Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Hello,

Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.

Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.

Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.

Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
Hahah taikon mkali wa fasihi mr.Robert heriel nakuelewa san mwamba.
 
Kama Mimi ni MBWA kama ulivyoniita hapa hata na MAMA YAKO MZAZIi nae ni MBWA vile vile.

Pumbavu.
Sasa Mama yangu mzazi anahusiana nini na Mento kama wewe?! 😀😀😀

Unataka kusema wewe ni mjomba wangu..., unahusiana na Mama yangu bwana Genta au?! Sijakuelewa

Tafadhali Mjomba usirithishe wapwa zangu uchizi 😭😭😭😭
 
Sio mjuaji... NAJUA KWELI! Ungeenda shule mbwa wewe! Au hujachelewa... rudi shule. Kasome MEMKWA kisha Adults education na wewe uwe unamwaga points Makenge wa aina yako na wewe wawe wanakuita mjuaji

Vipi una uhakika wa chai na kula mchana leo?!
Umebeba ujinga pumbavu af acha kuzoea watu pimbi mmoja
 
Kumuelewa member kupitia JF tu ni kazi kubwa.Kuna wengine wanakujengea picha ya kufikirika tu lakini kwa uhalisia mkikutana hawapo hivyo.Shtuka utaibwa wewe na makopo yako.Keep your friends close.But, keep your enemies even closer!
 
Sasa Mama yangu mzazi anahusiana nini na Mento kama wewe?! 😀😀😀

Unataka kusema wewe ni mjomba wangu..., unahusiana na Mama yangu bwana Genta au?! Sijakuelewa

Tafadhali Mjomba usirithishe wapwa zangu uchizi 😭😭😭😭
Kuumbuka na Mimi unayenitukana ni Baba au Mama yake Mru vile vile kama ilivyo kwa Mama hivyo nakujibu kwa kadri unavyostahili.

Kuhusu Matusi na Kashfa ulizoendelea Kunitusi na Kunitolea hapa tena yote nayageuza kwa Mama yako sawa?

Pumbavu.
 
Utamtaka tyuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakutania udugu hata kwa nini simgawi Kantri wangu kwa yeyote, nampenda pamoja na drama zake [emoji182][emoji182][emoji182][emoji8][emoji8]

Kwanza nimuachie nani zile show zake za kibabe?!!! Sema kesi zake lazima asomewe na dada mkubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa mnooo, khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa mnooo, khaaaah

Ndio uzuri wa udugu hana kifua, tumeongea chemba anataka kumalizia ubuyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom