Meli za kivita za Urusi zapokea kipigo cha drones kule Black sea

Wtf, vita waliyosema wiki moja wanamalizia kazi. Sasa karibia mwaka unaisha, lakini chawa mnapiga domo tu. Tumia ubongo.
Keshasema mjiandae na dhoruba ya muongo m1 ........ndo kwanza shoo inaanza
 
Wtf, vita waliyosema wiki moja wanamalizia kazi. Sasa karibia mwaka unaisha, lakini chawa mnapiga domo tu. Tumia ubongo.
mkuu hebu tuletee ushahidi,putin aliposema atamaliza vita kwa wiki moja na mimi nione mkuu...
 
mawazo yako yq kitoto sana , na unaonesha unashinda vijiwen au unatumia smartphone ya shemej , huez sema Urusi kuipigq Ulaya kwa msaada wa Iran ambae pia ni kinyago cha wazungu hapo middle Eats ili waarabu wasimuone Israel kama adui pekee
aisee,bangi mbaya sana.
 
wewe acha upoyoyo wenzako sasa hivi hawapigàni direct war, wanapigana indirect
 
Kumbe supapawa hajiwezi hadi ameamua kurecruit mercenaries.Si tumeambiwa hapa Russia ana active solders zaidi ya 900K,kwanini asiwatumie hao?
Teh unachezwa mchezo mnaocheza kila siku na wenzenu wamewasoma wanaucheza vizuri zaidi........kwanini nimalize raia wangu wakati pesa ninayo watu wanaweza kunipigania, na kwanini nionyeshe silaha zangu mapema adui anichunguze mapema wakati pesa ninayo ya kuchukua silaha kwengine na kuwafundisha adabu.......
 
Pitia kwa mangi upate faru john, nakuja kulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…