Kupitia ukurasa wa twitter Ndg. Benard Membe amekanusha kujiondoa mbio za Urais na kumuunga mkono mgombea wa Chadema.
View attachment 1576749
Hivi musiba alisoma wapi? Namanisha chuo gani na ana level gani ya elimu? Nani anamtumia musiba kuongea ujinga huu anaongea? Huwa anafanya tatmini kabla ya kuongea au baada ?
Musiba anasema yeye ni m/ huru kisha anataka Uvccm wajibu mapigo ya wapinzani?
Musiba anaigombanisha nchi na marafiki wa nje anaowaita MABEBERU leo anakanusha na kusema ni watu co nchi?
Musiba anatoa takwimu za wapiga kura pemba kisha anasema watakao mpigia kura mwinyi ni kadhaa kweli? Kwani hajui sababu za kuongeza au kupungua kwa watu ( popn ya form four ) hajui?
Anasema Tl anamtukana raisi bila kuthibitisha? Ni wapi tundu Lisu kamtukana raisi MAGUFULI? Kuhoji juu ya ndege ni kutukana, chato iliyojengwa bila kufuata sheria ya manunuzi ya umma ni kutukana? Mzalendo gani huyu
Anasema anakula kwa akili ya serikali na huwezi kuipinga ni kweli analipwa lakini kuhoji matendo ya serikali ni kufanya kosa?
Anasema zuhura yunus ni adui wa taifa! Kweli? Kamfanya nn huyu? Kuhoji kuhusu mikataba ya Madini ni kosa kiasi cha kuita haini kweli kweli?
Nchi inakwenda wapi? Musiba ni nani?
TUNDU LISU HAJASEMA ATALETA VURUGU HAPANA. HAPANA HAPANA KASEMA AKISHINDA ASIOOTANGAZWA KAMA LOWASA HAKITAELEWEKA! KAMA UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA WA HAKI MNAOGOPA NN?
KURA KWA LISU..... MNYAPARA MPORA KOROSHO HAPANA HAPANA HAPANA