Ukabila anao jiwe na hilo halina ubishi. Membe mtu safi kabisa.Hivi karibuni Mwanasiasa BM amekuwa akitumia uwingi pale anapoeleza azma au nia yake kwa jamii. Mara kadhaa amesikika akitumia maneno kama vile Tutagombea, Tutachukua fomu, Tutashinda, nk...
Kwa ulicho kiandika apa..Huna kazi nyingine ya kufanya ?
Anataka aguswe ili akinukisheMembe sijui ana taka nini huyu mh.
Huyo ni taahira mwenzako wa Lumumba ujue.Hivi nani aliyewaloga? Mnafikiri bila tume huru ya uchaguzi mwaweza kushinda? Magufuli keshashinda kwa zaidi ya 80%. Computer zao tayari zinasoma hivyo, wanangoja kusoma tu matokeo ya uraisi. Mpige kura msipige keshashinda. Si Membe wala Lissu. Mtakumbuka hili ninalosema mie Mshunami, mke wa mfalme Sulemani.
OookHivi karibuni Mwanasiasa BM amekuwa akitumia uwingi pale anapoeleza azma au nia yake kwa jamii. Mara kadhaa amesikika akitumia maneno kama vile Tutagombea, Tutachukua fomu, Tutashinda, nk.
Watu wengi na hasa wachambuzi wa mambo ya siasa wamekuwa wakijiuliza maana halisi ya matumizi hayo ya uwingi, na wengine kufikia hatua ya kusema kwamba huwenda analenga kuonesha kuwa anaendesha siasa jumuishi (inclusive politics)...
anachonikela ameanza kuonyesha madhaifu mengi sana wakati yeye ni mtu msomi sana sijajua anawaza nn mpaka sasaMembe sijui ana taka nini huyu mh.
anadhani urais ni sawa na kupiga debe gari za kkoo mwengeLol... its very simple... isn't it?
mcheza kwao utunzwaTanzania au Africa in general hakuna kiongozi ambae hawez kujali ukabila au udini au undugu, Africa iko hivyo
Wakati wa mkapa watu wa kusini walipata Sana vyeo, wakati wa kikwete watu wa pwani walikula Sana shavu so kwa Africa ni mambo ya kawaida Sana
Tutafutane siku ya kutangazwa matokeo ya kura ya urais tutajua nani taahira kati yangu na wewe.Huyo ni taahira mwenzako wa Lumumba ujue.
Hata kabla ya uchaguzi wewe ulipo sasa hivi agiza kilo moja ya kitimoto na grants kubwa nakuja kulipa kabla hujamaliza.Tutafutane siku ya kutangazwa matokeo ya kura ya uraisi tutajua nani taahira kati yangu na wewe.
Swali fikirishi je uwanja wa kujadili Agenda za kitaifa ama vipaumbele upoo!Hivi karibuni Mwanasiasa BM amekuwa akitumia uwingi pale anapoeleza azma au nia yake kwa jamii. Mara kadhaa amesikika akitumia maneno kama vile Tutagombea, Tutachukua fomu, Tutashinda, nk.
Watu wengi na hasa wachambuzi wa mambo ya siasa wamekuwa wakijiuliza maana halisi ya matumizi hayo ya uwingi, na wengine kufikia hatua ya kusema kwamba huwenda analenga kuonesha kuwa anaendesha siasa jumuishi (inclusive politics).
Jana BM ametegua kindewawili hicho. Matumizi hayo ya uwingi yana yanaonesha UKABILA alionao Membe, kwani yeye mwenyewe kwa kinywa chake alisema Mabaraza ya Vyama anavyotaka kupeperusha bendera yao yanajadili suala la Rondo. Kauli hiyo inaonesha kuwa BM anaingia na gia ya Ukabila, na mara zote amekuwa akitumia wafuasi toka kwao Rondo. Amekuwa akiongea na wana-Rondo, Amewatumia wana-Rondo kucheza movie ya kurejesha kadi za CCM, katika ujumbe wa sauti mitandaoni akimtukana Rais JPM alikuwa akiongea na Katibu Kata ya Rondo n.k.
Siasa hizi za kiubaguzi hazitakiwi kupewa nafasi kwa sasa. Leo anakuja na ukabila, kesho atakuja na udini, ukanda, itikadi za kisiasa, n.k. Watanzania tuamke na tuseme "Hapana huko unakotaka kutupeleka siko."
π π π πHuyo ni taahira mwenzako wa Lumumba ujue.
Kuku elimishaWewe mwenye kazi ya kufanya unatafuta nini hapa?
Bila tume huru HATUTAPIGA KURAuchaguzi huru na haki upo. Self-evaluation ndo zinazowasumbua upinzani. Deeper inside wanajua kwamba they nothing to sell to voters.
Anataka aguswe ili akinukishe
Ata kuja kunuka 'mavi' huyo