Garama za mitambo na aina ya uwekezaji katika proposal yake aliyowapa Benk inaweza zidi ata hiyoBila ushahidi ni UONGO
MUTEX haikuwa na hiyo thamani, haina hiyo thamani, haitakuwa na hiyo thamani
Umemsahau na yule alisajili ANBEM akiwa ikulu....kipindi cha mabadilko kutoka ujamaa kwenda ubepari,wajanja wengi walitajirika kizembe sana wakishirikiana na watawala.Si ajabu miaka ijayo kukuta ndani ya makampuni ya bakhresa au mo kuna hisa za mzee mwinyi au kikwete.
Na ndiyo maana nimempa sifa ya ujanja ujanja ambayo watu wengine hawana. Binafsi sina tatizo juu ya hicho kitu alichofanya.Mkuu, kama alikinunua si ni mali yake na anaweza kufanya anavyotaka?? Mfano, mimi nimenunua nyumba Mbagala ilhalia tayari nina nyumba Mbezi Beach. Sasa nikiamua kuchukua mkopo Bank kwa kuweka rehani nyumba ya Mbagala ili nipanue ile ya Mbezi, kosa langu lipo wapi?
CC: peno hasegawa
KWELI KabisaaaHuyo jamaa siku zote ni mjanja mjanja sana.
Unazunguamzia Bilioni 25 au 250?maana sioni hio MUTEX ikawa na hio BeiNdugu zangu wana Mara katika Utafiti wangu nimegundua kuwa Mo aka Metl group walikopa Billion 250 kutoka benki ya Maendeleo ya Africa Kwa kutumia Kiwanda Cha Musoma textile Mills,
Lengo la mkopo kupanua kiwanda hicho cha Musoma Textile lakini Fedha zile Mo walienda kujengea kiwanda Cha Mo energy Vingunguti,
Wanamara wote, Kwa Pamoja tuamke kulipigania hili Kwa sababu Wabunge wa Mkoa wa Mara wamekaa kimya,Mkuu wa mkoa amekaa kimya, Uongozi wa mkoa umekaa kimya miaka inaenda Kiwanda Cha Musoma hakijengwi Wala kuendelezwa,
NINAOMBA YAFUATAYO:
1: Nimtake Mo na Kampuni yake warudishe hicho Kiwanda mikononi mwa serikali Ili wawekezaji wengine wapewe kuendeleza,
2: MO ashitakiwe kama mhujunu uchumi Kwa sababu amefanya Financia loan diversion kisheria ni mhujumu uchumi
3: Nimtake Mo atekeleze lengo la mkopo ule au atulipe Watanzania Kwa kuchukua asset ya Watanzania na kuifanyia biashara kinyume na taratibu za serikali,
4: Ashitakiwe Kwa kuwakosesha wanaMara Ajira za moja Kwa moja zisizopungua 100,000 Kwa maana wakulima wangeuza pamba, serikali ingekusanya Kodi, Technolojia ingekuwa,na Mapato yangeongezeka Kwa asilimia 120 ndani ya mkoa wa Mara
4: Mkoa wa Mara tunalia Vyanzo vya Mapato kumbe Vyanzo Hivi vinahujumiwa na watu wachache.
5: Wananchi wote tuungane kuwapinga watu kama hawa Tanzania
6:. Mo aombe radhi na kutekeleza pendekezo namba 3 nililotaja hapo juu.
7: Serikali ya mkoa itoe tamko juu ya hili na kuwaomba wananchi Radhi Kwa kutokuwa makini na kutofuatilia uwekezaji wa namna hii
8: Mkopo huu umeingizwa kwenye Deni la Taifa kupitia Mikopo inayochukuliwa na sekta binafsi,Tanzania
B: Kama hayatafanyika hayo
1: Natoa siku 60 kuifikisha Kampuni hii Mahakamani ukiwa ni pamoja na kuwataarifu Benki ya Maendeleo juu ya default ya mkopo ya namna hii regardless unarejesha.
2: Serikali ianzishe uchunguzi wa hili suala kama haitafanya wananchi tutaishitaki serikali na Kampuni husika.
Ç: Naomba kuwasilisha hoja kujadiliwa Kwa upana na kupata maoni juu ya hili Kwa pamoja tupate maoni.
Wenu Mzalendo Mara
B.Marela
Watu wanadhani biashara ni kufurahishana. Biashara lengo lake ni kupata faida. Umeandika vema sana mkuu.4. Vipi unataka aendeleze kiwanda ili wana musoma Mfurahi afu ashindwe kulipa mkopo mumcheke?
Huenda hajawahi fika Musoma kwenye hicho KiwandaKuna baadhi ya watu ukisoma wanachopost hapa unabaki kucheka tu. Eti bilioni 250 MUTEX!
Hujitambui, MUTEX ingekuwa na mitambo ya maana isingekufaGarama za mitambo na aina ya uwekezaji katika proposal yake aliyowapa Benk inaweza zidi ata hiyo
Ujanja wenye tija ndio mpango mzima.KWELI Kabisaaa
Alaumiwe serikali tu...Watu wengi walionunua mali za serikali wakizitumia kuchukulia mikopo na si kuziendeleza. Unanunua mali bilioni moja unaenda benki unachukua bilioni 10.
MUTEX, MWATEX, URAFIKI na viwanda vyote vilivyokuwa chini ya serikali ya kijamaa ya mwalimu Nyerere vilifuka, si kwa uchakavu wa mitambo, bali kwa kuendekeza siasa kazini pamoja na globalization/new world order. The USSR was coming to its demise and EU/NATO was taking over the throne.Hujitambui, MUTEX ingekuwa na mitambo ya maana isingekufa
Nchi za Sub Saharan Africa zimejaa wachumia matumbo yao tu. Ukijifanya mzalendo unafuka masikini huku unachekwa.Alaumiwe serikali tu...
Mali ya wajinga huliwa na wajanjaWatu wengi walionunua mali za serikali wakizitumia kuchukulia mikopo na si kuziendeleza. Unanunua mali bilioni moja unaenda benki unachukua bilioni 10.
Alafu wanasema kuna cream zipo huko serikalini.Mali ya wajinga huliwa na wajanja
Hawa wafanyabiashara wakubwa wa kiindi wapigaji sana wametafuna sana nchi hiiNdio unajua leo..
Unamzungumzia MO aliechukua mkopo wa $800M , ( kwa mujibu wa Maguful)
Alivotekwa mlipiga kelele.. ila MO hayupo mwenyewe..
Kuna yule wa Morogoro anaetoa mabas kupeleka mwil kwenye mazishi
Kuna mfadhili wa wananchi, na nchi akahama.
Wahindi karibu wote wametoboa kwa namna hiyo..
Na hii ni kwa msaada mkubwa wa waswahili wenzenu.. kupenda vihela vidogo vidogo...
Nyie mnashauriwa mkalime kebeji.