Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Nimeandika na kama unaelewa wa kutosha sio kukariri utaelewa. Nakumbuka nimeandika kujibu hoja ya nani? Linganisha na huyo nani punguani namwita anachoandika na anachozungumza musiba kisha njoo nikujibuHivi hiki ulichoandika hapa kinahusiana vipi na hii mada
Mm ni mtanzania napenda Tanzania sipendi majungu na uchonganishi ndo mana nasema MAGUFULI hafai kuwa raisi wa nchi hii.