Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Yaan uduguuu unavonikaushaa kizazi sasa khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kitatoka leo ukose watoto, yaani udugu unapenda umbea Mange akasome

Akili yote ishavurugika khaaa

Subiri mvinyo unikolee nikupe connection
 
Hello,

Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.

Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.

Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.

Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
Karibu wote nawakubali isipokuwa,wanasema kataa ndoa
 
Hahhahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wazungu wanafiki wanatuletea shida nchini mwetu mbwa wale[emoji1]

Akhu wazungu wako vizuri ni nyie tu na shida zenu mnazo muda toka majimaji war [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtaani kwetu mimi bint wa mfano wa kuigwa!!

Mimi ni sister Marry [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilikua sipo ktk mood nzuri nimecheka woooooho sasa sister marry
 
Hello,

Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.

Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.

Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.

Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji119]
 
Back
Top Bottom