Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Are you sure na unacho kisema? Mwaka juzi mbona missiles 12 za Iran zilishambulia na kusambaratisha kambi mbili za jeshi la Merikani huko Iraq - kumbuka kambi hizo zilikiwa zinalindwa na Patriot - sasa ilikuwaje tena zikashindwa kudhibiti missiles za Iran labda tuanzie hapo?

Mwaka huo huo Petroleum Industrial Complex ya Saudi Arabia ilitiwa kiberiti na roketi za kutengeneza kienyeji za waasi wa Yemen - mbona Patriot air defense system failed miserably yet again - halafu leo hii wanajitokeza watu wanazipigia debe as if Patriot ni cure all medicine like PANADOL - kumbe,kuna missiles zinazizidi kete chukulia mifano miwili "live" hapo juu.

Tukija case ya Saudia nina hakika defense systems zilikua overwhelmed na mshambuliaji maana zilitumwa cruise missiles za kutosha pamoja na drones.

Tukija kwenye suala la defense systems mbona hizi za Russia mlizokua mnazisifia kila siku humu hakuna chochote zinachofanya,Jana Sevastopol imepigwa na drone 9 tu wanasema wamezitungua zote lakini cha ajabu hapohapo wanasema kuna baadhi ya Meli zimeharibiwa. Sasa zimeharibiwaje wakati drones zote walitungua. Himars kila siku zinapiga supply lines za Russia,juzi walibutua pontoon bridge Kherson,Jana wamepiga tena Antonovsky bridge hukohuko Kherson...sasa sijui zile S-3000 na S-5000 mlizokua mnazitukuza humu ndani ziko wapi?!

Mwisho: Hakuna defense systems ambayo ipo effective 100%.
 
Kwani Meli zinapita wapi si majini au wewe ulifikiri zimapia jangwani - mbona Kamikaze zilipo kuwa zinatembeza kichapo cha uhakika huko Ukraine, mbona alikaa kimya kama maji kwenye mtungi - leo hii Waingereza wanatumiwa na Ukraine kujaribu kushambulia Russia Naval fleet walicho ambulia ni kisabisha superficial damages lakini nyinyi mnachukulia incident hiyo kana kwamba wamefamikiwa sana -kumbe ulaghai mtupu majority ya Drones zilipukutishwa na formidable air defense system za Warusi - hilo hamlisemi.

"Superficial damages" [emoji23]

Hata Moskva ilipobutuliwa kwa Neptune za Ukraine na baadae kuzama Mwanzoni Urusi ilipinga kwamba hakuna tukio kama hilo.

Kambi Yao ya jeshi kule Crimea ilivyobutuliwa miezi iliyopita Urusi ilisema kila kitu kiko Sawa,mkaja kushangilia humu baadae satellites images zikaja kuwaumbua baada ya kuonyesha uharibifu mkubwa uliotokea maana ammo depots ilikua imeharibiwa kabisa,Urusi ilikua imepoteza ndege Tisa pamoja na uharibifu kidogo kwenye run ways.
Hivyo sitoshangaa hata hiyo superficial waliyoisema baadae wakaja kuumbuka maana Urusi ni Muongo Sana.
 
🇷🇺🇺🇦 After the terrorist attack on the Crimean bridge, Ukraine lost more than a third of its distribution and generating capacities.

After the drone attack on Sevastopol, Russia has every opportunity to completely close the export of any product from Ukraine by sea.

Retribution should be as heavy and painful as possible.
 
Hia hapa ni moja ya aina ya sea drone iliyopigwa jamming na urusi
img_1_1667067678166.jpg
 
Ndio Nina uhakika.

Wakati base za Marekani zinashambuliwa kule Iraq hakukua na air defenses zozote zile ambazo zinalinda kambi dhidi ya Makombora

US awaits Iraq’s okay to deploy Patriots to protect troops amid Iran tension

AFP, Washington
Published: 30 January ,2020: 12:00 AM GST
Updated: 20 May ,2020: 10:57 AM GST
The United States is awaiting a green light from the Iraqi government to deploy Patriot missile defense systems to protect US troops from Iranian missile attacks, Pentagon chief Mark Esper said on Thursday.

Iran launched 11 missiles at a US air base at Ain al-Assad and another at a base in Erbil on January 8 in retaliation for the killing days earlier of Iranian General Qassim Soleimani in a US drone strike in Baghdad.

US awaits Iraq’s okay to deploy Patriots to protect troops amid Iran tension

....na baada tu ya Marekani kutangaza kupeleka Patriot missile systems Iran alionya hatua hiyo

Iran warns US after Patriot missile deployment to Iraq
United States reportedly deploying Patriot missiles in Iraq to counter possible Iranian rocket attacks..

Iran warned the United States it is leading the Middle East to disaster amid the coronavirus pandemic after reports that Patriot air defence missiles were deployed to Iraq.

Washington had been in talks with Baghdad about the proposed deployment since January, but it was not immediately clear whether it secured its approval or not. Iran, which wields huge influence in its western neighbour, said it had not.

Iran warns US after Patriot missile deployment to Iraq
marekani iliweka mifumo ya ulinzi wa iran ilitanguliza kombora moja kwanza ili kupiga jamming ndo maana hata satelite hazikuona kitu mfumo wa kutoa onyo la mapema nao haukuona kitu

jaman tukubarini tu iran ni level nyingine

Hata kama hamuwapendi
 
Wakati Warusi wanatumia drones za msaada wa Iran kupiga bembea za watoto wa Ukraine, ila Ukraine wanatumia drones kupiga vifaa vya kijeshi, tayari wamelipua meli moja ya kijeshi na zingine zimepokea mapigo balaa
=====================

Russia has accused Ukraine of carrying out a "massive" drone attack on the headquarters of its Black Sea Fleet in the Crimean port city of Sevastopol.
The attack began at 04:20 local time and involved nine aerial and seven marine drones, Russian officials said.
At least one warships is said to have been damaged in the strikes. Ukraine has not yet acknowledged the incident.
Mikhail Razvozhaev, the Russian-installed governor of the city, said Russia's navy had repelled the attack.
The strikes were the "most massive" since Russian troops first entered Ukraine in February, Russian state media quoted the governor as saying.


Ingelkua headlines BBC,CNN,VOA nk
 
Maneno ya kejeli hayawezi kubadilisha ukweli wa nilicho kisema.

Kama Marekani na Israel wangekuwa na uwezo wa kuivamia au kuivuruga Iran wangekuwa wamesha fanya hivyo kitambo sana.

Maana katika ndoto ya viongozi wa Marekani na Israel ni kuona utawala wa Iran unaanguka maana ni mvurugaji mkubwa wa mipango mingi ya Marekani kwenye eneo la mashariki ya kati na Israel inaishi kwa taabu sana kutokana na makundi yanayo pewa silaha na Iran.

Marekani na Israel wanatamani sana utawala wa Iran uanguke lakini ugumu una kuja watauangushaje?

Hiyo Israel ina jeshi gani lenye uwezo wa kuivamia Iran?
Israel anacho weza kufanya ni kushambulia miundo mbinu ya kijeshi ndani ya Iran lakini hana jeshi lenye uwezo wa kufanya uvamizi dhidi ya Iran, lakini bado na kushambulia miundo mbinu ya kijeshi ndani ya Iran na penyewe ni ngumu kumeza maana majibu ya Iran yatakuwa ya kushangaza na kutamausha.

Nakumbuka kipindi cha mzozo wa kuuliwa kwa jeneral Suleiman na Iran ikajibu kwa kuharibu kambi za Marekani,
kuna jeneral mstaafu wa kijerumani aliulizwa kwenye mahojiano na Ajazeera iwapo Marekani ingejibu mashambulizi ya Iran kwa kulivamia taifa hilo.

Majibu aliyo toa ni haya hapa ngoja nimnukuu: kusema ukweli kwa sasa Marekani hawezi kuivamia Iran kwa sasa maana vikosi vyake vilivyo mashariki ya kati kwa sasa havina uwezo wa kuivamia na kuishinda Iran,ili Marekani iweze kulishinda jeshi la Iran ina hitaji wanajeshi kuanzia millioni1, kwa sasa hakuna uwezekano wa vita kati ya Marekani na Iran mwisho wa kumnukuu.

Na ni kweli Marekani akaufyata.
Marekani anao uwezo wa kuivamia Iran ila hana sababu. Msilazimishe kumpangia matumizi ya jeshi lake, akivamia mnalalamika asipovamia mnasema hana nguvu. Jeshi halipo kuvamia popote mashabiki wa kigeni mnapojisikia. Iran hii iliyopigana na Iraq kwa miaka 8 wakatoka suluhu ndio iishinde Marekani?

Israel uwezo wa kuipiga Iran inao ila niambie ni lini ulipata kuona Israel inakuwa aggressor inaanzisha vita? Vita zote ambazo iliwahi piga huwa inashambuliwa kwanza kisha inatoa response. Kabla Iran haijawa na nguvu hivi, ilikuwepo Egypt ikiwa the most powerful in Middle East ikaungana na Syria na Waarabu wengine wakisaidiwa na USSR wakapigwa na Israel vita mbili. Ukitaka Iran na Israel zipigane, iombe Iran ivamie ndio utajua maana ya Israel kwenye vita ni nini.

Israel haiwezi anzisha vita duniani kwa vile inaogopa criticism na anti Semitism isishike kasi. Ila ukiwatafuta wanakupiga bila kufuata sijui haki za binadamu kama ambavyo hufanya pale Gaza
 
Marekani anao uwezo wa kuivamia Iran ila hana sababu. Msilazimishe kumpangia matumizi ya jeshi lake, akivamia mnalalamika asipovamia mnasema haba nguvu. Jeshi halipo kuvamia popote mashabiki wa kigeni mnapojisikia. Iran hii iliyopigana na Iraq kwa miaka 8 wakatoka suluhu ndio iishinde Marekani?

Israel uwezo wa kuipiga Iran inao ila niambie ni lini ulipata kuona Israel inakuwa aggressor inaanzisha vita? Vita zote ambazo iliwahi piga huwa inashambuliwa kwanza kisha inatoa response. Kabla Iran haijawa na nguvu hivi, ilikuwepo Egypt ikiwa the most powerful in Middle East ikaungana na Syria na Waarabu wengine wakisaidiwa na USSR wakapigwa na Israel vita mbili. Ukitaka Iran na Israel zipigane, iombe Iran ivamie ndio utajua maana ya Israel kwenye vita ni nini.

Israel haiwezi anzisha vita duniani kwa vile inaogopa criticism na anti Semitism isishike kasi. Ila ukiwatafuta wanakupiga bila kufuata sijui haki za binadamu kama ambavyo hufanya pale Gaza
Ww jamaa siku hizi umekuwa chenga kabisa kichwani.
Ebu niambie rasilimali gani alizo nazo Israel mpaka awe na uwezo wa kuivamia Iran.

Hii Israel ambayo ina wanajeshi wasio fika hata laki moja ndio itaweza kuivamia Iran? kwa hiyo Iran ni ya kuvamiwa kwa jeshi la watu 60,000?

Nimesha kwambia Israel ana uwezo wa kufanya mashambulizi ndani ya Iran lakini hana uwezo hata ile robo wa kukabiliana na Iran kwenye vita vya ardhini.

Mnapenda sana kuikuza Israel kwenye mambo ambayo hayana hata maana, tangu kuzaliwa kwangu nimesha shudia Israel akipigana vita mbali mbali tena dhidi ya wapinzani dhaifu kabisa lakini hakuna maajabu yeyote niliyo yaona kutoka kwake.

Mwaka 2006 tuliishuhudia ikipigana vita vya ardhini na kundi la Hizibllah ni maajabu gani aliyo yafanya zaidi ya kuuwa raia na kuharibu miundo mbinu?

Mwaka 2014 kwenye vita vyake na Hamas kundi lenye wapiganaji wasiozidi 20,000 na ambalo halina silaha nyingine zaidi ya Ak47 na viroketi vya kutengezea kienyeji ambayo kimsingi havina msaada wowote kwenye vita ni maajabu gani aliyo yafanya?

Kiufupi Israel kwenye vita ya ardhini ni ya kawaida sana ,kinacho ibeba Israel ni nguvu zake za kinyukilia na jeshi la anga ambalo kimsingi ukikutana na nchi yenye mifumo mizuri ya anga wenda lisiwe na msaada sana kama tunavyo shuhudia huko kwenye vita vya Urusi na Ukraine.


Unatuletea historia ya miaka 70 iliyo pita?
Kama ni hivyo basi na Iran historia inambeba maana kwenye historia yake amepigana vita nyingi sana lakini hakuna vita ambayo alisha shindwa na maadui zake.
Israel alishinda vita kwa siku 6 tu aya sasa hivi ajaribu kwa misiri tu tuone kama huo ushindi wa siku 6 ataupata tena.

Vita ya Iran na Iraq Iran ilishinda kwa sababu iliwafurusha kwenye ardhi yake wanajeshi wa Iraq walio kuwa wanapokea msaada wa kila sina kutoka Marekani na washirika wake kama wanavyo fanya sasa kwa Ukraine.

Wakati Marekani alishindwa vita na kundi lisilo kuwa na hata na viatu pamoja na kutumia zaidi ya $ trion 4 ambao ni sawa na uchumi wa Ujerumani.

Ukisema Marekani hana sababu ya kuivamia Iran bila shaka ina bidi nikushangae nadhani hata ww mwenyewe unajishangaa kwa kujitoa akili kiasi hicho.
 
Maneno ya kejeli hayawezi kubadilisha ukweli wa nilicho kisema.

Kama Marekani na Israel wangekuwa na uwezo wa kuivamia au kuivuruga Iran wangekuwa wamesha fanya hivyo kitambo sana.

Maana katika ndoto ya viongozi wa Marekani na Israel ni kuona utawala wa Iran unaanguka maana ni mvurugaji mkubwa wa mipango mingi ya Marekani kwenye eneo la mashariki ya kati na Israel inaishi kwa taabu sana kutokana na makundi yanayo pewa silaha na Iran.

Marekani na Israel wanatamani sana utawala wa Iran uanguke lakini ugumu una kuja watauangushaje?

Hiyo Israel ina jeshi gani lenye uwezo wa kuivamia Iran?
Israel anacho weza kufanya ni kushambulia miundo mbinu ya kijeshi ndani ya Iran lakini hana jeshi lenye uwezo wa kufanya uvamizi dhidi ya Iran, lakini bado na kushambulia miundo mbinu ya kijeshi ndani ya Iran na penyewe ni ngumu kumeza maana majibu ya Iran yatakuwa ya kushangaza na kutamausha.

Nakumbuka kipindi cha mzozo wa kuuliwa kwa jeneral Suleiman na Iran ikajibu kwa kuharibu kambi za Marekani,
kuna jeneral mstaafu wa kijerumani aliulizwa kwenye mahojiano na Ajazeera iwapo Marekani ingejibu mashambulizi ya Iran kwa kulivamia taifa hilo.

Majibu aliyo toa ni haya hapa ngoja nimnukuu: kusema ukweli kwa sasa Marekani hawezi kuivamia Iran kwa sasa maana vikosi vyake vilivyo mashariki ya kati kwa sasa havina uwezo wa kuivamia na kuishinda Iran,ili Marekani iweze kulishinda jeshi la Iran ina hitaji wanajeshi kuanzia millioni1, kwa sasa hakuna uwezekano wa vita kati ya Marekani na Iran mwisho wa kumnukuu.

Na ni kweli Marekani akaufyata.

Shukrani sana mkuu kwa kujieleza kisomi kabisa, tatatizo hapa ni,je,wangapi watakuelewa - majority hawataki kukibali ukweli linapo kuja suala linalo husu Amerika kuzidiwa kete na wenzake mpaka kufikia hatua ya kuhaibika kimataifa chukulia mfano ulio utaja hapa: Kulipuliwa kwa military bases mbili za US nchini Iraq - infrastructure zote nyanganyanga wanajeshi walio jichimbia kwenye mahandaki ya zege kujerujiwa nina halika wengi walikufa licha ya kujichimbia lakini Amerika haiwezi kusema ukweli huo - sasa ubabe wote wa US pamoja na majigambo yaliishia wapi, mbona walikaa kimya bila ya kuichukulia Iran hatua yoyote kijeshi? Hapo hatuja gusia kuhusu Iran kutungua drone ya kipelelezi ya Merikani miaka miwili iloyipita na hapo Donald Trump pamoja na jeshi lake walikaa kimya,Obama ma jeshi lake vile vile walikaa kimya baada ya Drone yao ya teknolojia ya hali ya juu kuteremushwa/shushwa gracefully na jeshi la Iran wakaipeleka kwenye maabara yao ya kijeshi kuifanyia utafiti waka reverse engineer wakaunda ya kwao kama vile vile ya Kimerikani tuliona kwa macho yetu ikirushwa na jeshi la Iran - napo mbona jeshi la Amerika na Obama walikaa kimya wakawa wanalia lia kwamba Wairan wawarudishie Drone yao ikiwa in one piece!!

Leo hii watu wanatuletea hapa make believe stories kuhusu udhaifa wa jeshi la Iran ma kwamba Iran hipo nyuma sana kisayansi na kiteknolojia, kisa? CNN,FoxNews na SkyNews imewambia hivyo kwamba Iran si lolote si chochote na baadhi ya watu na akili zao timamu wana amini maigizo/propaganda za MSM as if wakisemacho ni Gospel TRUTH!!
 
Marekani anao uwezo wa kuivamia Iran ila hana sababu. Msilazimishe kumpangia matumizi ya jeshi lake, akivamia mnalalamika asipovamia mnasema haba nguvu. Jeshi halipo kuvamia popote mashabiki wa kigeni mnapojisikia. Iran hii iliyopigana na Iraq kwa miaka 8 wakatoka suluhu ndio iishinde Marekani?

Israel uwezo wa kuipiga Iran inao ila niambie ni lini ulipata kuona Israel inakuwa aggressor inaanzisha vita? Vita zote ambazo iliwahi piga huwa inashambuliwa kwanza kisha inatoa response. Kabla Iran haijawa na nguvu hivi, ilikuwepo Egypt ikiwa the most powerful in Middle East ikaungana na Syria na Waarabu wengine wakisaidiwa na USSR wakapigwa na Israel vita mbili. Ukitaka Iran na Israel zipigane, iombe Iran ivamie ndio utajua maana ya Israel kwenye vita ni nini.

Israel haiwezi anzisha vita duniani kwa vile inaogopa criticism na anti Semitism isishike kasi. Ila ukiwatafuta wanakupiga bila kufuata sijui haki za binadamu kama ambavyo hufanya pale Gaza
Israel hi hihiambayo kama hezbulllah wakiamua wanaweza kuichukua Jerusalem kwa mwezi 1 na nusu ndo ikapigane na Iran yaani Israel inayopewa kichapo na wavuta bangs wa west Bank ndo ikachokoze Iran kweli acha masihara were usichukilie vitu kirahisi rahisi tu
 
marekani iliweka mifumo ya ulinzi wa iran ilitanguliza kombora moja kwanza ili kupiga jamming ndo maana hata satelite hazikuona kitu mfumo wa kutoa onyo la mapema nao haukuona kitu

jaman tukubarini tu iran ni level nyingine

Hata kama hamuwapendi
Hahahaha Yani hata unachoongea hukijui,kwahiyo Iran ikatuma ballistic missile iende kujam air defenses?! Aiseee hiki ni kituko cha mwaka
 
Shukrani sana mkuu kwa kujieleza kisomi kabisa, tatatizo hapa ni,je,wangapi watakuelewa - majority hawataki kukibali ukweli linapo kuja suala linalo husu Amerika kuzidiwa kete na wenzake mpaka kufikia hatua ya kuhaibika kimataifa chukulia mfano ulio utaja hapa: Kulipuliwa kwa military bases mbili za US nchini Iraq - infrastructure zote nyanganyanga wanajeshi walio jichimbia kwenye mahandaki ya zege kujerujiwa nina halika wengi walikufa licha ya kujichimbia lakini Amerika haiwezi kusema ukweli huo - sasa ubabe wote wa US pamoja na majigambo yaliishia wapi, mbona walikaa kimya bila ya kuichukulia Iran hatua yoyote kijeshi? Hapo hatuja gusia kuhusu Iran kutungua drone ya kipelelezi ya Merikani miaka miwili iloyipita na hapo Donald Trump pamoja na jeshi lake walikaa kimya,Obama ma jeshi lake vile vile walikaa kimya baada ya Drone yao ya teknolojia ya hali ya juu kuteremushwa/shushwa gracefully na jeshi la Iran wakaipeleka kwenye maabara yao ya kijeshi kuifanyia utafiti waka reverse engineer wakaunda ya kwao kama vile vile ya Kimerikani tuliona kwa macho yetu ikirushwa na jeshi la Iran - napo mbona jeshi la Amerika na Obama walikaa kimya wakawa wanalia lia kwamba Wairan wawarudishie Drone yao ikiwa in one piece!!

Leo hii watu wanatuletea hapa make believe stories kuhusu udhaifa wa jeshi la Iran ma kwamba Iran hipo nyuma sana kisayansi na kiteknolojia, kisa? CNN,FoxNews na SkyNews imewambia hivyo kwamba Iran si lolote si chochote na baadhi ya watu na akili zao timamu wana amini maigizo/propaganda za MSM as if wakisemacho ni Gospel TRUTH!!
Mkuu watu wamekariri.
 
Back
Top Bottom