Tetesi: MELT group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills?

kipindi cha mabadilko kutoka ujamaa kwenda ubepari,wajanja wengi walitajirika kizembe sana wakishirikiana na watawala.Si ajabu miaka ijayo kukuta ndani ya makampuni ya bakhresa au mo kuna hisa za mzee mwinyi au kikwete.
Umemsahau na yule alisajili ANBEM akiwa ikulu....
Na Marehemu alivyouza nyumba za serikali kwa ndugu na mademu wake!
 
Na ndiyo maana nimempa sifa ya ujanja ujanja ambayo watu wengine hawana. Binafsi sina tatizo juu ya hicho kitu alichofanya.
 
Hii nchi ukiwa na ngozi ya rangi nyeupe na ukija na bilion yako moja tu unakuja kuvuna mabilioni ya kutosha kwa kigezo cha mwekezaji

Picha linaanza waziri wa mipango na uwekezaji ni kitila mkumbo mzee wa fursa.
 
Unazunguamzia Bilioni 25 au 250?maana sioni hio MUTEX ikawa na hio Bei
 
Hujitambui, MUTEX ingekuwa na mitambo ya maana isingekufa
MUTEX, MWATEX, URAFIKI na viwanda vyote vilivyokuwa chini ya serikali ya kijamaa ya mwalimu Nyerere vilifuka, si kwa uchakavu wa mitambo, bali kwa kuendekeza siasa kazini pamoja na globalization/new world order. The USSR was coming to its demise and EU/NATO was taking over the throne.
 
Matapeli ifike mahala sisi kama watanzania tuanze kuwanyonga ndio waatacha kutuchezea chezea na hizi mali za umma- Wanyongwe bila huruma sio hizi dana dana za utapeli wa kukopa huku na huku na kutofanyia malengo ya mkopo. Munyongwe tu- china style
 
Hawa wafanyabiashara wakubwa wa kiindi wapigaji sana wametafuna sana nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…