Uchaguzi 2020 Membe ameanza kukanyaga kwenye uwanja wa uchaguzi kwa mguu wake mbovu

Uchaguzi 2020 Membe ameanza kukanyaga kwenye uwanja wa uchaguzi kwa mguu wake mbovu

Wafungwa wameamua kupandisha bendera za ccm hii Noma ndo maana watz walimpiga kibao Mwinyi nakumpa kibao warioba.
 
Na vipi kuhusu ule upande wa bwana yule anaetumia mpaka wafungwa kupandisha bendera za chama mitaani hilo unalizungumziaje mleta mada?
 

Attachments

  • VID-20200707-WA0059.mp4
    9.3 MB
Jana BM ametegua kindewawili hicho. Matumizi hayo ya uwingi yana yanaonesha UKABILA alionao Membe, kwani yeye mwenyewe kwa kinywa chake alisema Mabaraza ya Vyama anavyotaka kupeperusha bendera yao yanajadili suala la Rondo.
Ni mtu mufilisi tu ndie anaweza kumhusisha Membe na ukabila! Ukabila utamsaidia nini yeye wakati kabila lake lenyewe halipo hata miongoni mwa makabila 10 makubwa Tanzania?!

Hata ukichukulia ile mipaka ya asili ya mikoa, Lindi ndio mkoa wenye wakazi wachache zaidi kulinganisha na mikoa mikoa mingine ya bara!!

Sasa katika mazingira kama hayo kwanini atumie turufu ya ukabila?!

Ukweli uliopo ni kwamba, Membe anafanyia mambo yake Rondo kwa ajili ya kuwakwepa Manyang'au ya JPM yanayoweza kumhujumu!

Hata baadhi ya Waandishi wa Habari kama sio wote, walipoenda Rondo waliacha magari Lindi Mjini na kutoka Lindi walitumia usafiri wa Bajaji na Bodaboda ili kutovuta attention!!

Niliongea na mtu mmoja akasema wazi kwamba there's no way mtu anaweza kuvuka mlima hadi kufika Rondo na asijulikane! Na ukisikia hivyo, fahamuni Mwamba keshaweka watu wake kwenye maeneo yote muhimu kuhakikisha no intruder!!

Tumeni manyang'au yenu wakafanye hujuma kama watafika!!! Na kwavile nimeshawapa siri, badilisheni mikakati ingawaje wala haitawasaidia!!
 
Back
Top Bottom