeweka maelezo mengi mara mawimbi mara sijui Moskva ilikua ya zamani,swali; kama hiyo Meli haikupigwa na Neptines kama unavyotaka tuamini ilikuaje Urusi ikazikimbiza Meli zake mamia ya kilometres baada ya Moskva kuzamishwa?! Au walikimbia mawimbi makubwa[emoji23]

Swali 2; Ilikuaje Ukraine awe wa Kwanza kutoa taarifa kwamba wameipiga Moskva na inakaribia kuzama,Urusi ikakana hizo shutuma baadae ndo wakaja kukiri kwamba kweli imezama?!

Swali 3: kwanini baada ya Moskva kuzama Urusi hajapeleka tena Meli karibu na Pwani ya Ukraine Ila kazikimbiza mbali huko anaporushia long range cruise missiles?!

Air defenses za Russia hizihizi ambazo zinashindwa kudaka vikombora vya Himars ndo unaziita formidable air defenses?!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe nae, hacha kerere unajifanya unajua technology kumbe hakuna ukijuacho apo
Mbona Povu la omo?! Hapo anayejifanya anajua Nani wakati kila kitu Kipp wazi mtandaoni.

Tulia dawa ikuingie taratibuuuuuuu
 
Ww jamaa siku hizi umekuwa chenga kabisa kichwani.
Ebu niambie rasilimali gani alizo nazo Israel mpaka awe na uwezo wa kuivamia Iran.

Hii Israel ambayo ina wanajeshi wasio fika hata laki moja ndio itaweza kuivamia Iran? kwa hiyo Iran ni ya kuvamiwa kwa jeshi la watu 60,000?

Nimesha kwambia Israel ana uwezo wa kufanya mashambulizi ndani ya Iran lakini hana uwezo hata ile robo wa kukabiliana na Iran kwenye vita vya ardhini.

Mnapenda sana kuikuza Israel kwenye mambo ambayo hayana hata maana, tangu kuzaliwa kwangu nimesha shudia Israel akipigana vita mbali mbali tena dhidi ya wapinzani dhaifu kabisa lakini hakuna maajabu yeyote niliyo yaona kutoka kwake.

Mwaka 2006 tuliishuhudia ikipigana vita vya ardhini na kundi la Hizibllah ni maajabu gani aliyo yafanya zaidi ya kuuwa raia na kuharibu miundo mbinu?

Mwaka 2014 kwenye vita vyake na Hamas kundi lenye wapiganaji wasiozidi 20,000 na ambalo halina silaha nyingine zaidi ya Ak47 na viroketi vya kutengezea kienyeji ambayo kimsingi havina msaada wowote kwenye vita ni maajabu gani aliyo yafanya?

Kiufupi Israel kwenye vita ya ardhini ni ya kawaida sana ,kinacho ibeba Israel ni nguvu zake za kinyukilia na jeshi la anga ambalo kimsingi ukikutana na nchi yenye mifumo mizuri ya anga wenda lisiwe na msaada sana kama tunavyo shuhudia huko kwenye vita vya Urusi na Ukraine.


Unatuletea historia ya miaka 70 iliyo pita?
Kama ni hivyo basi na Iran historia inambeba maana kwenye historia yake amepigana vita nyingi sana lakini hakuna vita ambayo alisha shindwa na maadui zake.
Israel alishinda vita kwa siku 6 tu aya sasa hivi ajaribu kwa misiri tu tuone kama huo ushindi wa siku 6 ataupata tena.

Vita ya Iran na Iraq Iran ilishinda kwa sababu iliwafurusha kwenye ardhi yake wanajeshi wa Iraq walio kuwa wanapokea msaada wa kila sina kutoka Marekani na washirika wake kama wanavyo fanya sasa kwa Ukraine.

Wakati Marekani alishindwa vita na kundi lisilo kuwa na hata na viatu pamoja na kutumia zaidi ya $ trion 4 ambao ni sawa na uchumi wa Ujerumani.

Ukisema Marekani hana sababu ya kuivamia Iran bila shaka ina bidi nikushangae nadhani hata ww mwenyewe unajishangaa kwa kujitoa akili kiasi hicho.
Huijui Israel ndio maana unaongea tu ukijisikia. Kila mwanaume mkamilifu ndani ya nchi ile ana mafunzo ya kijeshi, sio hizi JKT za kibongo za kutukanana na kulima viazi. Ukiachana na wachache wenye sababu za kidini, waliobaki wote wana mafunzo makali ya kijeshi. Katiba inalazimisha hivyo na ukikwepa inafungwa jela. Uko wanatumia miaka miwili na miezi 8 kwenye mafunzo makali, kisha mtu anatoka anaenda kwenye field yake kama ualimu au kilimo. Wanawake vilevile ni lazima washiriki hasa wao hufundishwa kutoa huduma ya kwanza na vitu kama hivyo ili vita ikitokea wawe mfano paramedics.

Kusema Israel ina wanajeshi 60,000 ni kukosa uelewa, na kusema itapigwa kisa ina wanajeshi wachache unajifanya hujui idadi ya Waarabu wote waliopigana na Israel zile vita tatu? Unataka kusema Iran ina uwezo kuzizidi Egypt na Syria za miaka ile? Mbona zilipigwa. Japan iliyoipiga China kabla ya WW2 ilikuwa inaizidi population hata ungezidisha mara nne?

Usilazimishe Israel ianzishe vita, haijawahi. Kama inakuuma sana kajilipue au tuma maombi kwa taifa lolote unalotaka livamie. Kama unataka ugomvi uanzishe mwenyewe.

Umesema Israel iliwapiga siku sita, kumbe unajua upuuzi wa majeshi yale. We uliona wapi kwingine jeshi lenye kelele na kiherehere linapigwa kwa siku sita tu na kusalimu amri. Na sasa Israel ina low yield nuclear weapons sijui unasemaje haina nguvu. Majeshi yanayotoa vitisho vya kuvamia hutakiwa kuwa na nguvu angalau za kuleta upinzani, sio kupigwa ndani ya siku sita, ya saba watu wakapumzika kama Sabato.

Unataka maajabu ya Israel kwa Hamas na Hezbollah? Waulize hayo makundi yaliundwa kwa kazi gani na iliwahi fanikiwa. Hawaitaki Israel na ipo palepale inastawi, wao wanapigwa na umaskini uko kwao Lebanon na Gaza hata hakuna mwekezaji anaweza enda kisa ubishi wa kijinga na kuendeleza uhasama. Na wakirusha vikoreti vyao kutokea mashuleni na mahospitalini Israel inavitandika kama mnakufa kufeni tu
gaza-israel-palestine.jpeg
Gaza-v1.jpg
Israel-breaks-truce-on-Gaza-Palestine.jpg
 
Huijui Israel ndio maana unaongea tu ukijisikia. Kila mwanaume mkamilifu ndani ya nchi ile ana mafunzo ya kijeshi, sio hizi JKT za kibongo za kutukanana na kulima viazi. Ukiachana na wachache wenye sababu za kidini, waliobaki wote wana mafunzo makali ya kijeshi. Katiba inalazimisha hivyo na ukikwepa inafungwa jela. Uko wanatumia miaka miwili na miezi 8 kwenye mafunzo makali, kisha mtu anatoka anaenda kwenye field yake kama ualimu au kilimo. Wanawake vilevile ni lazima washiriki hasa wao hufundishwa kutoa huduma ya kwanza na vitu kama hivyo ili vita ikitokea wawe mfano paramedics.

Kusema Israel ina wanajeshi 60,000 ni kukosa uelewa, na kusema itapigwa kisa ina wanajeshi wachache unajifanya hujui idadi ya Waarabu wote waliopigana na Israel zile vita tatu? Unataka kusema Iran ina uwezo kuzizidi Egypt na Syria za miaka ile? Mbona zilipigwa. Japan iliyoipiga China kabla ya WW2 ilikuwa inaizidi population hata ungezidisha mara nne?

Usilazimishe Israel ianzishe vita, haijawahi. Kama inakuuma sana kajilipue au tuma maombi kwa taifa lolote unalotaka livamie. Kama unataka ugomvi uanzishe mwenyewe.

Umesema Israel iliwapiga siku sita, kumbe unajua upuuzi wa majeshi yale. We uliona wapi kwingine jeshi lenye kelele na kiherehere linapigwa kwa siku sita tu na kusalimu amri. Na sasa Israel ina low yield nuclear weapons sijui unasemaje haina nguvu. Majeshi yanayotoa vitisho vya kuvamia hutakiwa kuwa na nguvu angalau za kuleta upinzani, sio kupigwa ndani ya siku sita, ya saba watu wakapumzika kama Sabato.

Unataka maajabu ya Israel kwa Hamas na Hezbollah? Waulize hayo makundi yaliundwa kwa kazi gani na iliwahi fanikiwa. Hawaitaki Israel na ipo palepale inastawi, wao wanapigwa na umaskini uko kwao Lebanon na Gaza hata hakuna mwekezaji anaweza enda kisa ubishi wa kijinga na kuendeleza uhasama. Na wakirusha vikoreti vyao kutokea mashuleni na mahospitalini Israel inavitandika kama mnakufa kufeni tuView attachment 2402236View attachment 2402237View attachment 2402235
Unaongea kwa hasira sana lakini haibadilishi ukweli kuwa Israel mnaikuza tu tofauti na uhalisia.

Ww jamaa ni kilaza kabisa yaani unailinganisha misri ya miaka 70 iliyo pita na Iran ya sasa?hebu rudia kusoma ulicho kiandika kwanza.

Narudia tena Israel hana rasilimali za kutosha kuweza kikabiliana na Iran katika vita ya ardhini, kwann unataka kubisha kitu ambacho kiko wazi?

Jitazame ulivyo mnafiki kila siku humu unaliponda jeshi la Urusi kuwa halina weledi kwa kufanya uharibifu wa miundo mbinu lakini wakati huo huo unaisifu Israel kwa kufanya hivyo.

Hakuna sehemu nilipo razimisha Israel ianzishe vita bali tunaongea uhalisia iwapo vita itatokea.
Tena kwa misri tumeenda mbali hata jeshi la Syria la kabla ya vita lilikuwa na uwezo wa kuitoa makamasi Israel.

Kingine ww ni muongo hakuna sheria ndani ya Israel inayo razimisha raia wote kuwa wanajeshi hakuna sheria kama hiyo.
Nchi yenye sheria hiyo ni S.korea tena na penyewe ni kwa wanaume tu usitake kutulisha matango pori hapa.
 
Hehehe endelea kutokwa udenda sheikh lakini kichapo pale pale...

Usituletee lugha zako za kitumwa mlizo jifunza kutoka kwa ma shamba boy kwenye mashamba ya masetela wa kizungu, tangu enzi za ukoloni mpaka leo - mambo yako vile vile,nothing has changed.

Unafikiri hatujui kwa nini unahusudu sana ngozi nyeupe hasa Wamerikani mnawachukilia kama Miungu wenu wadogo wa hapa Duniani,usione tunanyamaza ukafikiri tu wajinga au hatujui undani wenu.

Binafsi nawashangaa baadhi ya watanzania wenzangu ambao wana kuunga mkono blindly - bila shaka hii inatokana na uelewa wao mdogo wa baadhi ya waswahili wenzangu, hawajui kabisa kwamba iwapo vita ya Ukraine itagehuka kuwa vita ya nuclear baina ya Urusi na Amerika, basi, na Tanzania itahathirika sana iwapo Urusi italenga military bases za Wamerikani ambazo zipo barani Africa ikiwemo Kenya yenyewe ambao ni majirani zetu,je,mnajua thermonuclear missiles hatarishi za Urusi zina madhara gani na uharibifu wa kiwango gani ki-
ujumla zikasambaratisha hata sisi ambao ni majirani wao - vita hii ya Ukraine sio ya kuchukulia kimzaa mzaa hasa ikifikia hatua ya matumizi ya silaha za nuclear.
 
Usituletee lugha zako za kitumwa mlizo jifunza kutoka kwa ma shamba boy kwenye mashamba ya masetela wa kizungu, tangu enzi za ukoloni mpaka leo - mambo yako vile vile,nothing has changed.

Unafikiri hatujui kwa nini unahusudu sana ngozi nyeupe hasa Wamerikani mnawachukilia kama Miungu wenu wadogo wa hapa Duniani,usione tunanyamaza ukafikiri tu wajinga au hatujui undani wenu.

Binafsi nawashangaa baadhi ya watanzania wenzangu ambao wana kuunga mkono blindly - bila shaka hii inatokana na uelewa wao mdogo wa baadhi ya waswahili wenzangu, hawajui kabisa kwamba iwapo vita ya Ukraine itagehuka kuwa vita ya nuclear baina ya Urusi na Amerika, basi, na Tanzania itahathirika sana iwapo Urusi italenga military bases za Wamerikani ambazo zipo barani Africa ikiwemo Kenya yenyewe ambao ni majirani zetu,je,mnajua thermonuclear missiles hatarishi za Urusi zina madhara gani na uharibifu wa kiwango gani ki-
ujumla zikasambaratisha hata sisi ambao ni majirani wao - vita hii ya Ukraine sio ya kuchukulia kimzaa mzaa hasa ikifikia hatua ya matumizi ya silaha za nuclear.

Hehehe jamaa ukitaka kujifunza mipasho acha kuandika insha, unateseka bure... Sidhani kama kuna mtu anahangaika kusoma uharo wote huo, andika just one line.... ila kipigo kiko pale pale, hata uhamaki vipi, meli tatu chali.
 
Wakati Warusi wanatumia drones za msaada wa Iran kupiga bembea za watoto wa Ukraine, ila Ukraine wanatumia drones kupiga vifaa vya kijeshi, tayari wamelipua meli moja ya kijeshi na zingine zimepokea mapigo balaa
=====================

Russia has accused Ukraine of carrying out a "massive" drone attack on the headquarters of its Black Sea Fleet in the Crimean port city of Sevastopol.
The attack began at 04:20 local time and involved nine aerial and seven marine drones, Russian officials said.
At least one warships is said to have been damaged in the strikes. Ukraine has not yet acknowledged the incident.
Mikhail Razvozhaev, the Russian-installed governor of the city, said Russia's navy had repelled the attack.
The strikes were the "most massive" since Russian troops first entered Ukraine in February, Russian state media quoted the governor as saying.


Sema zafanyiwa ugaidi🥱
 
Hehehe jamaa ukitaka kujifunza mipasho acha kuandika insha, unateseka bure... Sidhani kama kuna mtu anahangaika kusoma uharo wote huo, andika just one line.... ila kipigo kiko pale pale, hata uhamaki vipi, meli tatu chali.

Wenye akili watanielewa - wangapi wanaunga mkono unayo andika hapa - labda tuanzie hapo!!
 
usiendekeze kusaidiwa saidiwa, unakoelekea utasaidiwa hadi mengine, tabia za kinjaa njaa mbaya...misaada chini ya masharti magumu ni utumwa jiangalie, misaada hadi ya K-Y ndo unassifia eti?
Kupiga box ni opportunity sio msaada
 
Urusi hii vita alianzisha kiboya sana na hatokuja kufanya huo ujinga tena..pana miaka hapo kati aliwahi muanzishia zagele Hungary kichapo alichokipata kwa Hungary ndio anachokipata kwa Ukraine...Urusi wanajeshi wake wangekua na morali kama Wa Ukraine hiyo vita wangeshinda kirahisi tatizo inaonekana wanajeshi wanalazimishwa kufa kwa vita ya kugombea ardhi iliyoanzishwa kiboya Putin kapanic jana kamvua vyeo generali mmoja yeye kila kukicha anawalaumu wanajeshi wake kumbe yeye mwenyewe ndio tatizo..
Point
 
Back
Top Bottom