Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Naona limbwata limeisha sasa, hadi unatamka hayaa.
Nifanye niwahi tenaa kwa mtaalamu, kabla hajafaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mie nawee hatuachanii tunapeana likizo.
Sasa jichanganyee babaa wee, utajua hujuiii.
Ngoja nisikitike kwanza
 
Amani tu kuna ubaya kufahamiana
Ila ujumbe wangu utafikishiwa tu usijali nimemtuma kuwadi wangu tayari

wasalimie watoto nyumbani
Unatingisha meza yenye vinywaji vya gharama
 
Mfumo mpya wa kutafuta wachumba huu sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…