Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akikosa uraisi hata cdm nao hawatakuwa na matumizi naye ,ni bora kweli akarudi ccm baada ya kuukosa uraisMembe anataka urais tu basi. akiukosa October, atai-Lowasa kambi ya upinzani immediately!
Chadema wakimpokea ndiyo mwanzo wa mwisho wa chama!
Membe ni project ya ACT wao kivyao na sisi kivyetu, hakuna tena urafiki wa mashaka safari hii.Mkuu Mimi siyo mfuasi wa chama chochote hapa Tanzania ila kwa hili la Membe daah Ni ngumu kumeza.
Ile kiu ya wapinzani(wapinzani halisi) wa Tanzania kupata mkombozi wa kutuvusha hatimaye imefikia pazuri baada ya Membe kukaribishwa ndani ya chadema na hatimaye kusubiri kuwa mgombea wa urais.
Chadema katika siku ambayo mmefanya jambo la maana na umuhimu sana basi ni hii ya kumpa Membe nafasi ya kutuvusha 2020.
Membe ni mwanamkakati na mbobezi kwenye masuala yote ya intelijensia, hivyo ni mtu sahihi kabisa na muhimu kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule.
Membe sio Lissu, Membe ana ushawishi, ana mtaji wa watu wengi sana kitu ambacho Lissu hana na kamati kuu imeona hili suala.
Karibu Membe chadema, karibu utupiganie, karibu utuvushe.
#2020 upinzani tunaenda na Membe#
Unafikiri lissu angerudi angeachiwaDaah Tundu lissu ashatoka kwenye utukufu Tena Ila kwakwel inahitaji nguvu nyingi chadema kuwaelewa wanapenda Nini na hawapendi Nini ?
Na nilichogundua Watanzania huwa hatujifunzi kutokana na makosa tuliyoyafanya nyuma.
Yani mtu alipigwa risasi Zaid ya 16 akikipigania chama leo hii mmemuona Hana umuhimu tena kisa kachero mmoja aliefukuzwa uanachama ndani ya chama chake.
Dhambi ya usaliti itaendelea kuwatafuna Sana CHADEMA.
Membe anataka urais tu basi. akiukosa October, atai-Lowasa kambi ya upinzani immediately!
Chadema wakimpokea ndiyo mwanzo wa mwisho wa chama!
Mtaa wa Lumumba wakikumbuka tu zile push up, kila mmoja anaombea bora uchaguzi mkuu usiwepo kabisa.
Na mwaka tunataka wapige kichura chura! Push up hazitatushawishi kwa lolote.
Mbona walishameza ndoano?
Lisu=first option.Daah Tundu lissu ashatoka kwenye utukufu Tena Ila kwakwel inahitaji nguvu nyingi chadema kuwaelewa wanapenda Nini na hawapendi Nini ?
Na nilichogundua Watanzania huwa hatujifunzi kutokana na makosa tuliyoyafanya nyuma.
Yani mtu alipigwa risasi Zaid ya 16 akikipigania chama leo hii mmemuona Hana umuhimu tena kisa kachero mmoja aliefukuzwa uanachama ndani ya chama chake.
Dhambi ya usaliti itaendelea kuwatafuna Sana CHADEMA.
Daah Tundu lissu ashatoka kwenye utukufu Tena Ila kwakwel inahitaji nguvu nyingi chadema kuwaelewa wanapenda Nini na hawapendi Nini ?
Na nilichogundua Watanzania huwa hatujifunzi kutokana na makosa tuliyoyafanya nyuma.
Yani mtu alipigwa risasi Zaid ya 16 akikipigania chama leo hii mmemuona Hana umuhimu tena kisa kachero mmoja aliefukuzwa uanachama ndani ya chama chake.
Dhambi ya usaliti itaendelea kuwatafuna Sana CHADEMA.
Huu utopolo washirikishe wapumbavu wenzako hapo Lumumba
Mnapima upepo. Ushauri wangu washikilie hapo hapo watu wabaki kupiga ramli.
Mnaimbishana wenyewe mataga hapa.
Mkuu Mimi siyo mfuasi wa chama chochote hapa Tanzania ila kwa hili la Membe daah Ni ngumu kumeza.