Uchaguzi 2020 Membe ahsante sana, karibu rasmi CHADEMA. Karibu utuvushe



😂😂😂 Nyie kama fisi..
 
Unafikiri lissu angerudi angeachiwa
Tu....awe huru

Ova
 
Cdm haiwezi kuisha kamwe maana cdm siyo hilo neno cdm, bali ni wanachama
Membe anataka urais tu basi. akiukosa October, atai-Lowasa kambi ya upinzani immediately!

Chadema wakimpokea ndiyo mwanzo wa mwisho wa chama!
 
Nimecheka sana, yaani sasa ni mwendo wa kichura chura
Mtaa wa Lumumba wakikumbuka tu zile push up, kila mmoja anaombea bora uchaguzi mkuu usiwepo kabisa.

Na mwaka tunataka wapige kichura chura! Push up hazitatushawishi kwa lolote.
 
Lisu=first option.
Membe =plan c
B is mnyampaa
 
Mbona mlipo shiriki kumtwanga risasi hukusikitika?
 
Vigogo wa ccm waliodhalilishwa awamu hii hadi kuomba msamamaha hadharani wapo na Membe.
 
teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!

Mahokaa!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!!

 
aisee!!
ameamua kuchafua maji aliyo kuwa anakunywa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…